Kama Makonda ana uthubutu, ajaribu kumpigia Nape simu akiwa jukwaani

Kama Makonda ana uthubutu, ajaribu kumpigia Nape simu akiwa jukwaani

Haitokaa itokee Makonda akampigia Nape simu kama anavyofanya kwa mawaziri wengine.

Kwa bifu lililopo kati ya Nape na Makonda sitegemei kuliona hili likitokea.

Makonda akiwa RC wa DSM aliwahi kutoa amri haramu ya kumtoa utumbo Nape kwa bastola pale Ubungo Plaza. Shukurani zimwendee Maulidi Kittenge aliyezima jaribio hilo.
Mkuu, katika siasa hakuna adui ama rafiki wa kudumu, isipokuwa kuna maslahi ya kudumu. Wewe subiri tu, tuelekeapo uchaguzi wa 2025, kuna siku utawaona wakiwa katika picha ya pamoja huku wote wawili wakionyesha sura zenye kujaa bashsha.
 
Hana huo muda wa kijinga kujibu uzushi.kazi yake kwa sasa ni kuwatumikia wananchi kwa kusikiliza kero zao na kuzipatia majibu stahiki.
Ni kweli Comrade,lakini kumbukumbu bado zipo, kidiplomasia imekaa vibaya hasa Kwa future yake.Kutokulisemea hili mapema ni sawa sawa na kusema waliotoa tamko walikuwa wapumbavu....
 
Haitokaa itokee Makonda akampigia Nape simu kama anavyofanya kwa mawaziri wengine.

Kwa bifu lililopo kati ya Nape na Makonda sitegemei kuliona hili likitokea.

Makonda akiwa RC wa DSM aliwahi kutoa amri haramu ya kumtoa utumbo Nape kwa bastola pale Ubungo Plaza. Shukurani zimwendee Maulidi Kittenge aliyezima jaribio hilo.
Nape ni mdogo sana kwa chama chetu cha Mapinduzi, muda wowote kama kuna issue atapigiwa simu atoe ufafanuzi. Sisi chamani hatuna mkubwa kuzidi chama.
 
Makonda ndio habari ya mjini kwa sasa.wewe kaa hapo hapo subiri uone siku akiapishwa kuwa Rais wetu.
Ni kweli, Makonda ni habari ya mjini kwa kuwa watu wanamshangaa muuaji, mporaji na mtekaji anakuwa mwenezi wa chama. Kwahiyo gumzo ni kubwa sana.

Na kuhusu Makonda kuwa rais niko tayari tuwekeane dau. Mm naweka rehani uhai wangu wewe weka maji ya Uhai. Hilo halitakaa litokee.
 
Kwani Marekani ni Mbinguni?
Ndiko walikompatia yule mwanaye Kaegan kwa njia ya test tube. Makonda kajaliwa makalio makubwa halafu kanyimwa mbegu za uzazi. Kwahiyo kwake yeye kwenda US ni muhimu mno, vinginevyo atabakia na mtoto mmoja.
 
Yaani wewe tangia Mheshimiwa Makonda aingie na kupewa uenezi na kuona namna alivyopokelewa na watanzania kwa shangwe na matumaini makubwa, umekuwa ukiweweseka sana na kuhangaika sana na mheshimiwa Makonda.

Umepiga Majungu umeona kila mtu amekupuuza na sasa unaendelea kubuni na kuandika vimaneno vya hovyo hovyo tu.lengo ni kutaka angalau uone watu wakimchukia Mheshimiwa Makonda lakini unaendelea kupuuzwa tu
Umesahau kuandika namba yako ya simu chini ya comment mkuu
 
Ndiko walikompatia yule mwanaye Kaegan kwa njia ya test tube. Makonda kajaliwa makalio makubwa halafu kanyimwa mbegu za uzazi. Kwahiyo kwake yeye kwenda US ni muhimu mno, vinginevyo atabakia na mtoto mmoja.
Wewe utaendelea kuhangaika sana.utateseka sana moyo wako.utaumia sana .utahangaika sana lakini utaendelea kuona Mheshimiwa Makonda akichanja mbuga katika mioyo ya watanzania na kuendelea kukubalika kwa watanzania utashangaa Mheshimiwa Makonda akiendelea kupaa na kushika nafasi za juu zaidi katika Taifa letu huku wewe ukisalia hapo hapo na uzushi na fitina zako za kishetani .

Shetani hawezi kumshinda Mungu.mipango yako na hila zako za kishetani kamwe haziwezi kumzuia wala kumkwamisha Mheshimiwa Makonda katika kuwasaidia Watanzania wanyonge kupata suluhu ya kero zao pamoja na kukisemea chama chetu
 
Wewe utaendelea kuhangaika sana.utateseka sana moyo wako.utaumia sana .utahangaika sana lakini utaendelea kuona Mheshimiwa Makonda akichanja mbuga katika mioyo ya watanzania
Mbona hujengi hoja ??? Hufuati hata maelekezo ya mwenyekiti wako!!!

Mm nimejenga hoja ya kwann safari za Marekani ni muhimu kwa Makonda kufuatia swali lako kuwa "Kwani US ni mbinguni??"

Badala ya kupinga kwa hoja unamwaga sifa za ubwete kwa Makonda tu.
 
Msoba ndiyo rimoti (rejea wimbo wa Roma).

Wanazichanga karata muda huu, subiri surprises za 2025, sukuma gang hamtaamini.
Hehe kweli msoba mana wanapelekeshwa msoba msoba,,,, tunajua hali zao zilivyo sasa,, wale wataalam wa mambo yao hali mbaya
 
Mbona hujengi hoja ??? Hufuati hata maelekezo ya mwenyekiti wako!!!

Mm nimejenga hoja ya kwann safari za Marekani ni muhimu kwa Makonda kufuatia swali lako kuwa "Kwani US ni mbinguni??"

Badala ya kupinga kwa hoja unamwaga sifa za ubwete kwa Makonda tu.
Hoja gani unayotaka ujibiwe katika huo uzushi na ujinga wako?
 
Mwenezi wa mchongo huyu kama nilivyo wa mchongo mie
Rimoti ya Msoga iko inatafuta channels za TV ndiyo maana ikaona acha iwashe redio kwanza (kawekwa Bashite apige kelele). Channels zikipatikana redio itazimwa.
 
Back
Top Bottom