Kama Makonda ana uthubutu, ajaribu kumpigia Nape simu akiwa jukwaani

Kama Makonda ana uthubutu, ajaribu kumpigia Nape simu akiwa jukwaani

Hoja gani unayotaka ujibiwe katika huo uzushi na ujinga wako?
Ni uzushi kwamba Makonda kaua? Hukusoma press release ya US department of state??

Ni uzushi kuwa Makonda kampata mtoto kwa njia ya test tube?? Hujui kuwa hili ni mojawapo ya mambo yanayomliza makanisani na misikitini??
 
Rimoti ya Msoga iko inatafuta channels za TV ndiyo maana ikaona acha iwashe redio kwanza (kawekwa Bashite apige kelele). Channels zikipatikana redio itazimwa.
Wewe endelea na fitina,uzushi, Majungu na umbea wako wakati Mheshimiwa Makonda akiendelea kubebwa katika mioyo ya watanzania.endelea kuumia moyo wako wakati Mheshimiwa Makonda akiendelea kuombewa kila lililo jema na watanzania. Huna uwezo wa kushindana na mheshimiwa Makonda.
 
Makonda akiendelea kubebwa katika mioyo ya watanzania.
Kuna namna 2 za kumbeba mtu moyoni:- kwa ubaya wake ama kwa wema wake.

Ni kweli Makonda kabebwa mioyoni mwa watanzania kwa maovu makubwa aliyowafanyia. Muuaji mkubwa yule.!!
 
Haitokaa itokee Makonda akampigia Nape simu kama anavyofanya kwa mawaziri wengine.

Kwa bifu lililopo kati ya Nape na Makonda sitegemei kuliona hili likitokea.

Makonda akiwa RC wa DSM aliwahi kutoa amri haramu ya kumtoa utumbo Nape kwa bastola pale Ubungo Plaza. Shukurani zimwendee Maulidi Kitenge aliyezima jaribio hilo.
Na hao mbwa Ambao wanatumilizwa kumwaga tumbo za watu hua wanaakili timam.
 
Kwa karata zilivyokaa mezani muda huu, Makonda anayo future ndani ya chama na serikali, Nape hana.

Labda vijana wa msoga wapindue meza 2025. Wote presha zinapanda na kushuka.
Itakua mara ya kwanza katika historia washamba kuwashinda wahuni.
 
Ni kweli mzee Kinana alikasirika sana baada ya kuona muuaji, mtekaji na mporaji ndiye kayteuliwa kuwa mwenzezi wa ccm taifa.

Shukurani zenu zimwendee mama Samia aliyetumia takribani mwezi mzima kumbembeleza mzee Kinana asijiuzulu.
Wewe nawe huwa mwongo,mzushi na mfitini.
 
Wewe nawe huwa mwongo,mzushi na mfitini.
Tupingane kwa facts.

Makonda hakupendwa na Chongolo.
Makonda hapendwi na Kinana.
Makonda hapendwi hata na Nchimbi.

Anatumia kama dekio ama karai kusafisha nyumba, ikitakata tupa kule.
 
Kuna namna 2 za kumbeba mtu moyoni:- kwa ubaya wake ama kwa wema wake.

Ni kweli Makonda kabebwa mioyoni mwa watanzania kwa maovu makubwa aliyowafanyia. Muuaji mkubwa yule.!!
Mheshimiwa Makonda kabebwa mioyoni mwa watanzania kwa upendo mkubwa sana kutokana na uchapa kazi wake na kugusa Maisha ya watanzania.angalia anakopita namna anavyosaidia watu wa shida za aina mbalimbali na kurejesha tabasamu katika mioyo ya watu.

Huku wewe mtu mzima umekalia umbea ,uongo,uzushi ,fitina na chuki za kijinga. Wewe ni mgonjwa anayehitaji kupewa matibabu kwa haraka sana.maana unaumia sana unapoona Mheshimiwa Makonda akiendelea kupewa heshima na kuungwa mkono na wananchi huku wewe ukipuuzwa tu .
 
Makonda amekuwa habari ya mjini kote nchini Tanzania!
Makonda anawanyima usingizi Chadema kila anavyozidi kupasua anga!
Makonda anawanyima usingizi WAHUNI ndani ya CCM.
Makonda anawanyima usingizi mafisadi ndani ya CCM wanaowaza uraisi wa 2030.
Haya mengine mnahangaika wapumbavu wa keyboard warriors bila mafanikio.
Sijui kubenea wa Chadema anajisikiaje kwa sasa?
Kama walimlaza mzee magu watashindwa mlaza makonda...inabid awe makin na watoto wa mjini gang
 
Tupingane kwa facts.

Makonda hakupendwa na Chongolo.
Makonda hapendwi na Kinana.
Makonda hapendwi hata na Nchimbi.

Anatumia kama dekio ama karai kusafisha nyumba, ikitakata tupa kule.
Huo ushahidi upo wapi? Pia tambua kuwa yupo kwenye uenezi kwaajili ya kukitumikia chama na wananchi.hayupo kwa ajili ya kuangalia anapendwa na wangapi.akipendwa na wananchi ndio heshima kubwa sana mbele za Mungu kwa kuwatumikia na kuwasaidia waja wake. Chama ni kimoja na viongozi wetu ni wamoja na ndio maana kazi na shughuli za chama zinaendelea vyema kabisa.

Hayo Majungu na uzushi wako ni katika kujifariji tu na ujinga wako uliokujaa kichwani mwako.
 
Kama walimlaza mzee magu watashindwa mlaza makonda...inabid awe makin na watoto wa mjini gang
Uhai wa mtu upo mikononi mwa Mungu pekee .hayupo mwenye hati miliki ya kuishi milele hapa Duniani. Mheshimiwa Makonda ataendelea kutimiza majukumu yake na kulindwa na Mwenyezi Mungu.usiwaogope wale wanao na kuudhuru mwili lakini wakashindwa kuiangamiza roho.Muogope sana yule awezaye kuitoa roho ya mtu na haya kumpa mtu uhai.

Mheshimiwa Makonda yupo hai kwa sababu Mungu anakusudi naye na mipango naye katika kuwasaidia na kugusa maisha ya watanzania wanyonge.kila mtu wakati wake ukifika wa kuishi hapa Duniani ataondoka kwa njia yake kwa kadri Mungu alivyompangia kuishi na njia ya kuondoka kwake.
 
Makonda amekuwa habari ya mjini kote nchini Tanzania!
Makonda anawanyima usingizi Chadema kila anavyozidi kupasua anga!
Makonda anawanyima usingizi WAHUNI ndani ya CCM.
Makonda anawanyima usingizi mafisadi ndani ya CCM wanaowaza uraisi wa 2030.
Haya mengine mnahangaika wapumbavu wa keyboard warriors bila mafanikio.
Sijui kubenea wa Chadema anajisikiaje kwa sasa?
Kama kweli anaweza kuwanyima usingizi wahuni ndani ya lichama letu basi hata mimi nitamuunga mkono !!
Ngoja Tusubiri tuone hii movie 🎥 !🙏🙏
 
Uhai wa mtu upo mikononi mwa Mungu pekee .hayupo mwenye hati miliki ya kuishi milele hapa Duniani. Mheshimiwa Makonda ataendelea kutimiza majukumu yake na kulindwa na Mwenyezi Mungu.usiwaogope wale wanao na kuudhuru mwili lakini wakashindwa kuiangamiza roho.Muogope sana yule awezaye kuitoa roho ya mtu na haya kumpa mtu uhai.

Mheshimiwa Makonda yupo hai kwa sababu Mungu anakusudi naye na mipango naye katika kuwasaidia na kugusa maisha ya watanzania wanyonge.kila mtu wakati wake ukifika wa kuishi hapa Duniani ataondoka kwa njia yake kwa kadri Mungu alivyompangia kuishi na njia ya kuondoka kwake.
Mawazo ya watu wa dunia ya 3.
Kwamba wanaoish hapa dunia wako kwa mpango wa mungu na waliokufa bas ndo hvyo...watu wanauwawa kila siku kongo,syria,palestine..etc..tena wengne ni watoto wachanga..wanauwawa kwa ujinga wa wanasiasa..halaf unasema ni mipango..

Hiv watu mkoje.
 
Haitokaa itokee Makonda akampigia Nape simu kama anavyofanya kwa mawaziri wengine.

Kwa bifu lililopo kati ya Nape na Makonda sitegemei kuliona hili likitokea.

Makonda akiwa RC wa DSM aliwahi kutoa amri haramu ya kumtoa utumbo Nape kwa bastola pale Ubungo Plaza. Shukurani zimwendee Maulidi Kitenge aliyezima jaribio hilo.
Nape kutishiwa bunduki mpaka Hamorapa kutoka nduki na kuapa hatataka sifa za kijinga haikuwa mlimani city,ni hotel Moja hivi Iko Masaki.
 
Mawazo ya watu wa dunia ya 3.
Kwamba wanaoish hapa dunia wako kwa mpango wa mungu na waliokufa bas ndo hvyo...watu wanauwawa kila siku kongo,syria,palestine..etc..tena wengne ni watoto wachanga..wanauwawa kwa ujinga wa wanasiasa..halaf unasema ni mipango..

Hiv watu mkoje.
Sikiliza wewe nikwambie ya kuwa siku zako wewe za kusihi hapa Duniani zipo Mikononi kwa Mungu.siku yako ikifika huna ujanja wa kukwepa kifo chako.kwa hiyo Mwanadamu hata akitaka kukatisha uhai wako kama Mungu hajaamua atakuepusha na hila zote za shetani na kukilinda kama alivyomlinda na kumpigania Mfalme Daudi dhidi ya mipango ovu ya Sauli aliyetaka kumuangamiza.
 
Back
Top Bottom