1. Mbowe alizingua kwa Zitto.
2. Mbowe alizingua kwa Dr. Slaa.
3. Mbowe alizingua kwenye maridhiano.
Kote huko alifanikiwa kuwapiga sound watanzania wakaingia king.
Sasa;-
4. Akizingua kwa Lisu, imekula kwake.
Kwasababu, watanzania wameamka na watamstukia akidanganya tena.
You cannot lie all people all the time.
Watanzania wanataka mabadiliko, CHADEMA mkizingua watayatafuta kwingine.