Tatizo Lisu kawapora akili zenu zote.Pale mtu anapotoa mapingamizi ya kisheria, na kunukuu vifungu vya sheria kusupport hoja zake kisha ww unamjibu kisiasa, kwa utashi wako, pasipo kuonesha vifungu vya kisheria vya kujibu hoja, hawa watu ni hooligans kabisa, total hopeless!
Wanapaswa kujifunza kwa yote yanayotokea sasa,kwa kile walicho kifanya kipindi ambacho walipewa nafasi ya kutunga sheria kwa manufaha ya Taifa lakini wakaendekeza uchama.Hayo yote sii ya kuyashangaa ,chakushangaza ni uleutaratibu was hati za dharura,na kupitishwa kwa hoja husika kwa utaratibu was ndiooo ,tuukatae utaratibu huu muda no Sasa,huyu anajaribu kutukumbusha kwa Nia njema ,wapitunapo kosea.
Wakurugenzi walikuwa ni watu sahihi sana kwa namna walivyokuwa wakipatikana kabla ya December, 2015, maana walikuwa wanachukuliwa miongoni mwa watumishi. Baada ya hapo walianza kupatikana kwa kuteuliwa kutoka nje ya utumishi wa umma, na hasa wakawekwa makada wa chama ambao hawakuwahi kutumikia public serviceMahakama ilikosea sana kuruhusu wakurugenzi kusimamia uchaguzi huu.mambo wanayofanya wakurugenzi kule chini ni aibu sana. Kwa mfano mkurugenzi wa Moro ni kituko zaidi
KICHWA chako ni kizima mkuu? umeambiwa picha hiyo ina zaidi ya miezi mitatu sababu ipo kwenye mabango mitaani muda mrefu sheria ni kwamba picha inayopelekwa iwe latest miezi mitatu kabla ya kuwasilishwa form, na sikio moja halioneani imekaa upande mna shida gani nyie si usisikilize link hiyo hapo juu? au mmeshikiwa akili?Sasa picha za kwenye form za Magufuli anazoongelea Lisu ni zipi? Hizo siyo picha?
Hiyo siyo tume bali ni genge tu fulani limeundwa kutupotezea muda wetu, Tume ya uchaguzi iko hivyo?Hakuna Tume hapa na Lissu atabaki kuwa shujaa katikaTaifa hili na jana ameandika historia nyingine mbali na ile ya ku-survive shambulizi la risasi 16.
Unaongea alafu unatuambia hakuna maswali na bado unataka tukuamini wewe na hiyo Tume unayoifanyia kazi!!
Pathetic!
Mahakama ni sehemu ya CCM.Mahakama ilikosea sana kuruhusu wakurugenzi kusimamia uchaguzi huu.mambo wanayofanya wakurugenzi kule chini ni aibu sana. Kwa mfano mkurugenzi wa Moro ni kituko zaidi
Yaani picha kukaa upande nayo ni pingamizi?ina maana hadi msigwa anadai lissu alisema hakuna picha????ah aha jamani halafu katoa hoja mbili na ile ya kupigwa mihuri kwenye majimbo mbona ile haizungumziwi?
Hakusema kwamba hakuna picha kaitoa kasoro picha kutoonekana sikio imekaa upande na ya zaidi ya miezi mitatu sababu ipo kwenye mabango muda mrefu picha inatakiwa iwe miezi 3 kabla ya uwasilishaji fomu
Wagombea urais wapo watatu tu mpaka apite bila kupingwa? Hivi wana Ccm tatizo lenu hasa la msingi ni nini? Mbona kichwani ni watupu mno? Mnaweza kuwa binadamu?Hebu msitupotezee muda tuna mambo mengi ya kufanya kuliko upuuzi wa huyo chizi wenu lissu sasa anataka atangazwe amepita bila kupingwa au ?
Hebu msitupotezee muda tuna mambo mengi ya kufanya kuliko upuuzi wa huyo chizi wenu lissu sasa anataka atangazwe amepita bila kupingwa au ?
Sasa huoni kama nyie na Lisu ni wote hamna akili?KICHWA chako ni kizima mkuu? umeambiwa picha hiyo ina zaidi ya miezi mitatu sababu ipo kwenye mabango mitaani muda mrefu sheria ni kwamba picha inayopelekwa iwe latest miezi mitatu kabla ya kuwasilishwa form, na sikio moja halioneani imekaa upande mna shida gani nyie si usisikilize link hiyo hapo juu? au mmeshikiwa akili?
Jinga kweli wewe,picha yenye viwango vya hati ya kusafiria inakubalika hiyo na vipi hiyo picha kuwa na umri zaidi ya miezi mitatu? vipi mihuri ya watu wa NEc wa majimbo?jibu na hizo hoja.Sasa huoni kama nyie na Lisu ni wote hamna akili?
Sikio moja halionekani nayo hiyo ni pingamizi?
Alafu Lisu anaposema picha aliyoweka Magufuli ipo kwenye mabango na njia, kwani mtu huwezi kupiga picha umavaa shati flani leo baada hata ya mwaka ukapiga nyingine kama ile kwa shati lilelile?
Hoja za Lisu ni takataka.
Ukiwasikiliza CHADEMA wa Jamii Forums waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara.
Ngoja niwape hints basi.
Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu kujua Kama wapo kweli?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu kujua Kama vina exist vyote? Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo? Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?
Kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana. Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
Mbona hoja iliyopo ni tofauti na ulichojadili wewe. Au umekosea sehemu ya kuandika dukuduku lakoUkiwasikiliza CHADEMA wa mitandaoni waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara.
Ngoja niwape hints basi.
Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu kujua Kama wapo kweli?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu kujua Kama vina exist vyote? Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo? Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?
Kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana. Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
Lucha ya kwamba ni mpuuzi lakoni nyie welevu mmeshindwa kujibu hoja za mpuuzi kwa vifungu vya sheria.Hebu msitupotezee muda tuna mambo mengi ya kufanya kuliko upuuzi wa huyo chizi lissu sasa anataka atangazwe amepita bila kupingwa au?
masikiniiii weeeewe unajisumbua tu hebu nenda uliko toka ukaendelee na ushoga wako hapo unapiga kelele tu
Nimesikiliza hotuba ya Lissu zaidi ya mara tatu anagonga kwenye vifungu vya NEC wenyewe lakini wamejibu kirahisi na maswali wakakataa, haijakaa sawa watoe maelezo yaliyoshiba ya kisheria ili Lissu aonekane hajui lolote sisi tusiojua sheria tuliona kama Lissu anatufundisha vile hadi unaelewa.
Mpuuzi mkuu ni wewe, asanteHebu msitupotezee muda tuna mambo mengi ya kufanya kuliko upuuzi wa huyo wenu lissu sasa anataka atangazwe amepita bila kupingwa au?
Yaan jamaa angekuwa ticha wa law huwezi kufeli somo lake. Lakini kuna mataga wanasema ule ni upuuzi[emoji23][emoji23]Nimesikiliza hotuba ya Lissu zaidi ya mara tatu anagonga kwenye vifungu vya NEC wenyewe lakini wamejibu kirahisi na maswali wakakataa, haijakaa sawa watoe maelezo yaliyoshiba ya kisheria ili Lissu aonekane hajui lolote sisi tusiojua sheria tuliona kama Lissu anatufundisha vile hadi unaelewa.