1. Mbowe alizingua kwa Zitto.
2. Mbowe alizingua kwa Dr. Slaa.
3. Mbowe alizingua kwenye maridhiano.
Kote huko alifanikiwa kuwapiga sound watanzania wakaingia king.
Sasa;-
4. Akizingua kwa Lisu, imekula kwake.
Kwasababu, watanzania wameamka na watamstukia akidanganya tena.
You cannot lie all people all the time.
Watanzania wanataka mabadiliko, CHADEMA mkizingua watayatafuta kwingine.
2. Mbowe alizingua kwa Dr. Slaa.
3. Mbowe alizingua kwenye maridhiano.
Kote huko alifanikiwa kuwapiga sound watanzania wakaingia king.
Sasa;-
4. Akizingua kwa Lisu, imekula kwake.
Kwasababu, watanzania wameamka na watamstukia akidanganya tena.
You cannot lie all people all the time.
Watanzania wanataka mabadiliko, CHADEMA mkizingua watayatafuta kwingine.