Kama Makonda ana uthubutu, ajaribu kumpigia Nape simu akiwa jukwaani

Narudia tena..sio kosa lako..ni mawazo ya 90% ya watu wa dunia ya 3...
Hiv ushawai jiuliza kwann life expectancy ya watu wa bara ulaya au japan na life expenctancy ya wachumia tumbo huku africa ni tofaut sana
55 /85

Na hapo utasema ni mipango ya mungu.

Bwana mwashambwa
 
Kama makonda alitoa hiyo amri basi aliona mbali sana ...maana huyo nape ni mmoja wapo ya watesi wa taifa tena alitakiwa kumwagwa ubongo kabisa ...hafai kuishi
 
Kwa karata zilivyokaa mezani muda huu, Makonda anayo future ndani ya chama na serikali, Nape hana.

Labda vijana wa msoga wapindue meza 2025. Wote presha zinapanda na kushuka.
Huelewi kitu, wanaccm wote hawana future na nchi hii. Dalili za ccm kuondoka madarakani ziko wazi eitha kwa hiari yaani uchaguzi au kwa nguvu na sijui ni nguvu gani but yaja hayo upesi

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Nape form four alikula four ya 29.Na alikuwa Nsumba Moja ya shule nzuri Kwa wakati huo ,ikifaulisha vizuri sana.Kweli Nepi ni kilaza.
Na huyo mwingine naye anatakiwa kutuambia hadharani Daudi Albert Bashite kutoka Kijiji cha Kolomije ni nani yake.
 
Akitaka atampigia tu ccm kwenye maendeleo ya chama chao hawana ugomvi wanazuga kama wanagombana hili kuwa Hadaa watu lakini lao linakua moja
 
Umesahau kuweka namba ya simu wewe mavi yako
 
Makonda na nape wanaweza siSa ndog ndogo. Hata huyo mwingine hawezi
 
Dogo anajikosha na huenda anatumika tu pasipo kujua. Ila sidhani ndani ya hii CCM ya watoto wa mjini, kama ana chake.
Hakuna Cha watoto wa mjini hapo subir anguko la mwenye kilinge Cha msoga kabla ya uchaguzi mkuu ndiyo utajua hujui kuwa system na wananchi wakichoka hicho kilinge
 
Kwanza Wana CCM wanasamehe chadema wao ni bifu bifu hovyo kbs angalia Dr Slaa na wale wanawake 19
 
Ni kweli mzee Kinana alikasirika sana baada ya kuona muuaji, mtekaji na mporaji ndiye kayteuliwa kuwa mwenzezi wa ccm taifa.

Shukurani zenu zimwendee mama Samia aliyetumia takribani mwezi mzima kumbembeleza mzee Kinana asijiuzulu.
Hujui chochote zaidi ya upimbi
 
Toka Rais aseme anamuunga mkono Makonda kwa hicho anachokifanya, yeyote kwa sasa anapokea simu na kujieleza!
 
Akili yako imejaa utoko.mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…