Hata maandiko matakatifu yanasema hivyo, kuwa dunia inamilikiwa na shetani;Marekanj ndiko dunia ya sasa iliko,free world. Kila mwanadamu anatamani kuishi ulaya na usa
Umli wako please!Ukiona Mtu povu linamtoka Sanaa ujue Mvaa Kobazi alafu huyo huyo Ripoti ya CAG ikisomwa Analalamika Eti Watu Wezi Alafu tukikupa Nafasi nenda Afghanistan Hutaki Sa Tukueleweje chagua 1
shetan uliwai muona wap na je nan alithibitisha hayo unayoamin ni kwel matendo ya kishetan ? au ndo walitaka kututisha tusiish kwa amani tu?Jibu rahisi tu. Mambo ya kishetani ndiyo yenye kuvutia zaidi watu hapa duniani. Si unaona hata night clubs....
ila UK ni cha mtoto kwa USAUSA sijawai kabisa kuikubali , na siichukii hata kidogo.. ila nchi yangu pendwa baada ya Tanzania ni Kingdom of Great Britain maisha yangu yaliyobakia nitayamalizia hukoo
Kweli kabisaila UK ni cha mtoto kwa USA
Umemalizaaaaaaa haswaaaaah.Mi navyojua hata mitaani ukisikia mtu katika stori anakuambia habari za "mambele" huwa hamaanishi China, Urusi, Korea, india, Uk, wala Mexico
Hapo ni Marekani inakusudiwa.
Hata mtu akiwa yuko positive kwa kila jambo utasikia "fulani ni mzungu sana" yani huo uzungu haumaanishi huyo mtu amefananishwa na mfaransa sijui au nani... hapo ni MMarekani
Hata slang, lifestyle watu wanaangalia Marekani wanafanya nini.
Hata wasanii wetu wa hapa hawafanyi mziki kwa kumuangalia msanii fulani maarufu wa China, Urusi, Korea, India ili awe motivated au kama role model wake
Marekani ndio inspiration nation karibia kila Carrier, mapungufu yao kwenye maswala madogo madogo ya ushoga yasiwe sababu ya watu kushindwa kuusema ukweli ambao unaonekana dhahiri.
Kulikuwa na wahindi na wachina walikuwa wanajifanya wao wame-stick kwenye utamaduni wao
Hapa ni mchina akiwa na vazi lake la kiasili ambalo ndio walikuwa wabishi kujifanya watunza misingi
View attachment 2590942
Angalia saizi
View attachment 2590947
Na ndio maana hata Bruce Lee alienda kuishi Marekani, aliona home ni miyeyusho
Wahindi ndio kabisaaa kama ulikuwa unafatilia hata zile nyimbo zao kwenye movies wanazoigiza saizi ni tofauti na za miaka ile.
Kumekuja na evolution yenye taste mpya ya kimarekani ambapo humo na rap zipo, hiyo ni department ya sanaa ya upande wa nyimbo tu, ila kuna mengi.
Na ndio maana Mkorea kaskazini akaona bila kutumia nguvu ya ziada kuweka sheria ngumu hapa baada ya miaka kadhaa nitakuwa natawala Taifa ambalo lina falsafa zote za kimarekani.
Na ndio maana akapiga marufuku uvaaji wa jinsi ya blue. Lakini baadaye alipoona hata hizi rangi nyingine nazo zimekuwa zikivaliwa sana akaamua nazo apige marufuku totally.
Nchi yetote ambayo raia wakapewa uhuru bila sheria za kuwabana wote wata adapt culture ya kimarekani.
Ukiona nchi raia wanaishi katika lifestyle tofauti na ya Marekani ujue kuna sheria kali imesimikwa na wala sio jambo la kuwapa pongezi raia kuwa wamekubali asili yao kwasababu wameshurutishwa kuishi hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Saudi Arabia, Iran na Qatar.
Huna access wee ya kufika huko, nitolee uongo wako hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio kila mtu.
Mimi sina ndoto ya kufika state na sijawahi kutamani licha ya kuwa na access ya kufika huko.
NB: Hakuna nchi ya kishetani wala ki Mungu.
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.
Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Hawazid hata 2000. Halafu wote walioenda huko wanaomba kurudi huku wakilia. Mudi na allah wamewatelekeza😆😆😆👆🏿👆🏿Islamic State: What is the attraction for young Europeans?
Frank Gardner looks at the underlying factors propelling young Europeans towards joining so-called Islamic State.www.bbc.com
Hawazid hata 2000. Halafu wote walioenda huko wanaomba kurudi huku wakilia. Mudi na allah wamewatelekeza😆😆😆👆🏿👆🏿
Umri Namba Hata Wajinga wanazeeka na Ujinga WaoUmli wako please!
Mt 7:13-14 SUVHuwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.
Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Shetani ni kiumbe mtenda maovu hata binadamu anaweza kuwa shetani kama mfumo wake wa maisha alioichagua ni wa laana tupu.shetan uliwai muona wap na je nan alithibitisha hayo unayoamin ni kwel matendo ya kishetan ? au ndo walitaka kututisha tusiish kwa amani tu?
naenda RUSSIANjia zipo mbili tu!
1. kuna njia nyembambaa iendayo uzimani... ni watakatifu walio-wachache sana huenda huko
2. Kuna njia pana iliyojaa vivutio vya kila aina.... hiyo hutumiwa na watu wengi sana wenye dhambi wasiomtii Mwenyezi Mungu.......
kazi kwako kuchagua uende wapi....
Yesu ni MUNGUThe Top 5 Countries Where ISIS Gets Its Foreign Recruits
The terrorist group is a multinational organization, attracting recruits from around the world. Here, the top 5 countries they come fromtime.com
We tema mate chini beer sio kitu chakishetaniMuulize mtoa post usiniulize mimi. Mimi nimejibu kulingana na swali. Yeye ndo amesema ya kishetani na mimi nimejibu kulingana na vitu vingine vya kishetani vinavyopendwa kama "beer" nk.
Huwa natamani sana yale mafukwe yanayooneshwaga kwenye video sijui ni Brazil au Jamaica sio siri huwa yananishawishi sana hakika watu wanastareheNapitia comments hapa naona watu wanaandika andika tuu uongo uongo tuu na unafiki.
Kiukweli sisi watu weusi tumejaa unafiki.
Hapa wanaandika hawataki kwenda,hawapapendi na kebehi zingine.
Lakini amini nakwambia America ni bara nambari moja duniani wanaadamu kwa % kubwa wanatamani kufika,kutembelea ama hata kuishi maana mapicha na mavideo yake tuu yanashawishi.
Hakuna mtu asiyependa vitu vizuri.
minadha kamaanisha njia yakwenda peponi fikilia kuhusu congo, sudani nkKwa ivo Afrika ndiyo peponi??