Kama kweli Yesu aliteseka msalabani kwaajili yetu ili tusamehewe dhambi zetu, sisi tunatubu ili iweje?

Yua Welkamu Miss,,,Usijilimiti kwenye fikra tafakari zote zitokeazo katika Maisha,,kuzimsha seli za bongo Kwa unlimited thinking[nje ya boksi]haswa Kwa upande wetu Wanadamu tuliojaliwa utashi,,daahh eckoooh vibaya mnoo we are Superior in our living boundaries universe,,Lavyuu Q💞💞💞
 
Ni bora uamini Yesu yupo uende usimkute kuliko kuaminishwa hayupo na uende umkute ogopa.
 
Kiranga naomba utoe neno hapa umpe ndugu yetu huyu
 
Kwa sababu unarudia dhambi
 
Kutubu dhambi tunapokosea Kwa sisi Wakatoriki Huwa ni inaonesha kuwa umemkubali na kumpokea Yesu Kristo ili awe bwana na mwokozi wa maisha yetu.
Kwa hyo ili Yesu aweze kuzibeba zambi zako lazima umkubali kwanza kuwa bwana na mwokozi wako,hapo ndo atabeba dhambi zako
 
Mambo ya imani hayahitaji logic. Wewe kama unaamini imeandikwa ukiungama ndo utasamehewa,

1 Yoh 1:9-10​


ukishaanza tu logic unapotea. Wewe ni kondoo,ACHA UJUAJI.

YESU alisema:
"Mimi ni Mchungaji Mwema: ninawafahamu kondoo wangu nao wananifahamu"
Yoh 10:14
 
INJILI YA SHETANI YA MUNGU IBILISI MWENYE NAFSI 3 INASEMA KUWA YESU ALISULIBIWA KWA SABABU YA DHAMBI YA ASILI....ILA INJILI TAKATIFU YA MUNGU MMOJA NA NAFSI MOJA HAISEMI HIVYO .....YENYEWE INAFAFANUA KUWA YESU ALISULIBIWA HILI KUZIFUNGA HASIRA ZA MUNGU JUU YA DHAMBI ILI TOBA ZAO WENYE KUTUBIA KATIKA ROHO NA KWELI WAKUBALIWE ...MAANA GHADHABU YA MUNGU ITOKANAYO NA DHAMBI AZIFANYAZO MWANADAMU UPAMBANA NA TOBA ..hivyo kulikuwa na vita mbinguni baina ya toba za wanadamu na ghadhabu ya mungu hadi alipo sulibiwa kristo na ghadhabu kufutwa ili mlango wa toba uwe wazi kwa yoyote atakaye.
 
Hapo sasa

Dini zinavuruga sana akili zetu
 
Hii ndiyo kusema kwamba Yesu alikufa ili kutununulia muda na uwezekano mwingine wa kutubu na kufanyika upya watoto watiifu wa Mungu.
Kama tunaamini kwamba Yesu ni Mungu, we huoni kama hii kauli inajichanganya?
 
Ipo ivi , baada ya Adam na Eva kuasi ilitakiwa kufa palepale Kwa maana MUNGu alisema hakika utakufa.
16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
Mwanzo 2:16

17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Mwanzo 2:17

Sasa basi YESU alikufa ili uhesabiwe Haki badala ya kufa, ukimwamini YESU hutakufa jumla siku ya mwisho utafufuliwa, dhambi huluhisiwi kutenda Kwa sababu MUNGU anachukia dhambi .
 
Vipi na wale watu walioishi na kufa kabla yesu hajazaliwa. Na wao dhambi zao zimefutwa na yesu msalabani ?
Ndiyo, kabla ya YESU kulikuwa na sadaka za kuteketeza ili kupata ondolea la dhambi , na hizi sadaka zilikuwa zinawakilisha ujio wa YESU.
 
Alikuja kutuonyesha njia
 
Kwahiyo Yesu sio Mungu?
Nafsi yake ndiyo Mungu ndani ya mwili wa mwanadamu...kilicho sulibiwa ni mwili...(mwana wa adamu) na kilicho kufa na kufufuka siku ya 3 ni mwili siyo nafsi yake ...kumbuka msalabani anamwabia yule mtu kuwa leo hii utakuwa pamoja nami pema peponi...maana nafsi yake ndiyo mungu na mungu awezi kufa hata sekunde moja..hivyo nafsi ya mungu ilitwaa mwili wa mwanadamu husio na nafsi ya mwanadamu ili kujitoa sadaka kwa nafsi yake mwenyewe.
 
Injili feki za makanisani hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…