Kweli mna mambo mengi yakufanya kwani uongo 😂😂😂😂😂 unadhani kutumia wasanii zaidi ya 200 mchezo!!! Mlijua battle itakuwa kama yule mzee wa maneno matatu Elimu Elimu Elimu😂😂Hebu msitupotezee muda tuna mambo mengi ya kufanya kuliko upuuzi wa huyo wenu lissu sasa anataka atangazwe amepita bila kupingwa au?
Haeleweki tundu😁😁😁😁Wachache sana wamemuelewa Tundu Lissu. Pia kunawalio muelewa lakini wanajifanya hawakumuelewa wanapotezea.
Kiukweli somo tumelipata,Tundu Lissu ametufundisha na kututoa matongotongo sehemu ambayo tuliambua pana haki inatendeka. Ametuambia ,"Je,mimi na wewe tumekwisha kujua kama tume ipo kwa manufaa ya cha tawala.
Ukiwasikiliza CHADEMA wa mitandaoni waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara.
Ngoja niwape hints basi.
Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu kujua Kama wapo kweli?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu kujua Kama vina exist vyote? Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo? Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?
Kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana. Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
wengi wetu hatuji chochote zaidi ya ushabiki. Sheria iliyotumika kuwaekea pingamizi ni ya Tume yenyewe lakini Tume imetumia mamlaka badala ya sheria.Umefwatisha hatua Kwa hatua hoja za hayo mapingamizi? Ni ngumu kuzielewa kama hujafwatilia Kwa makini au kama huna uelewa wa kutosha. Kuna kitu kwenye Sheria kinaitwa "TUME". Tafsiri ya Neno TUME huitungi wewe, ipo kisheria.
Ukitaka kujua umuhim wa kuwa na passport size photos zinazokubalika kisheria, kaombe visa na passport yenye background au umri unaotaka wewe ndio utaona umuhim wa kufwata maelekezo ya passport size photos.
Hakuna kitu hapo mkuuKiukweli Tume ya Uchaguzi imekosa uhalali wa kuendesha uchaguzi huu.
Habari zenu wanajukwaa wenzangu.
Nasema hivi "NEC imepelea kwenye kujibu hoja za Tundu Lissu kizembe". Imekosa uhalali wa kuendelea kusimamia uchaguzi, kwasababu Inajipinga yenyewe na Sheria zake zilizopo ambazo zinaongoza wagombea wote na tume yenyewe.
Binafsi nilitegemea pingamizi za TAL dhidi ya wagombea wenzie zijibiwe na wahusika wenyewe. Lakini NEC imejitokeza hadharani na kuzijibu tena chini ya kiwango pasipo na weridi wa vifungu vya kisheria.
Maoni yangu uwenda kuna shinikizo toka juu ama laa mnamtu wenu mtampitisha kwa nguvu hata kama hatashindwa kwenye uchaguzi huu. Kwa maana hiyo ya Jeche 2015 kule Zanzibar yatajirudia na huku bara.
Je, vipi kuhusu waliopita bila kupingwa na wao umetengua baada ya jana kuinajisi Sheria yenu ya Uchaguzi? Inamaanisha wakina Devotha na wengineo waliofanyiwa figisufigisu zenu watarudishwa na kuwapitasha ili nawao walete ushindani?
Kama haya yote yatafanyika, kunahumuimu gani wakutunga Sheria ambazo nyinyi wenyewe si waumini wazuri wa hizo Sheria?
Kunakitu kikubwa kitatokea katika uchaguzi huu,kupitia tume unayojitamba ipo huru na kupitia wakurugenzi.Watz wanaowajibu wa kuukomesha uhuni ufanywao na Hawa wakurugenzi ili kudumisha amani yetu, wagombea wa ccm baada ya kuona hawana uwezo wa kushinda utumia pesa zao za kampeni kuwahonga wakurugenzi na polisi ili wapite bila kupingwa kwa kuwanyima wananchi haki ya kuchagua viongozi wawatakao huu Ni uhuni,
Kiukweli tunahitaji tume iliyokuwa huruHakuna kitu hapo mkuu
Lissu amesema hatokubali kushindwa kimaghumashi.Mpango wao msipate jimbo hata MOJA.
rejea uchaguzi wa serikali za mitaa
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Kiukweli Tume ya Uchaguzi imekosa uhalali wa kuendesha uchaguzi huu.
Habari zenu wanajukwaa wenzangu.
Nasema hivi "NEC imepelea kwenye kujibu hoja za Tundu Lissu kizembe". Imekosa uhalali wa kuendelea kusimamia uchaguzi, kwasababu Inajipinga yenyewe na Sheria zake zilizopo ambazo zinaongoza wagombea wote na tume yenyewe.
Binafsi nilitegemea pingamizi za TAL dhidi ya wagombea wenzie zijibiwe na wahusika wenyewe. Lakini NEC imejitokeza hadharani na kuzijibu tena chini ya kiwango pasipo na weridi wa vifungu vya kisheria.
Maoni yangu uwenda kuna shinikizo toka juu ama laa mnamtu wenu mtampitisha kwa nguvu hata kama hatashindwa kwenye uchaguzi huu. Kwa maana hiyo ya Jeche 2015 kule Zanzibar yatajirudia na huku bara.
Je, vipi kuhusu waliopita bila kupingwa na wao umetengua baada ya jana kuinajisi Sheria yenu ya Uchaguzi? Inamaanisha wakina Devotha na wengineo waliofanyiwa figisufigisu zenu watarudishwa na kuwapitasha ili nawao walete ushindani?
Kama haya yote yatafanyika, kunahumuimu gani wakutunga Sheria ambazo nyinyi wenyewe si waumini wazuri wa hizo Sheria?
Wananchi watachoka kuchaguliwa wawakilishi wao na tumeKunakitu kikubwa kitatokea katika uchaguzi huu,kupitia tume unayojitamba ipo huru na kupitia wakurugenzi.
Hakuna Tume hapa na Lissu atabaki kuwa shujaa katikaTaifa hili na jana ameandika historia nyingine mbali na ile ya ku-survive shambulizi la risasi 16.
Unaongea alafu unatuambia hakuna maswali na bado unataka tukuamini wewe na hiyo Tume unayoifanyia kazi!
Pathetic!
Hapana,Lissu hakumaanisha hakuna picha kabisa! Alimaanisha picha iliyotumiwa haina vigezo vya kuitwa picha ya pasipoti size.wewe kweli unaamini magufuli hakuweka picha? izi porojo zenu ndo znasababisha mpaka mgombea wenu anarushiwa mawe kwenye mikutano yake! na asipoangalia unaweza kua mwisho wa maisha yake sasa maaana watu wasiojulikana wana ham nae wananchi nao ndo wana ham ya kumshusha na mawe, angalieni na mambo mnayongea yasije kusababisha vita zisizo na akili, Tundu lissu ni kichaa ambae ni kilema, unaweza ona combination hio
Lissu amesema hatokubali kuona dhuluma ama sheria ikipindishwa ili mradi apitishwe mtu flani hapana.Wakurugenzi kwao uchaguzi imekuwa ni biashara kuchukua pesa za kampeni za wagombea wa ccm ili kuwapitisha bila kupingwa huu ni uhuni wa kuwanyima watu haki ya kuchagua wawakilishi. Na yote haya mwanzilishi wake anafahamika
Hapana,Lissu hakumaanisha hakuna picha kabisa! Alimaanisha picha iliyotumiwa haina vigezo vya kuitwa picha ya pasipoti size.
Sasa wewe huoni kama ndio jinga?Jinga kweli wewe,picha yenye viwango vya hati ya kusafiria inakubalika hiyo na vipi hiyo picha kuwa na umri zaidi ya miezi mitatu? vipi mihuri ya watu wa NEc wa majimbo?jibu na hizo hoja.
Watu wamekatwa sababu herufi moja kasahau kuwka herufi kuwa wewe unashangaa sikio na mtu kuangalia upande?
SureKiukweli tunahitaji tume iliyokuwa huru