Basi na wewe ni mhusika maana ulikuwepo na unawajua wahusika woteKanisa linatafuta kujisafisha tu, Baba paroko kahusika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi na wewe ni mhusika maana ulikuwepo na unawajua wahusika woteKanisa linatafuta kujisafisha tu, Baba paroko kahusika
Lingekuwa na weledi kama paroko asingehusishwa na mauaji ya albino?Jeshi la polisi limekosa weledi
Hata mimi nashangaa mkuu eti wafia dini wanadhani paroko kuhusika ni jambo la ajabu.Sasa badala ya kuombeleza kifo cha mtoto na kutaka wote waliohusika wanyongwe ..tutaanza kutetea Imani zetu zisichafuke?..kwani hata akiwa Askofu...si ni yeye binafsi na uovu wake? Imani yake inaingiaje,?
Km ikibainika sio Paroko Polisi lazima wawajibishwe, Paroko hivi unamjua Paroko wewe Paroko?Polisi wamewezaje kusema ni paroko?
Emu fafanua vizuri HAPOMwisho, apenda kufahamu, huyo Padre Elipidius alihamishwa lini kutoka Parokia ya Rutabo?
Nawajua kuliko unavyodhani.Km ikibainika sio Paroko Polisi lazima wawajibishwe, Paroko hivi unamjua Paroko wewe Paroko?
Huyo wanayesema ni Paroko Msaidizi aliyekamatwa, mara ya mwisho tena just mwezi huu alikuwa ni Padre wa Parokia ya Rutabo, siyo huko Bugandika.Emu fafanua vizuri HAPO
Wewe unaropoka sababu haumjui Paroko ni nani laiti km ungemjua usingesema hivyo, Ila Paroko kweli?Kwani paroko hawezi fanya ukatili wa namna hiyo?
Mwanadamu si Mungu wala malaika
Utataka polisi wawajibishwe kwa sababu walisema ni paroko au kwa sababu walimkamata na kumshikilia mtu asiye sahihi bila kujali cheo au dini yake??Km ikibainika sio Paroko Polisi lazima wawajibishwe, Paroko hivi unamjua Paroko wewe Paroko?
Sasa Polisi ndio watolee maelezo hapoHuyo wanayesema ni Paroko Msaidizi aliyekamatwa, mara ya mwisho rena mwaka huu alikuwa ni Padre wa Parokia ya Rutabo, siyo huko Bugandika.
Nimeshangaa kuona kwenye taarifa akitajwa kuwa ni Paroko Msaidizi wa Bugandika.
Sasa mbona wakatoliki wengine wanamkataa wanasema alikuwa teja mlevi tu?!Huyo wanayesema ni Paroko Msaidizi aliyekamatwa, mara ya mwisho rena mwaka huu alikuwa ni Padre wa Parokia ya Rutabo, siyo huko Bugandika.
Nimeshangaa kuona kwenye taarifa akitajwa kuwa ni Paroko Msaidizi wa Bugandika.
Unachafua kanisa alafu unatarajia nini inabidi ulisafishe la sivyo Sheria zifuate mkondo wake yule mropokaji wa Polisi afikoshwe mahakamani kwa kuropokaropoka ovyo bila kijiridhisha km ni kweli au sio kweliUtataka polisi wawajibishwe kwa sababu walisema ni paroko au kwa sababu walimkamata na kumshikilia mtu asiye sahihi bila kujali cheo au dini yake??
Huna akiliUnachafua kanisa alafu unatarajia nini inabidi ulisafishe la sivyo Sheria zifuate mkondo wake yule mropokaji wa Polisi afikoshwe mahakamani kwa kuropokaropoka ovyo bila kijiridhisha km ni kweli au sio kweli
Watuhumiwa wote wanapokamatwa na polisi huwa wanatambulishwa kwa kazi zao na ikiwezekana hata vyeo vyao katika taasisi zao, viongozi wa kanisa katoliki sio kundi lenye hadhi maalum kwamba wasitambulishwe kwa utaratibu huo.Professionally jeshi la polisi wamekosea sana kuripoti habari ya uhalifu na kutaja cheo au wadhifa wa mtu sababu technically hiyo itamaanisha taasisi nzima imehusika.
Nishasema Polisi mropokaji alieropoka bila kijiridhisha anachokiropoka awajibishwe kwa uropokaji wake sio tu aombe radhi awajibishwe piaHuna akili