Kama kweli Mungu yupo, basi hana nguvu

Kama kweli Mungu yupo, basi hana nguvu

Sasa kulikuwa na haja gani ya sisi kuwepo kwenye materials world tu?

Ndio Hakuna maana yeyote sisi tuwepo kwenye dunia yenye changamoto.

Kama huyo Mungu aliweka changamoto hapa duniani halafu yeye kabaki zake huko alipo anakula good time naku enjoy life, Basi huyo Mungu mjinga sana.

Mtoto mchanga anayezaliwa kisha wazazi wake wanafariki, Yeye binafsi atawezaje kubadilisha hatima yake bila kuhitaji msaada?

Au unaongea tu bila kufikiri kwa kina?

Mtoto mchanga anayezaliwa kisha wazazi wake wanafariki, Atawezaje kutumia nguvu zake yeye mwenyewe ili akue na kufanikiwa yeye mwenyewe kwa nguvu zake tu?

Freewill haipo.

Ndio maana huwezi kuua mtu, Halafu useme ni freewill yako umeamua tu kuitumia kuua.

Ukishaona kuna sheria jua kwamba hakuna uhuru.
Mkuu kwanza kabisa nikili mimi kama mtu mwenye akili timamu kwamba kuna hoja zako nyingi tu zinamashiko kabisaa..! logically zinamake strong sense.

Na kwasisi watu tuliojengewa misingi imara ya kidunia katika physical(material world) tu. Namaanisha kupitia elimu dunia(science (laws of physics, chemistry & biology) kwa mtizamo wetu huo, namna tunavyoiona/i-percieve dunia na ku-reason mambo tupo sahihi kabisa, kwasababu at the that moment majority tupo katika physical realm na hizo laws tunashuhudia zinafanya kazi kweli.

Sasa huo ulikua ni upande mmoja wa story ulioaminishwa... What if kuna upande wapili!? Sasa je unajua kuna upande mwingine ambao una-defy almost laws zote za physics... Yaani mambo unayoyaona hayawezekani physically kule yanawezekana, na haya yanayoonekana huku physically inakuaga ni reflection ya kile kilichokwisha fanyika huko upande wapili...(wanakuaga ktk flexible time and space(wanaweza wakabadilisha histolia wakaamua maamuzi at the moment na kuamua future fate.)) sound like a tea 🍵 😁😁

Haya ni masuala yamewekwa siri kwa makusudi na hata yakiwekwa wazi basi wahusika wanatumia codes ngumu kiasi kwamba sisi tunaofichwa tusipate ufahamu,

Na yanafichwa kwasababu ndio nguvu yenyewe (power) kila mtu anauwezo usio wakawaida na laiti kama kila mtu angepata access ya hiyo knowledge akai-master namna ya kutumia basi hapa duniani pasinge tawalika... So kuna viumbe watu wachache ama Taasisi fulani wananufaika na siri hizo.

Sina ushahidi wa haya wala reference za kutosha, lakini fikilia hivi tusichukulie dunia nzima twende specific katika nchi... Hivi nchi inaongozwaje ukiachana na serikali na secret security service(kwanini iwe secret service), kuna kitu kinaitwa deep state. Sasa hiki kideed state kwenye mataifa makubwa unafikiri ni kitu gani....!!?

Pia unajua kua tunaishi katika simulation! Yes tupo simulated kuanzia tunachofikilia, tunachoamua, tunachochagua kiufupi lifestyle nzima tunapangiwa... Ni hivi kabla haujawaza au kufikilia maamuzi yako binafsi mfumo uliyopo unahakikisha haufikii hatua hiyo lazima ukutengenezee ratiba ya nini utafanya nini utawaza na nini utaamua wakati huo wao wanaendelea na ratiba zao... Na kukiwa na jambo zito au la muhimu kwao, utaona wiki hiyo matukio ya ajabu na kudaka hisia za watu yanafululiza sana. Refer rocket metal ring iliyoanguka hapo jirani.

Sasa swali ni je kwanini wanafanya hivyo... Kwani wakifanya mambo yao bila kukuzonga wewe kuna shida yoyote... Jibu ni ndio una nguvu na unauwezo wa kubadili fate (hatima).

Na ndio maana kuna sala kuna wengine wanafanya meditation ukiwa serious kwenye hivi vitu inamaana unaondoka kwenye simulation system. Unabakia wewe halisi sasa nini kinatokea baada ya hapo... Back to you bro Kwa msimamo ulionao kwa unachokiamini sikushauli ukaulize kwa wanaofanya Sara au meditation, Mimi nakushauri kajaribu na wewe uone nini kinatokea, we fanya kama unajaribu kuwa serious na Sara au meditation...we fanya kama unajikuna.
 
Mkuu kwanza kabisa nikili mimi kama mtu mwenye akili timamu kwamba kuna hoja zako nyingi tu zinamashiko kabisaa..! logically zinamake strong sense.

Na kwasisi watu tuliojengewa misingi imara ya kidunia katika physical(material world) tu. Namaanisha kupitia elimu dunia(science (laws of physics, chemistry & biology) kwa mtizamo wetu huo, namna tunavyoiona/i-percieve dunia na ku-reason mambo tupo sahihi kabisa, kwasababu at the that moment majority tupo katika physical realm na hizo laws tunashuhudia zinafanya kazi kweli.

Sasa huo ulikua ni upande mmoja wa story ulioaminishwa... What if kuna upande wapili!? Sasa je unajua kuna upande mwingine ambao una-defy almost laws zote za physics... Yaani mambo unayoyaona hayawezekani physically kule yanawezekana, na haya yanayoonekana huku physically inakuaga ni reflection ya kile kilichokwisha fanyika huko upande wapili...(wanakuaga ktk flexible time and space(wanaweza wakabadilisha histolia wakaamua maamuzi at the moment na kuamua future fate.)) sound like a tea 🍵 😁😁

Haya ni masuala yamewekwa siri kwa makusudi na hata yakiwekwa wazi basi wahusika wanatumia codes ngumu kiasi kwamba sisi tunaofichwa tusipate ufahamu,

Na yanafichwa kwasababu ndio nguvu yenyewe (power) kila mtu anauwezo usio wakawaida na laiti kama kila mtu angepata access ya hiyo knowledge akai-master namna ya kutumia basi hapa duniani pasinge tawalika... So kuna viumbe watu wachache ama Taasisi fulani wananufaika na siri hizo.

Sina ushahidi wa haya wala reference za kutosha, lakini fikilia hivi tusichukulie dunia nzima twende specific katika nchi... Hivi nchi inaongozwaje ukiachana na serikali na secret security service(kwanini iwe secret service), kuna kitu kinaitwa deep state. Sasa hiki kideed state kwenye mataifa makubwa unafikiri ni kitu gani....!!?

Pia unajua kua tunaishi katika simulation! Yes tupo simulated kuanzia tunachofikilia, tunachoamua, tunachochagua kiufupi lifestyle nzima tunapangiwa... Ni hivi kabla haujawaza au kufikilia maamuzi yako binafsi mfumo uliyopo unahakikisha haufikii hatua hiyo lazima ukutengenezee ratiba ya nini utafanya nini utawaza na nini utaamua wakati huo wao wanaendelea na ratiba zao... Na kukiwa na jambo zito au la muhimu kwao, utaona wiki hiyo matukio ya ajabu na kudaka hisia za watu yanafululiza sana. Refer rocket metal ring iliyoanguka hapo jirani.

Sasa swali ni je kwanini wanafanya hivyo... Kwani wakifanya mambo yao bila kukuzonga wewe kuna shida yoyote... Jibu ni ndio una nguvu na unauwezo wa kubadili fate (hatima).

Na ndio maana kuna sala kuna wengine wanafanya meditation ukiwa serious kwenye hivi vitu inamaana unaondoka kwenye simulation system. Unabakia wewe halisi sasa nini kinatokea baada ya hapo... Back to you bro Kwa msimamo ulionao kwa unachokiamini sikushauli ukaulize kwa wanaofanya Sara au meditation, Mimi nakushauri kajaribu na wewe uone nini kinatokea, we fanya kama unajaribu kuwa serious na Sara au meditation...we fanya kama unajikuna.
Heshima yako mkuu

Hakika umetisha

Salut
 
Mkuu kwanza kabisa nikili mimi kama mtu mwenye akili timamu kwamba kuna hoja zako nyingi tu zinamashiko kabisaa..! logically zinamake strong sense.

Na kwasisi watu tuliojengewa misingi imara ya kidunia katika physical(material world) tu. Namaanisha kupitia elimu dunia(science (laws of physics, chemistry & biology) kwa mtizamo wetu huo, namna tunavyoiona/i-percieve dunia na ku-reason mambo tupo sahihi kabisa, kwasababu at the that moment majority tupo katika physical realm na hizo laws tunashuhudia zinafanya kazi kweli.

Sasa huo ulikua ni upande mmoja wa story ulioaminishwa... What if kuna upande wapili!? Sasa je unajua kuna upande mwingine ambao una-defy almost laws zote za physics... Yaani mambo unayoyaona hayawezekani physically kule yanawezekana, na haya yanayoonekana huku physically inakuaga ni reflection ya kile kilichokwisha fanyika huko upande wapili...(wanakuaga ktk flexible time and space(wanaweza wakabadilisha histolia wakaamua maamuzi at the moment na kuamua future fate.)) sound like a tea 🍵 😁😁

Haya ni masuala yamewekwa siri kwa makusudi na hata yakiwekwa wazi basi wahusika wanatumia codes ngumu kiasi kwamba sisi tunaofichwa tusipate ufahamu,

Na yanafichwa kwasababu ndio nguvu yenyewe (power) kila mtu anauwezo usio wakawaida na laiti kama kila mtu angepata access ya hiyo knowledge akai-master namna ya kutumia basi hapa duniani pasinge tawalika... So kuna viumbe watu wachache ama Taasisi fulani wananufaika na siri hizo.

Sina ushahidi wa haya wala reference za kutosha, lakini fikilia hivi tusichukulie dunia nzima twende specific katika nchi... Hivi nchi inaongozwaje ukiachana na serikali na secret security service(kwanini iwe secret service), kuna kitu kinaitwa deep state. Sasa hiki kideed state kwenye mataifa makubwa unafikiri ni kitu gani....!!?

Pia unajua kua tunaishi katika simulation! Yes tupo simulated kuanzia tunachofikilia, tunachoamua, tunachochagua kiufupi lifestyle nzima tunapangiwa... Ni hivi kabla haujawaza au kufikilia maamuzi yako binafsi mfumo uliyopo unahakikisha haufikii hatua hiyo lazima ukutengenezee ratiba ya nini utafanya nini utawaza na nini utaamua wakati huo wao wanaendelea na ratiba zao... Na kukiwa na jambo zito au la muhimu kwao, utaona wiki hiyo matukio ya ajabu na kudaka hisia za watu yanafululiza sana. Refer rocket metal ring iliyoanguka hapo jirani.

Sasa swali ni je kwanini wanafanya hivyo... Kwani wakifanya mambo yao bila kukuzonga wewe kuna shida yoyote... Jibu ni ndio una nguvu na unauwezo wa kubadili fate (hatima).

Na ndio maana kuna sala kuna wengine wanafanya meditation ukiwa serious kwenye hivi vitu inamaana unaondoka kwenye simulation system. Unabakia wewe halisi sasa nini kinatokea baada ya hapo... Back to you bro Kwa msimamo ulionao kwa unachokiamini sikushauli ukaulize kwa wanaofanya Sara au meditation, Mimi nakushauri kajaribu na wewe uone nini kinatokea, we fanya kama unajaribu kuwa serious na Sara au meditation...we fanya kama unajikuna.
Alivyo mjuwaji huyo sidhani kama ataenda kujaribu. Atakuambia alishajaribu na hakuona hela inadondoka tu kutoka juu kwa Mungu
 
Alivyo mjuwaji huyo sidhani kama ataenda kujaribu. Atakuambia alishajaribu na hakuona hela inadondoka tu kutoka juu kwa Mungu
Watu wengi wanaoifahamu dunia (physical earth) inavyotenda kazi kupitia elimu kama vile sayansi hata amini kirahisi, (kuna watu wengine ili one ameumia ni mpaka damu itoke hivi hivi haamini).

Binadamu tumeumbwa kwa Mfano wa Mungu kwa lugha lahisi ni kwamba uwezo aliokuwa kuwanao Mungu nasisi tunaona... Tofauti ni kwamba sisi tupo katika material world ila bado tupo connected na #Mungu.

Kuamini (Imani) Ni sawasawa na ku switch kutoka kutegemea nguvu na mbinu za ki material world na kutumia uwezo wa ki-mungu.

Na utendaji kazi wa huu uwezo wa MUNGU ni kuamini tu, yaani unaomba kitu bila kua na mashaka yoyote arafu unaamini, yaani we amini kimeshajibiwa endelea na harakati nyingine.

Sasa mtu ukimuambia aamini anaona unampiga swaga au unamamfariji.
 
Mkuu kwanza kabisa nikili mimi kama mtu mwenye akili timamu kwamba kuna hoja zako nyingi tu zinamashiko kabisaa..! logically zinamake strong sense.

Na kwasisi watu tuliojengewa misingi imara ya kidunia katika physical(material world) tu. Namaanisha kupitia elimu dunia(science (laws of physics, chemistry & biology) kwa mtizamo wetu huo, namna tunavyoiona/i-percieve dunia na ku-reason mambo tupo sahihi kabisa, kwasababu at the that moment majority tupo katika physical realm na hizo laws tunashuhudia zinafanya kazi kweli.

Sasa huo ulikua ni upande mmoja wa story ulioaminishwa... What if kuna upande wapili!? Sasa je unajua kuna upande mwingine ambao una-defy almost laws zote za physics... Yaani mambo unayoyaona hayawezekani physically kule yanawezekana, na haya yanayoonekana huku physically inakuaga ni reflection ya kile kilichokwisha fanyika huko upande wapili...(wanakuaga ktk flexible time and space(wanaweza wakabadilisha histolia wakaamua maamuzi at the moment na kuamua future fate.)) sound like a tea 🍵 😁😁

Haya ni masuala yamewekwa siri kwa makusudi na hata yakiwekwa wazi basi wahusika wanatumia codes ngumu kiasi kwamba sisi tunaofichwa tusipate ufahamu,

Na yanafichwa kwasababu ndio nguvu yenyewe (power) kila mtu anauwezo usio wakawaida na laiti kama kila mtu angepata access ya hiyo knowledge akai-master namna ya kutumia basi hapa duniani pasinge tawalika... So kuna viumbe watu wachache ama Taasisi fulani wananufaika na siri hizo.

Sina ushahidi wa haya wala reference za kutosha, lakini fikilia hivi tusichukulie dunia nzima twende specific katika nchi... Hivi nchi inaongozwaje ukiachana na serikali na secret security service(kwanini iwe secret service), kuna kitu kinaitwa deep state. Sasa hiki kideed state kwenye mataifa makubwa unafikiri ni kitu gani....!!?

Pia unajua kua tunaishi katika simulation! Yes tupo simulated kuanzia tunachofikilia, tunachoamua, tunachochagua kiufupi lifestyle nzima tunapangiwa... Ni hivi kabla haujawaza au kufikilia maamuzi yako binafsi mfumo uliyopo unahakikisha haufikii hatua hiyo lazima ukutengenezee ratiba ya nini utafanya nini utawaza na nini utaamua wakati huo wao wanaendelea na ratiba zao... Na kukiwa na jambo zito au la muhimu kwao, utaona wiki hiyo matukio ya ajabu na kudaka hisia za watu yanafululiza sana. Refer rocket metal ring iliyoanguka hapo jirani.

Sasa swali ni je kwanini wanafanya hivyo... Kwani wakifanya mambo yao bila kukuzonga wewe kuna shida yoyote... Jibu ni ndio una nguvu na unauwezo wa kubadili fate (hatima).

Na ndio maana kuna sala kuna wengine wanafanya meditation ukiwa serious kwenye hivi vitu inamaana unaondoka kwenye simulation system. Unabakia wewe halisi sasa nini kinatokea baada ya hapo... Back to you bro Kwa msimamo ulionao kwa unachokiamini sikushauli ukaulize kwa wanaofanya Sara au meditation, Mimi nakushauri kajaribu na wewe uone nini kinatokea, we fanya kama unajaribu kuwa serious na Sara au meditation...we fanya kama unajikuna.
Kila kitu ni maarifa ya kibinadamu tu.

Maarifa yote ni ya wanadamu, yametoka kwa wanadamu na yana milikiwa na wanadamu.

Hakuna supernatural powers yeyote iitwayo Mungu au Shetani inayotoa maarifa kwa binadamu.

Tatizo ni kwamba watu ambao hawana hayo maarifa ndio wanadai eti ni nguvu za Mungu, nguvu za shetani au wengine wanasema ni nguvu za kichawi. Kumbe ni nguvu na maarifa ya wanadamu ya kibinadamu.

Unakuta mtu haelewi kitu gani kilivyo fanyika au unakuta mtu haelewi jambo fulani linavyo fanyika, Badala ya kuchunguza na kufanya utafiti wa kina anakimbilia kusema kwamba,
Ni Mungu! Ni shetani! Ni uchawi! Ni uganga!

Kumbe hajui na wala hana maarifa ya hicho kitu au jambo hilo jinsi linavyo fanyika.

Kwa hivyo maarifa yote ni ya kibinadamu na yapo katika ulimwengu huu huu wa wanadamu.

Kwa hiyo unakuta watu ambao wana hayo maarifa wanayaficha, Halafu nyie watu ambao hamna hayo maarifa ndio mnabaki kusema eti ni shetani, Mungu, uchawi, nguvu za giza n.k

Kumbe hamna hayo maarifa na wala hamjui. Mnabaki mkiamini eti ni ulimwengu wa roho. Kumbe ni maarifa katika ulimwengu huu huu.
Sema nyie mnakuwa hamjui tu.
 
Alivyo mjuwaji huyo sidhani kama ataenda kujaribu. Atakuambia alishajaribu na hakuona hela inadondoka tu kutoka juu kwa Mungu
Hakuna Mungu anayetoa hela.

Hakuna Shetani anayetoa hela.

Hela ni Man-made.

Hela hutoka kwa binadamu.

Hela haitoki kwa Mungu wala kwa shetani.

Mungu hayupo.

Shetani hayupo.
 
Ndio shida ya kufanya jambo huku ukiwa na uhakika wa kwamba plan B yake ipo, huwezi kukifanya kwa ufanisi yaani kuingia miguu yote kwa maana unajua ukifeli huko huna pengine pa kukimbilia so uko na option moja tu.

Mambo ya kiroho yanahitaji maandalizi kwanza lakini pia inawezekana unachokiombea tayari kipo kwahiyo ni wewe tu kukifuata.
unapaswa uamin.mim yupo mwenzetu mmoja huyu anasal na akifungq ana funga tatu kavu.no maji no chakula.na amejibiwa. pia nukiomba unatakiwa uwe na subira
 
Wangapi wanaonekana na hawaaminiki kama wewe?

Kuonekana tu tayari ni kigezo cha mimi kukuamini?

Wewe ni mjinga usiyejielewa

Ni mpumbavu mkubwa
This kind of fallacy is called ad hominem attack.

Badala ya kujibu hoja kwa hoja unamshambulia mleta hoja.

Unataka Matusi sio?

Mpumbavu ni Baba na Mama yako waliozaa punguani kama wewe.

Idiot nincompoop.

Kama huwezi kujenga hoja kwa hoja, Tulia.

Kama unataka tuanze matusi.
I'm ready.
 
unapaswa uamin.mim yupo mwenzetu mmoja huyu anasal na akifungq ana funga tatu kavu.no maji no chakula.na amejibiwa. pia nukiomba unatakiwa uwe na subira
Yeah Iman na subira ni muhimu sana kwenye Kila jambo.
 
Kila kitu ni maarifa ya kibinadamu tu.

Maarifa yote ni ya wanadamu, yametoka kwa wanadamu na yana milikiwa na wanadamu.

Hakuna supernatural powers yeyote iitwayo Mungu au Shetani inayotoa maarifa kwa binadamu.

Tatizo ni kwamba watu ambao hawana hayo maarifa ndio wanadai eti ni nguvu za Mungu, nguvu za shetani au wengine wanasema ni nguvu za kichawi. Kumbe ni nguvu na maarifa ya wanadamu ya kibinadamu.

Unakuta mtu haelewi kitu gani kilivyo fanyika au unakuta mtu haelewi jambo fulani linavyo fanyika, Badala ya kuchunguza na kufanya utafiti wa kina anakimbilia kusema kwamba,
Ni Mungu! Ni shetani! Ni uchawi! Ni uganga!

Kumbe hajui na wala hana maarifa ya hicho kitu au jambo hilo jinsi linavyo fanyika.

Kwa hivyo maarifa yote ni ya kibinadamu na yapo katika ulimwengu huu huu wa wanadamu.

Kwa hiyo unakuta watu ambao wana hayo maarifa wanayaficha, Halafu nyie watu ambao hamna hayo maarifa ndio mnabaki kusema eti ni shetani, Mungu, uchawi, nguvu za giza n.k

Kumbe hamna hayo maarifa na wala hamjui. Mnabaki mkiamini eti ni ulimwengu wa roho. Kumbe ni maarifa katika ulimwengu huu huu.
Sema nyie mnakuwa hamjui tu.
Ni sawa kabisa mambo mengi yanafanyika yanakuaga yanatumia ujuzi wa hali ya juu kiasi kwamba kama ukisipo ambiwa hapa ilitumika mbinu hii utaishia kuamini mambo mengine...

Na ndio changamoto kubwa wanayokutana nayo watu wenye imani arafu hawana elimu dunia... Sasa watu wa namna hii ndio wanaokuchanganya hadi Wewe (mwanaume anapata uvimbe (maradhi tumboni utasikia watu wanakwambia kapigwa kipapai au mwanamke anapata huo uvimbe watu wanajua anamimba, kashheshe inaanza miezi 9 imefika mtu hazai,,, inaenda miezi 13 wapi. Utasikia alikosana Mke mwenzie, wengine alimtukana bibi mmoja bivi. Mpaka mtu anakufa kwa uvimbe.

Sasa ni kweli nakubali tunachangamoto ya imani potofu... Lakini hili haiondoi ukweli kwamba kuna nguvu ya zaida.

Sasa hii nguvu ya zaida sasa hii nguvu ina mbinu zake zakuifikia na kuitumia, kwa mtu yeyote mwenye Akili timamu akipata haya maarifa anakuwa sio wakawaida.

Sasa hizo mbinu zinafichwa zinatumiwa na wachache kwa siri (na inawezekana wanazificha si kwa ubaya ila kwa maslahi mapana ya dunia(controlling, ili mambo yasiende out of control))

Vitabu vitakatifu vimegusia lakini kwa code sana... Je walioandaa vitabu kina nani na kwanini watumie codes.

Sasa haya mambo siyo story tu kuna watu wengi sasa hivi wameona yanafanya kazi na wanaendelea kuyatumia katika shughuli zao... Ndio maana nikakwambia fanya kama unajaribu, usiishie kuwabeza wafia dini, wana experience ambayo wewe hujaiona.
 
Ni sawa kabisa mambo mengi yanafanyika yanakuaga yanatumia ujuzi wa hali ya juu kiasi kwamba kama ukisipo ambiwa hapa ilitumika mbinu hii utaishia kuamini mambo mengine...

Na ndio changamoto kubwa wanayokutana nayo watu wenye imani arafu hawana elimu dunia... Sasa watu wa namna hii ndio wanaokuchanganya hadi Wewe (mwanaume anapata uvimbe (maradhi tumboni utasikia watu wanakwambia kapigwa kipapai au mwanamke anapata huo uvimbe watu wanajua anamimba, kashheshe inaanza miezi 9 imefika mtu hazai,,, inaenda miezi 13 wapi. Utasikia alikosana Mke mwenzie, wengine alimtukana bibi mmoja bivi. Mpaka mtu anakufa kwa uvimbe.

Sasa ni kweli nakubali tunachangamoto ya imani potofu... Lakini hili haiondoi ukweli kwamba kuna nguvu ya zaida.

Sasa hii nguvu ya zaida sasa hii nguvu ina mbinu zake zakuifikia na kuitumia, kwa mtu yeyote mwenye Akili timamu akipata haya maarifa anakuwa sio wakawaida.

Sasa hizo mbinu zinafichwa zinatumiwa na wachache kwa siri (na inawezekana wanazificha si kwa ubaya ila kwa maslahi mapana ya dunia(controlling, ili mambo yasiende out of control))

Vitabu vitakatifu vimegusia lakini kwa code sana... Je walioandaa vitabu kina nani na kwanini watumie codes.

Sasa haya mambo siyo story tu kuna watu wengi sasa hivi wameona yanafanya kazi na wanaendelea kuyatumia katika shughuli zao... Ndio maana nikakwambia fanya kama unajaribu, usiishie kuwabeza wafia dini, wana experience ambayo wewe hujaiona.
Mimi sina shida kuhusu uwepo wa hizo nguvu au maarifa ya hali ya juu.

Shida ipo kwenye kuzihusisha hizo nguvu za hali ya juu na viumbe wa kufikirika kama Mungu, Shetani, majini, mapepo, uchawi au ushirikina.

Wakati ni nguvu na maarifa ya kibinadamu na ya wanadamu.

Kitu chochote ambacho mtu hakielewi, Au jambo lolote ambalo bado mtu halielewi kwa akili yake ya kawaida. Asikimbilie kusema eti ni uchawi, Au eti ni shetani, Mungu.

Kumbe hana maarifa ya kitu hicho au jambo hilo jinsi linavyo fanyika.

Na hili ni tatizo kwa watu wengi hasa waafrika.

Unakuta mtu haelewi na hana maarifa ya jambo fulani linavyo fanyika, Au hana na pia haelewi kitu fulani kilivyofanyika au kinavyo fanyika. Anakimbilia kuhitimisha kwamba kitu hicho ni Uchawi, Mungu, Shetani.

Kumbe hana maarifa ya kitu au jambo hilo.

Na hii ni fallacy inaitwa, Argument from ignorance.
 
Mimi sina shida kuhusu uwepo wa hizo nguvu au maarifa ya hali ya juu.

Shida ipo kwenye kuzihusisha hizo nguvu za hali ya juu na viumbe wa kufikirika kama Mungu, Shetani, majini, mapepo, uchawi au ushirikina.

Wakati ni nguvu na maarifa ya kibinadamu na ya wanadamu.

Kitu chochote ambacho mtu hakielewi, Au jambo lolote ambalo bado mtu halielewi kwa akili yake ya kawaida. Asikimbilie kusema eti ni uchawi, Au eti ni shetani, Mungu.

Kumbe hana maarifa ya kitu hicho au jambo hilo jinsi linavyo fanyika.

Na hili ni tatizo kwa watu wengi hasa waafrika.

Unakuta mtu haelewi na hana maarifa ya jambo fulani linavyo fanyika, Au hana na pia haelewi kitu fulani kilivyofanyika au kinavyo fanyika. Anakimbilia kuhitimisha kwamba kitu hicho ni Uchawi, Mungu, Shetani.

Kumbe hana maarifa ya kitu au jambo hilo.

Na hii ni fallacy inaitwa, Argument from ignorance.
Kinachofanya watu waamini ni MUNGU ni namna zinavyofanya kazi.

Hizi nguvu zina ufahamu mkubwa (infinite Intelligence) kiasi kwamba mtu akiomba au akishafanya ibada yake hapo anaamini tu basi... sasa computation yake inaachiwa hii nguvu masuala how, where and when... Sasa matokeo atakaye yapata yule aliyeomba, katika utashi wake anaona kabisa hakuna wanadamu anaweza kufikilia namna hiyo... Hivyo anaishia tu kusema wakati wa Mungu ni wakati sahihi.

Yaani Kuna vitu natamani ukutane navyo wewe binafsi arafu ujiulize mwenyewe hivi hapa imekuaje kuaje?
 
Usiweke mabandiko yanayomuhusu Mungu kwa kukejeli. Mwenyezi Mungu hafanyiwi kejeli. Hili bandiko lako ipo siku utalijutia tu.
Maisha yanahitaji subira na uvumilivu, Mwenyezi Mungu ana mipango Yake na Hakosei.
Sasa ungekuwa pale Gaza ungesema maneno gani? Angalia watu wa Gaza ujue mfano wa watu wenye imani.
Pamoja na mateso, dhiki vita njaa n.k lakini ndio kwanza wanamtukuza Mwenyezi Mungu.
Na usifikiri Mwenyezi Mungu haoni wala hasikii, ipo siku atawalipa neema baada ya dhiki wanayopitia.
 
Kinachofanya watu waamini ni MUNGU ni namna zinavyofanya kazi.
Kwanza wathibitishe uwepo wa huyo Mungu, Kabla ya kusema nguvu hizo ni za Mungu.
Hizi nguvu zina ufahamu mkubwa (infinite Intelligence) kiasi kwamba mtu akiomba au akishafanya ibada yake hapo anaamini tu basi... sasa computation yake inaachiwa hii nguvu masuala how, where and when... Sasa matokeo atakaye yapata yule aliyeomba, katika utashi wake anaona kabisa hakuna wanadamu anaweza kufikilia namna hiyo... Hivyo anaishia tu kusema wakati wa Mungu ni wakati sahihi.

Yaani Kuna vitu natamani ukutane navyo wewe binafsi arafu ujiulize mwenyewe hivi hapa imekuaje kuaje?
Kutokujua hivyo vitu vimekuaje kuaje, Sio kwamba eti ndio Mungu amevifanya au kwamba eti kuna nguvu ya kichawi imefanya. Hapana.

Ni kwamba huna maarifa ya jinsi gani vitu hivyo vimefanyika.
 
Sasa hapo ndio linakuja suala la manabii na mitume hawa ni watu tunasimuliwa kuwa walipata kuishi duniani uwezo wao waliouonyesha kwenye lifestyle zao na walikili kua wanatekeleza yale mambo kwa kuongozwa na huyo Mungu.

Sasa Mtu unaona miujiza inatendeka anaetenda anakwambia anafanya hayo kwa mapenzi ya MUNGU sasa kwanini usiamini.

Na kunamambo yaliyoelezwa na baadhi ya manabii miaka hiyo yameanza kuelezewa kisayansi na kisaikolokijia kuwa yanafanya kazi.

Sasa tufanye wewe ungekuwepo wakati huo, ungekataa uwepo wa mungu, sasa je kweli Mungu hakuonekana je ule uwezo wa mtu kutenda miujiza ulitoka wapi?

Yeye nabii kasema Mungu yupo na katenda miujiza kuthibitisha hilo. Swali je wewe ungekuja na hoja ipi/ushahidi upi kuwadhihilishia watu kua Mungu hayupo?
 
Mkuu kwanza kabisa nikili mimi kama mtu mwenye akili timamu kwamba kuna hoja zako nyingi tu zinamashiko kabisaa..! logically zinamake strong sense.

Na kwasisi watu tuliojengewa misingi imara ya kidunia katika physical(material world) tu. Namaanisha kupitia elimu dunia(science (laws of physics, chemistry & biology) kwa mtizamo wetu huo, namna tunavyoiona/i-percieve dunia na ku-reason mambo tupo sahihi kabisa, kwasababu at the that moment majority tupo katika physical realm na hizo laws tunashuhudia zinafanya kazi kweli.

Sasa huo ulikua ni upande mmoja wa story ulioaminishwa... What if kuna upande wapili!? Sasa je unajua kuna upande mwingine ambao una-defy almost laws zote za physics... Yaani mambo unayoyaona hayawezekani physically kule yanawezekana, na haya yanayoonekana huku physically inakuaga ni reflection ya kile kilichokwisha fanyika huko upande wapili...(wanakuaga ktk flexible time and space(wanaweza wakabadilisha histolia wakaamua maamuzi at the moment na kuamua future fate.)) sound like a tea 🍵 😁😁

Haya ni masuala yamewekwa siri kwa makusudi na hata yakiwekwa wazi basi wahusika wanatumia codes ngumu kiasi kwamba sisi tunaofichwa tusipate ufahamu,

Na yanafichwa kwasababu ndio nguvu yenyewe (power) kila mtu anauwezo usio wakawaida na laiti kama kila mtu angepata access ya hiyo knowledge akai-master namna ya kutumia basi hapa duniani pasinge tawalika... So kuna viumbe watu wachache ama Taasisi fulani wananufaika na siri hizo.

Sina ushahidi wa haya wala reference za kutosha, lakini fikilia hivi tusichukulie dunia nzima twende specific katika nchi... Hivi nchi inaongozwaje ukiachana na serikali na secret security service(kwanini iwe secret service), kuna kitu kinaitwa deep state. Sasa hiki kideed state kwenye mataifa makubwa unafikiri ni kitu gani....!!?

Pia unajua kua tunaishi katika simulation! Yes tupo simulated kuanzia tunachofikilia, tunachoamua, tunachochagua kiufupi lifestyle nzima tunapangiwa... Ni hivi kabla haujawaza au kufikilia maamuzi yako binafsi mfumo uliyopo unahakikisha haufikii hatua hiyo lazima ukutengenezee ratiba ya nini utafanya nini utawaza na nini utaamua wakati huo wao wanaendelea na ratiba zao... Na kukiwa na jambo zito au la muhimu kwao, utaona wiki hiyo matukio ya ajabu na kudaka hisia za watu yanafululiza sana. Refer rocket metal ring iliyoanguka hapo jirani.

Sasa swali ni je kwanini wanafanya hivyo... Kwani wakifanya mambo yao bila kukuzonga wewe kuna shida yoyote... Jibu ni ndio una nguvu na unauwezo wa kubadili fate (hatima).

Na ndio maana kuna sala kuna wengine wanafanya meditation ukiwa serious kwenye hivi vitu inamaana unaondoka kwenye simulation system. Unabakia wewe halisi sasa nini kinatokea baada ya hapo... Back to you bro Kwa msimamo ulionao kwa unachokiamini sikushauli ukaulize kwa wanaofanya Sara au meditation, Mimi nakushauri kajaribu na wewe uone nini kinatokea, we fanya kama unajaribu kuwa serious na Sara au meditation...we fanya kama unajikuna.
Dahh JF kuna watu ni ma-Genius sana. We Jamaa umeandika hoja ya pekee sana kuwahi kuiona UBARIKIWE SANA 🙏
 
Huyu wa Wayahudi aliyetoa kafara ya mwanae hana nguvu kamili. Namtafuta mwenye nguvu kamili, ambae hatoi kafara.
 
Habari zenu Wanajamiiforums.
Kwa mda niliotumia kumuomba Mungu na kutokupata majibu yoyote, nahitimisha kuwa nguvu za Mungu si nyingi kama tulivyoaminishwa.

Aisee nataka kuamia Mizimuni, Anayejua namna ya kutambikia Mizimu anielekeze, Mungu aliyeletwa na meli kwenye maisha yangu amefeli (Hana impact yoyote).

Am done.
Aisee
 
Back
Top Bottom