Kama Makonda ana uthubutu, ajaribu kumpigia Nape simu akiwa jukwaani

Hiyo Wizara ya kike Haina changamoto za kupigiwa simu
 
Ni kweli mzee Kinana alikasirika sana baada ya kuona muuaji, mtekaji na mporaji ndiye kayteuliwa kuwa mwenzezi wa ccm taifa.

Shukurani zenu zimwendee mama Samia aliyetumia takribani mwezi mzima kumbembeleza mzee Kinana asijiuzulu.
Kinana ni Mkimbizi ...CDF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…