Kama kweli unamchukia Hayati Magufuli fanya haya utuachie tunaompenda

Mkuu pole sana, shida ulikuwa unafurahia maumivu ya wengine, ikawa zamu yako kuonja machungu yao!!! Mtafute ndugai mnaweza kufarijiana!!

Na sasa Somo limeeleweka, hakosei mtu hapa!!! Mwendo ni huu wa kizimkazi!!
 
Uliponunua bidhaa , shilingi kadhaa zilienda kufidia deni la huo mradi hivyo upo sawa kujivunia uliposimama ni kodi yako ila sio kutuletea hadithi za asiyempenda Magufuli asipite hapo.
πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸ“πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘ŠπŸ€πŸ‘πŸ™πŸ›‘οΈ
 
Umaskini siyo sifa, na ukiona mtu anajivunia watu maskini basi ujuwe ndio mtaji wake umaskini hautakwisha.

Nchi haijengwi na maskini, nenda TRA kaangalie takwimu za walipa kodi ni watu gani.
πŸ€πŸ‘πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘ Mkuu umenena!!
 
Hao uliowaamini kwa pesa zako walifanya nini
Mkuu unaona interchange ya Ubungo ndio kitu cha maana pekee yake kufanywa kwa miaka 60!! Ama kweli ulikula matangopori ya mwenzake ukashiba!!
 
Alijenga kwa pesa zetu!
Kwa Tanzania Rais/kiongozi akitumia pesa zetu kwenye maendeleo hiyo ni big step ni bahati kubwa sana
kwasababu wengi wao wanatumia pesa zetu kunenepesha matumbo yao tu!
Kama sasa hiv.
Toka tumeskia watajenga Flyover Mwenge na morocco ni lini
Pesa zinakopwa lakin Miradi haianzi
 
Umeisoma hii komenti chini hapa au umeiruka kwa kuwa imeandikwa kwa lugha ngeni huilewi?

 
Mkuu una uhakika kodi haikuwahi kufanya chochote awamu zote ila ilimsubiri Mwendazake ndio ikafanya kazi!!

Mkuu umefikia hatua hii ya ufikiri??? Kuna jambo haliko sawa sawa kwako!!
 
Yeye mwenyewe Magufuli alikuwa na PhD Feki na baada ya Ben Saanane kumhoji akapotezwa. Njoo na hoja nyingine
πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸ“πŸ‘ŠπŸ€πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ™πŸ›‘οΈ
 
πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸ“πŸ‘ŠπŸ€πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ™πŸŽπŸ’πŸ—ΌπŸŽ–οΈπŸ†πŸ‘‘πŸ”ŠπŸŽ§πŸŽΆπŸŽ΅
 
Mkuu watu walipumbazwa wakapumbazika. Tuwaelimishe taratibu wataelewa tu!!!
 
Ndiyo aliwasimamia vizuri na hela zilitumika vizuri kufanya kazi.angalia sasa hivi kila waziri ni wapigaji na miradi zinadoda na watu wanapiga hela ovyoovyo alafu mnacheka tu.Magufuli alikuwa msimamizi mzuri sana
Mkuu kilicho muondoa Kangi Lugola uwaziri ni nini??? Sio ufisadi, kilikuwa kipindi gani, acha uongo wako!! Peleka mahaba yako huko chato kaburini Pake, kwa katili mwenzio!!
 
Wajinga kama nyie na wenye vyeti feki na mafisadi lazima muone hivyo mkiambiwa wekeni evidence ya hela iliyoibiwa hamuwezi.aliwabana sana mafisadi na wapenda Magendo ndo maana mambo yalikuwa yanaenda.
Mkuu acha kuruka mada, tulia hakuna mwenye vyeti Feki hapa.

Magufuli mwenyewe unayemhusudu alikuwa na cheti cha PhD Feki.

Tuliza mshono usirukeruke kama bisibisi Mkuu, jibu hoja hii.

Je, Magufuli kajenga interchange ya Ubungo kwa hela yake yaani mshahara wake au kwa mkopo wa world bank????
 
Mkuu Nziiri jr, umesummarize kwa weledi sana. Umeeleweka vizuri sana. Big up Mkuu!!!
 
πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸ“πŸ‘ŠπŸ€πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ™πŸŽπŸ’πŸ—ΌπŸ›‘οΈ
 
Mkuu kila Rais alifanya udhubutu kwa utashi, wakati, mazingira yake na hali ya uchumi ya wakati huo.

Magufuli alitumia polisi iliyoletwa na Nyerere, Alitumia ma land cruiser yaliyoletwa na Mwinyi, Alitumia TRA, Takukuru na Tume ya madawa ya kulevya zilizoletwa na mkapa!!!

Hakuna Rais ambaye hakupiga vita rushwa, madawa ya kulevya, uzembe au vihiyo kazini, wote walipambana kwa nyakati zao.

Huwezi kutumia kainterchange uchwara kamoja kudiscredit kazi nzuri na za msingi za Marais wote 4 waliopita!!!

Huu ni upunguani wa kiwango kisicho mithilika Mkuu!
 
Magufuli ni kama maji,
Usipoyanywa utayaoga !
Alama zake ni nyingi sana Nchini πŸ™
Mkuu ni kweli alama zake za maumivu zimetamalaki kote nchi, sio tu kwa wanafunzi, hata wastaafu, walimu, watumishi wa umma, wakulima, wafanyabiashara, wapinzani, wawekezaji!!! Sijui kama ulimaanisha alama hizi za maumivu au???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…