Kama Magufuli alikuwa kichaa kama watu wanavyodai, kwanini Kikwete na Mkapa walimteua kama Waziri?

Kama Magufuli alikuwa kichaa kama watu wanavyodai, kwanini Kikwete na Mkapa walimteua kama Waziri?

Ebu tuoneshe Watanzania ambao hawana ugonjwa wa akili wanaopaswa kuwa viongozi wa nchi?
Acheni kuwa mnachafua watu kwa hoja mfu ambazo mkiambiwa mzitetee mbele ya watu hamna uwezo huo.
Semeni mapungufu ya viongozi kwa hoja siyo vioja. Hao wazungu mnaowaona wa maana hadi mnakuwa makuhadi wao kila siku wanakamata raia wao kwa makosa ya uahini na hawavumilii usaliti hata kimoja.

Kwa sababu Tanzania hatuna ustaarabu na utamaduni wa kufuata sheria tunadiriki kuwadharirisha viongozi kwa tuhuma hewa.
Kwa hiyo unataka kusema Watanzania wote wana ugonjwa wa akili sawa?

Kama.mnataka kufuata sheria, mnaona mmetuhumiwa uongo, mshitakini Kabendera tupate ukweli mahakamani
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Uteuzi wake ulikua wa ghafla sana,haukupangwa


Acha yaliyojificha yafumuliwe yote
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Sekou toure/bugando sio mirembe
 
Hii mtu anakuwa haambiliki, hasemezeki, hajali kabisa hisia za wanaomzunguka, hataki kukosolewa au kuchalenjiwa (ukimkosoa unakuwa ugomvi), anapenda zaidi kusikilizwa na kusifiwa yeye tu muda wote.
Ohoo jitu la namna hiyo kweli ni lijiwe
 
Wivu tu na nongwa vinawasumbua, maana waliyoshindwa kufanya mwenzao kayafanya maradufu tena kwa miaka 6 tu.

Mapenzi ya Watanzania kwa JPM ni makubwa sana hapo ndio wivu mwingine ulipo.
Leo hii ukiitisha kura Kati ya marehemu JPM bila chama na hawa wengine basi marehemu anaweza kushinda.
 
Ebu tuoneshe Watanzania ambao hawana ugonjwa wa akili wanaopaswa kuwa viongozi wa nchi?
Acheni kuwa mnachafua watu kwa hoja mfu ambazo mkiambiwa mzitetee mbele ya watu hamna uwezo huo.
Semeni mapungufu ya viongozi kwa hoja siyo vioja. Hao wazungu mnaowaona wa maana hadi mnakuwa makuhadi wao kila siku wanakamata raia wao kwa makosa ya uahini na hawavumilii usaliti hata kimoja.

Kwa sababu Tanzania hatuna ustaarabu na utamaduni wa kufuata sheria tunadiriki kuwadharirisha viongozi kwa tuhuma hewa.
Maendeleo aliyoyaleta JPM angekuwa Mjerumani angesifiwa. Yakifanywa Malaysia, Singapore, Korea wanapongeza.

Yakifanywa Tanzania na Mtanzania wanatukana. Kabendera amewahi kulifanyia nini chanya hili Taifa zaidi ya kukandia kila kitu kizuri kinachofanywa na hili Taifa? Yupo kwa maslahi ya Magharibi, kuliangamiza hili Taifa.
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Kumwongelea sana marehemu, hasa kama itakuwa ni kwa ubaya, haipendezi.

Mimi ninachojua ni kuwa marehemu hakuwahi kutibiwa Mirembe.

Nilichoambiwa na mtu mmoja aliyekuwa kwenye nafasi za juu huko Serikalini ni kwamba Marehemu akiwa Waziri, wakati wa Mkapa, ndipo alipogundulika kuwa na hilo tatizo, na waliogundua ni maofisa wake wa chini wizarani. Wakamtaarifu Mkapa. Ndipo baada ya mipango kukamilika kwaajili ya matibabu, Mkapa alimwita na kumweleza kuwa unaenda Ujerumani kwaajili ya matibabu. Marehemu alikataa kuwa yeye haumwi. Mkapa akamwambia kuwa sijakuita kukuuliza kama unaumwa au huumwi bali nakutaarifu kuwa unaenda kwenye matibabu Ujerumani. Ndipo alipopelekwa kutibiwa Ujerumani. Hakutibiwa Mirembe.

Mtu mwingine aliyetajwa kutamka hilo (hilo nilisimliwa na watu) inatajwa kuwa mwenzi wake, ni wakati alipojiwa
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Kwani hao marais walikuwa ni psychiatrist kupima akili za wateule wao?
 
Kumwongelea sana marehemu, hasa kama itakuwa ni kwa ubaya, haipendezi.

Mimi ninachojua ni kuwa marehemu hakuwahi kutibiwa Mirembe.

Nilichoambiwa na mtu mmoja aliyekuwa kwenye nafasi za juu huko Serikalini ni kwamba Marehemu akiwa Waziri, wakati wa Mkapa, ndipo alipogundulika kuwa na hilo tatizo, na waliogundua ni maofisa wake wa chini wizarani. Wakamtaarifu Mkapa. Ndipo baada ya mipango kukamilika kwaajili ya matibabu, Mkapa alimwita na kumweleza kuwa unaenda Ujerumani kwaajili ya matibabu. Marehemu alikataa kuwa yeye haumwi. Mkapa akamwambia kuwa sijakuita kukuuliza kama unaumwa au huumwi bali nakutaarifu kuwa unaenda kwenye matibabu Ujerumani. Ndipo alipopelekwa kutibiwa Ujerumani. Hakutibiwa Mirembe.

Mtu mwingine aliyetajwa kutamka hilo (hilo nilisimliwa na watu) inatajwa kuwa mwenzi wake, ni wakati alipojiwa
Hizi stori zenu bana 😀.
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Kama Paulo Makonda pamoja na ujinga wake mwingi ameteuliwa kuwa RC wa Arusha, kinachokushangaza nini Magufuli kuteuliwa kuwa waziri ?
 
Back
Top Bottom