Yua Welkamu Miss,,,Usijilimiti kwenye fikra tafakari zote zitokeazo katika Maisha,,kuzimsha seli za bongo Kwa unlimited thinking[nje ya boksi]haswa Kwa upande wetu Wanadamu tuliojaliwa utashi,,daahh eckoooh vibaya mnoo we are Superior in our living boundaries universe,,Lavyuu Q💞💞💞Hizi story na thread za kuhusu mambo ya Mungu kadri ya ninavyozisoma na kuzitafakari zinanifanya napoteza imani yangu kwa Mungu wangu.
Nataka niache kuzisoma ili niendelee kumtukuza kama nilivyofundishwa tangu utotoni.
Naona kabisa nikiwa nasali nakosa utulivu na kumaanisha sababu ya hizi mada 🤔🤔🤔
Kiranga naomba utoe neno hapa umpe ndugu yetu huyuHizi story na thread za kuhusu mambo ya Mungu kadri ya ninavyozisoma na kuzitafakari zinanifanya napoteza imani yangu kwa Mungu wangu.
Nataka niache kuzisoma ili niendelee kumtukuza kama nilivyofundishwa tangu utotoni.
Naona kabisa nikiwa nasali nakosa utulivu na kumaanisha sababu ya hizi mada 🤔🤔🤔
Mambo yako wazi kabisaYOHANA 5:36
Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe,mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba,nayo hukumu yangu ni ya haki,nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe bali apendavyo yule aliyenituma.
Naendelea kusoma comment mieMimi sijui nielewesheni
Kwa sababu unarudia dhambiNawasalimu Salam ya wakati huu.
Kiukweli kabisa Mimi hili suala mpaka kesho sijawahi kulielewa,
Kama tunaambiwa kwamba dhambi zetu yesu alizimaliza msalabani sasa kwanini watu wanalia na kusaga meno kila siku wasamehewe dhambi zao?
Je, kuna makundi ya dhambi zilizosamehewa na ambazo bado ama?
Na kwanini kwenye kutubu lazima waanze kusema nisamehe Mimi mwenye dhambi?
Mwenye kunielewesha karibu sana.
Kutubu dhambi tunapokosea Kwa sisi Wakatoriki Huwa ni inaonesha kuwa umemkubali na kumpokea Yesu Kristo ili awe bwana na mwokozi wa maisha yetu.Nawasalimu Salam ya wakati huu.
Kiukweli kabisa Mimi hili suala mpaka kesho sijawahi kulielewa,
Kama tunaambiwa kwamba dhambi zetu yesu alizimaliza msalabani sasa kwanini watu wanalia na kusaga meno kila siku wasamehewe dhambi zao?
Je, kuna makundi ya dhambi zilizosamehewa na ambazo bado ama?
Na kwanini kwenye kutubu lazima waanze kusema nisamehe Mimi mwenye dhambi?
Mwenye kunielewesha karibu sana.
INJILI YA SHETANI YA MUNGU IBILISI MWENYE NAFSI 3 INASEMA KUWA YESU ALISULIBIWA KWA SABABU YA DHAMBI YA ASILI....ILA INJILI TAKATIFU YA MUNGU MMOJA NA NAFSI MOJA HAISEMI HIVYO .....YENYEWE INAFAFANUA KUWA YESU ALISULIBIWA HILI KUZIFUNGA HASIRA ZA MUNGU JUU YA DHAMBI ILI TOBA ZAO WENYE KUTUBIA KATIKA ROHO NA KWELI WAKUBALIWE ...MAANA GHADHABU YA MUNGU ITOKANAYO NA DHAMBI AZIFANYAZO MWANADAMU UPAMBANA NA TOBA ..hivyo kulikuwa na vita mbinguni baina ya toba za wanadamu na ghadhabu ya mungu hadi alipo sulibiwa kristo na ghadhabu kufutwa ili mlango wa toba uwe wazi kwa yoyote atakaye.Nawasalimu Salam ya wakati huu.
Kiukweli kabisa Mimi hili suala mpaka kesho sijawahi kulielewa,
Kama tunaambiwa kwamba dhambi zetu yesu alizimaliza msalabani sasa kwanini watu wanalia na kusaga meno kila siku wasamehewe dhambi zao?
Je, kuna makundi ya dhambi zilizosamehewa na ambazo bado ama?
Na kwanini kwenye kutubu lazima waanze kusema nisamehe Mimi mwenye dhambi?
Mwenye kunielewesha karibu sana.
Hapo sasaNawasalimu Salam ya wakati huu.
Kiukweli kabisa Mimi hili suala mpaka kesho sijawahi kulielewa,
Kama tunaambiwa kwamba dhambi zetu yesu alizimaliza msalabani sasa kwanini watu wanalia na kusaga meno kila siku wasamehewe dhambi zao?
Je, kuna makundi ya dhambi zilizosamehewa na ambazo bado ama?
Na kwanini kwenye kutubu lazima waanze kusema nisamehe Mimi mwenye dhambi?
Mwenye kunielewesha karibu sana.
Kwahiyo Yesu sio Mungu?YESU ALISULIBIWA HILI KUZIFUNGA HASIRA ZA MUNGU
Kama tunaamini kwamba Yesu ni Mungu, we huoni kama hii kauli inajichanganya?Hii ndiyo kusema kwamba Yesu alikufa ili kutununulia muda na uwezekano mwingine wa kutubu na kufanyika upya watoto watiifu wa Mungu.
Ipo ivi , baada ya Adam na Eva kuasi ilitakiwa kufa palepale Kwa maana MUNGu alisema hakika utakufa.Nawasalimu Salam ya wakati huu.
Kiukweli kabisa Mimi hili suala mpaka kesho sijawahi kulielewa,
Kama tunaambiwa kwamba dhambi zetu yesu alizimaliza msalabani sasa kwanini watu wanalia na kusaga meno kila siku wasamehewe dhambi zao?
Je, kuna makundi ya dhambi zilizosamehewa na ambazo bado ama?
Na kwanini kwenye kutubu lazima waanze kusema nisamehe Mimi mwenye dhambi?
Mwenye kunielewesha karibu sana.
Ndiyo, kabla ya YESU kulikuwa na sadaka za kuteketeza ili kupata ondolea la dhambi , na hizi sadaka zilikuwa zinawakilisha ujio wa YESU.Vipi na wale watu walioishi na kufa kabla yesu hajazaliwa. Na wao dhambi zao zimefutwa na yesu msalabani ?
Alikuja kutuonyesha njiaNawasalimu Salam ya wakati huu.
Kiukweli kabisa Mimi hili suala mpaka kesho sijawahi kulielewa,
Kama tunaambiwa kwamba dhambi zetu yesu alizimaliza msalabani sasa kwanini watu wanalia na kusaga meno kila siku wasamehewe dhambi zao?
Je, kuna makundi ya dhambi zilizosamehewa na ambazo bado ama?
Na kwanini kwenye kutubu lazima waanze kusema nisamehe Mimi mwenye dhambi?
Mwenye kunielewesha karibu sana.
Mi sikujua kuwa ukisamehewa watakiwa uendelee kufanya makosa mkuu🙏Hivi unajua maana ya kusamehewa?
Nafsi yake ndiyo Mungu ndani ya mwili wa mwanadamu...kilicho sulibiwa ni mwili...(mwana wa adamu) na kilicho kufa na kufufuka siku ya 3 ni mwili siyo nafsi yake ...kumbuka msalabani anamwabia yule mtu kuwa leo hii utakuwa pamoja nami pema peponi...maana nafsi yake ndiyo mungu na mungu awezi kufa hata sekunde moja..hivyo nafsi ya mungu ilitwaa mwili wa mwanadamu husio na nafsi ya mwanadamu ili kujitoa sadaka kwa nafsi yake mwenyewe.Kwahiyo Yesu sio Mungu?
Injili feki za makanisani hiziIpo ivi , baada ya Adam na Eva kuasi ilitakiwa kufa palepale Kwa maana MUNGu alisema hakika utakufa.
16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
Mwanzo 2:16
17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Mwanzo 2:17
Sasa basi YESU alikufa ili uhesabiwe Haki badala ya kufa, ukimwamini YESU hutakufa jumla siku ya mwisho utafufuliwa, dhambi huluhisiwi kutenda Kwa sababu MUNGU anachukia dhambi .