Pre GE2025 Kama Mbowe atachukua fomu kugombea uenyekiti, ni bora kuanzisha chama kipya cha siasa. Watanzania wanataka mabadiliko lakini CHADEMA ni tatizo

Pre GE2025 Kama Mbowe atachukua fomu kugombea uenyekiti, ni bora kuanzisha chama kipya cha siasa. Watanzania wanataka mabadiliko lakini CHADEMA ni tatizo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
1. Mbowe alizingua kwa Zitto.

2. Mbowe alizingua kwa Dr. Slaa.

3. Mbowe alizingua kwenye maridhiano.

Kote huko alifanikiwa kuwapiga sound watanzania wakaingia king.

Sasa;-
4. Akizingua kwa Lisu, imekula kwake.

Kwasababu, watanzania wameamka na watamstukia akidanganya tena.

You cannot lie all people all the time.

Watanzania wanataka mabadiliko, CHADEMA mkizingua watayatafuta kwingine.
 
Pumbav maccm hivyo vyama vingine 19 vinakazi gani?!
images (1).jpeg
 
Chadema ni ofisi ya Mbowe.
Jamaa anapiga mpunga mrefu sana kwa kupoozwa na ccm.
Nina wasiwasi Lowasa na Mbowe lilikuwa dili la ccm.

Bora tupate chama kipya kinachomaanisha
Kabisa mkuu. Wanatia kinyaa kwenye demokrasia kwa kukataza watu wengine kugombea uenyekiti. Hiki bila shaka ni mradi wa familia ya Mbowe.
 
1. Mbowe alizingua kwa Zitto.
2. Mbowe alizingua kwa Dr. Slaa.
3. Mbowe alizingua kwenye maridhiano.
Kote huko alifanikiwa kuwapiga sound watanzania wakaingia king.

Sasa;-
4. Akizingua kwa Lisu, imekula kwake.

Kwasabb, watanzania wameamka na watamstukia akidanganya tena.

You cannot lie all people all the time.

Watanzania wanataka mabadiliko, chadema mkizingua watayatafuta kwingine.
Mbowe asome alama za nyakati, akituvurugia chama atabakia na wanachama wa kuhesabika kma CUF ya Lipumba
 
Chadema ni ofisi ya Mbowe.
Jamaa anapiga mpunga mrefu sana kwa kupoozwa na ccm.
Nina wasiwasi Lowasa na Mbowe lilikuwa dili la ccm.

Bora tupate chama kipya kinachomaanisha
Chama kipya ni kupoteza muda, wabanane mumo kwa mumo.

CHADEMA kipate mwenyekiti mpya ambae atakiweka njia sahihi na fikra mpya.

Freeman Mbowe awe mlezi wa chama.

Pia ipo nafasi ya kufanya mabadiliko ya katiba ya CHADEMA kwamba Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa chama na Tundu Lissu awe kiongozi wa chama ambae ndie atakuwa mgombea wa uraisi kupitia CHADEMA.

Utaratibu huu watumika katika nchi nyingi duniani chama kinakuwa na mwenyekiti na makamu wake lakini katika kuongoza chama khasa katika chaguzi ni kiongozi wa chama (Leader) ambae baadae chama kikishinda uchaguzi anakuwa ndie raisi akiingia na baraza lake kivuli la mawaziri alowaandaa.

Zote ni njia sahihi za kumpata kiongozi sahihi ambae kwa wakati huu ni Tundu Lissu.
 
Chama kipya ni kupoteza muda, wabanane mumo kwa mumo.

CHADEMA kipate mwenyekiti mpya ambae atakiweka njia sahihi na fikra mpya.

Freeman Mbowe awe mlezi wa chama.

Pia ipo nafasi ya kufanya mabadiliko ya katiba ya CHADEMA kwamba Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa chama na Tundu Lissu awe kiongozi wa chama ambae ndie atakuwa mgombea wa uraisi kupitia CHADEMA.

Utaratibu huu watumika katika nchi nyingi duniani chama kinakuwa na mwenyekiti na makamu wake lakini katika kuongoza chama khasa katika chaguzi ni kiongozi wa chama (Leader) ambae baadae chama kikishinda uchaguzi anakuwa ndie raisi akiingia na baraza lake kivuli la mawaziri alowaandaa.

Zote ni njia sahihi za kumpata kiongozi sahihi ambae kwa wakati huu ni Tundu Lissu.
Ndg umeona genge la Mbowe limecharuka na Mbowe anachekelea.
Alikuwa na nafasi ya kuwaonye viumbwa koko vyake akina @yerico nyerere vitulize viherehere lkn yupo kimys
 
Ndg umeona genge la Mbowe limecharuka na Mbowe anachekelea.
Alikuwa na nafasi ya kuwaonye viumbwa koko vyake akina @yerico nyerere vitulize viherehere lkn yupo kimys
Ndo watanzania wafahamu jinsi nchi hii inavyochezewa na hao wote ndo wajitokeza sasa ili watanzania wawatambue.

Hata siasa za wapinzani zimeharibiwa na magenge kama hilo.
 
1. Mbowe alizingua kwa Zitto.

2. Mbowe alizingua kwa Dr. Slaa.

3. Mbowe alizingua kwenye maridhiano.

Kote huko alifanikiwa kuwapiga sound watanzania wakaingia king.

Sasa;-
4. Akizingua kwa Lisu, imekula kwake.

Kwasababu, watanzania wameamka na watamstukia akidanganya tena.

You cannot lie all people all the time.

Watanzania wanataka mabadiliko, CHADEMA mkizingua watayatafuta kwingine.akubaliana nawe
Nakubaliana nawe
 
1. Mbowe alizingua kwa Zitto.

2. Mbowe alizingua kwa Dr. Slaa.

3. Mbowe alizingua kwenye maridhiano.

Kote huko alifanikiwa kuwapiga sound watanzania wakaingia king.

Sasa;-
4. Akizingua kwa Lisu, imekula kwake.

Kwasababu, watanzania wameamka na watamstukia akidanganya tena.

You cannot lie all people all the time.

Watanzania wanataka mabadiliko, CHADEMA mkizingua watayatafuta kwingine.
Ukishawaweka Slaa na Zitto kama wanamageuzi(hasa Slaa) maelezo yako yote yanakuwa takataka, sellouts wawe mifano? So childish.
💩💩💩💩💩Bunch of shit.
 
Hapana! Kirusi kinapewa nafasi ya kuwa makamu mwenyekiti wa chama? Tena kampeni alipiga kwa Zoom wakati huo.

Huo ukirus wa Lisu umeonekana kwenye kugombea nafasi ya uenyekiti tu??
Haahaa kirusi kilichukuliwa fomu kikiwa kitandani Nairobi ya makamu mwenyekiti, Yaani demokrasia inayohubiriwa na boni yai wakiwa wanapambana na ccm utashangaa
 
Back
Top Bottom