zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Umeona comments za wenyeviti wa majimbo kuanzia Nyasa hadi Pwani? Wote wanamuona msaliti na kirusi.Lissu katangaza kugombea, Mbowe kimya. Lissu amechukua fomu za kugombea, Mbowe kimya. Sijui amemkataza vipi kugombea kama unavyodai? Na kuna mwingine pia aliyetangaza nia, nae hakuzuiwa.
Amandla...
Huu uchambuzi wako nimeupenda....ila kwa sasa Ukweli Mchungu ni kwamba Mbowe atangaze kustaafu ampishe Lissu ili kutunza heshima kwa Chama na Taifa kwa ujumla.Naamini Mbowe anaweza kushinda sababu ya kwamba viongozi wa chadema at least 90% wamekua kisiasa au kuingia chadema kwa invitation na mentorship ya Mbowe including Lissu.
Having said that, Mbowe akitumia incumbency, intimidation, threats na figisu kushinda ndio ataharibu ila akikeep his cool apige kampeni kwa wajumbe mbona atashinda tu na ndio demokrasia tunayotaka.
Tatizo ni hawa machawa, wanataka apite bila kupingwa au ashinde kwa kishindo na ndio wataharibu hata ushindi wake (in case atashinda).
Mimi ni Team Lissu ila nina uhakika hata Lissu akishinda itakua 50-55% hata Mbowe hawezi pata zaidi ya 60%. Kwa lissu itakua ni ushindi ila kwa mbowe 50-55% ya ushindi itakua imetia doa credibility yake na mandate. Kwahiyo hawa machawa ndio watataka wafanye figisu zote ili Mbowe ashinde kwa 90%!! Na hiki ndio kinafanya waanze rafu mapema sana licha ya Mbowe mwenyewe kuwa kimya.
Ushauri: Mbowe achague, agombee na ashindwe au ashinde kwa simple majority akose mandate au ajitoe ili watu wengi zaidi wachukue fomu na ndio tuone demokrasia ya kweli. Otherwise matokeo yotote yale yatakua damage kubwa kwa Mbowe na chadema
Sema nilichogundua kwa muda wote huu ni kwamba; siasa kwa Tanzania, ni biashara! na pia ni ajira!
Kwenye maelezo yangu hapo juu hakuna mahali nimesema kuna tatizo siasa kuwa ajira. So relax, ok?Kuna tatizo siasa ikiwa ni ajira?
Biashara nini kinanunuliwa na kuuzwa kwenye siasa?
Imefika huko? Ila mimi siamini kuwa Lissu ana nia mbaya. Siamini pia kuwa ni msaliti au kirusi. Naona kama kuna watu wanamtumia bila yeye kustuka. Sio bure machawa maarufu wa CCM wanampigia debe sana Mbowe. Wanajua wakifanya hivyo watu watahisi kuwa Mbowe anapendwa na CCM na hivyo kumgeukia mtu "asiyetakiwa" na CCM kumbe huyo ndie anayetakiwa.Umeona comments za wenyeviti wa majimbo kuanzia Nyasa hadi Pwani? Wote wanamuona msaliti na kirusi.
Haki is in the eye of the beholder. Hata asimamie malaika bado kuna watu watadai kulikuwa na figisu figisu. Na msingi wa kudai hivyo ndio unajengwa.Uchaguzi uwe wa haki tu, hatuna tatizo na matokeo yoyote ya haki.
Mmekua watu wapumbavu sana , mnafikili kuanzisha chama ni kazi nyepesi , mapungufu kwenye taasis ni jambo la kawaida , Mbowe ni binadam anaweza kuwa na mapungufu na kuyasahihisha.1. Mbowe alizingua kwa Zitto.
2. Mbowe alizingua kwa Dr. Slaa.
3. Mbowe alizingua kwenye maridhiano.
Kote huko alifanikiwa kuwapiga sound watanzania wakaingia king.
Sasa;-
4. Akizingua kwa Lisu, imekula kwake.
Kwasababu, watanzania wameamka na watamstukia akidanganya tena.
You cannot lie all people all the time.
Watanzania wanataka mabadiliko, CHADEMA mkizingua watayatafuta kwingine.
Mkuu, Lissu alitangaza hadharani nia ya kugombea, sasa kuna uongozi wa chama utamnyima fomu ili kila mtu auone kuwa unambania jamaa??Mimi sijui kwa nini watu wanasema kuwa uongozi wa sasa wa CDM hawataki Lissu agombee wakati kapewa fomu hadharani?
Au mnaweka mazingira ya kuleta machafuko katika chama kama mtu wenu atashindwa? Sio vizuri mnavyofanya.
Amandla...
Kwenye katiba mpya watu wanapigania uwepo wa mgombea binafsi ili kuondokana na mambo kama hayo ya vyama kulindwa kwa wivu mkubwa. Ishu ya mgombea binafsi hata CHADEMA wenyewe hawaiungi mkono, wanataka mambo ya mgombea kulazimika kuwa mwanachama wa chama cha siasa yaendelee ili wawabane watu kama kina Lissu.Mmekua watu wapumbavu sana , mnafikili kuanzisha chama ni kazi nyepesi , mapungufu kwenye taasis ni jambo la kawaida , Mbowe ni binadam anaweza kuwa na mapungufu na kuyasahihisha.
We unafikili icho chama mnataka kuanzisha kutakua na malaika tu acheni ujinga .
Chadema hii inatakiwa kulindwa kwa wivu mkubwa sana ,mambo ya kuanzisha mavyama mapya ni kupoteza mda
Haahaa mbowe anaona hata aibu kutangaza kwa umma kwamba anangombea uwenyekitiMbowe kapoteza ushawishi, akae pembeni awapishe watu wengine, asishupaze shingo.
Haahaa haohao wakiwa majukwaani wanapambana na ccm eti kupigania demokrasiaUmeona comments za wenyeviti wa majimbo kuanzia Nyasa hadi Pwani? Wote wanamuona msaliti na kirusi.
Baada ya akumsikia Boni Yai juzi nipistaajabika sana nikajisema kweli bado hatujataka kuwa na upinzani Tanzania. Na kwa mshangao Mkubwa Mwenye kiti alikuwa amefurahi mno yale aliyokuwa anayasikia toka kwa Boni YaiSema nilichogundua kwa muda wote huu ni kwamba; siasa kwa Tanzania, ni biashara! na pia ni ajira!
Kwa hiyo una amini kuwa asingetangaza hadharani angenyimwa fomu? Hata baada ya Mwenyekiti kusema hadharani ( Lissu akiwepo) kuwa hajawahi kumzuia mtu kugombea na hamna mtu atakayezuiwa?Mkuu, Lissu alitangaza hadharani nia ya kugombea, sasa kuna uongozi wa chama utamnyima fomu ili kila mtu auone kuwa unambania jamaa??
je wewe utatafuta kwtngine1. Mbowe alizingua kwa Zitto.
2. Mbowe alizingua kwa Dr. Slaa.
3. Mbowe alizingua kwenye maridhiano.
Kote huko alifanikiwa kuwapiga sound watanzania wakaingia king.
Sasa;-
4. Akizingua kwa Lisu, imekula kwake.
Kwasababu, watanzania wameamka na watamstukia akidanganya tena.
You cannot lie all people all the time.
Watanzania wanataka mabadiliko, CHADEMA mkizingua watayatafuta kwingine.
Sasa kama Mbowe amekigeuza kuwa mali ya familia yake, watanzania wafanyeje?Mmekua watu wapumbavu sana , mnafikili kuanzisha chama ni kazi nyepesi , mapungufu kwenye taasis ni jambo la kawaida , Mbowe ni binadam anaweza kuwa na mapungufu na kuyasahihisha.
We unafikili icho chama mnataka kuanzisha kutakua na malaika tu acheni ujinga .
Chadema hii inatakiwa kulindwa kwa wivu mkubwa sana ,mambo ya kuanzisha mavyama mapya ni kupoteza mda
Soma heading ya uzi utaelewa.je wewe utatafuta kwtngine
Acha upotoshaji wa kijinga, haki inafahamika na figisu inafahamika.Haki is in the eye of the beholder. Hata asimamie malaika bado kuna watu watadai kulikuwa na figisu figisu. Na msingi wa kudai hivyo ndio unajengwa.
Henry Ford aliwaambia wanunuzi wa gari zake kuwa wako huru kuchagua gari la rangi yeyote ili mradi iwe nyeusi. Na humu inajengwa hisia kuwa uchaguzi utakubalikq kuwa wa haki pale tu Lissu atakapotangazwa kuwa mshindi.
Amandla...
Duniani kote siasa ni ajiraSema nilichogundua kwa muda wote huu ni kwamba; siasa kwa Tanzania, ni biashara! na pia ni ajira!
Watu wanaweza kutofautiana mawazo bila kutukanana. Bahati mbaya inaelekea hilo ni ngumu kwako. Kwaheri.Acha upotoshaji wa kijinga, haki inafahamika na figisu inafahamika.