Kama Mbunge ulipita bila kupingwa au uliiba kura lazima utambue wewe ni "Mtumwa" wa DED hadi 2025

Kama Mbunge ulipita bila kupingwa au uliiba kura lazima utambue wewe ni "Mtumwa" wa DED hadi 2025

Yatima mataga baba yenu kafa kifo cha fedheha na aibu kwa ukuda aliofanya. Hakuna mbunge ccm 2020 alishinda uchaguzi. Ndio mana yanakufa kama uyoga
 
Tume iliendesha Uchaguzi kwa kufuata Sheria za Uchaguzi na kama Mbunge au Diwani kapita bila kupingwa basi ni dhahiri Sheria zilitumika ipasavyo . Kama Mgombea hakulidhika na mato0keo mbona mpaka leo hawakwenda Mahakamani maani Mahakama ndiyo inayotoa haki kama haki yako ilinyang'anywa basi Mahakama itarejesha haki yako. Pia Wabunge wale 19 wa CHADEMA , Chama kiliwasilisha majina yao Tume kwa barua na Tume iliwathibitisha na kuwatangaza na wala Mkurugenzi wa Uchaguzi hajafanya kosa lolote.
Yatima mataga baba yenu kafa kifo cha fedheha na aibu kwa ukuda aliofanya. Hakuna mbunge ccm 2020 alishinda uchaguzi. Ndio mana yanakufa kama uyoga
 
Huo ndio ukweli mchungu.

Kwa mfano wale wabunge 19 wasiofungamana na upande wowote ni lazima wamwamkie Dr Mahera popote wanapomwona tena kwa kupiga goti hata kama wanamzidi umri.

Hizo ndio gharama za kubwebwa ukishikwa makalio ili ukae vizuri mgingoni usianguke basi usipigipe makelele vinginevyo ungekaa kimya.

MaDED wote nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano

Ramadhan Kareem
Hehehehee 🤣🤣! Sent and well delivered
 
Tume iliendesha Uchaguzi kwa kufuata Sheria za Uchaguzi na kama Mbunge au Diwani kapita bila kupingwa basi ni dhahiri Sheria zilitumika ipasavyo . Kama Mgombea hakulidhika na mato0keo mbona mpaka leo hawakwenda Mahakamani maani Mahakama ndiyo inayotoa haki kama haki yako ilinyang'anywa basi Mahakama itarejesha haki yako. Pia Wabunge wale 19 wa CHADEMA , Chama kiliwasilisha majina yao Tume kwa barua na Tume iliwathibitisha na kuwatangaza na wala Mkurugenzi wa Uchaguzi hajafanya kosa lolote.
Usijifungamanishe na ujinga na unafiki, bali jivunie werevu na roho ya haki.

Hivi wakati wa awamu ya 5, kulikuwa na mahakama au bunge? Wenye akili wanajua kuwa wakati wa utawala wa marehemu, Serikali ilikuwa ni Magufuli, Bunge lilikuwa ni Magufuli, mahakama ilikuwa ni Magufuli. Huwezi kuonewa na Magufuli halafu ukatafute haki kwa Magufuli.

Tulikuwa kwenye full dictatorship ambayo inabidi iwekwe kwenye historia ili siku moja hata wana wa wana wetu waisome na kuyaona madhira ambayo Taifa letu liliwahi kuyapitia.

Mungu mwenye huruma amsamehe huko aliko kwa maana hakujua alilokuwa akitenda.
 
Huo ndio ukweli mchungu.

Kwa mfano wale wabunge 19 wasiofungamana na upande wowote ni lazima wamwamkie Dr Mahera popote wanapomwona tena kwa kupiga goti hata kama wanamzidi umri.

Hizo ndio gharama za kubwebwa ukishikwa makalio ili ukae vizuri mgingoni usianguke basi usipigipe makelele vinginevyo ungekaa kimya.

MaDED wote nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano

Ramadhan Kareem
HIVI NI KWANINI VYOMBO VYA HABARI VINAWATAMBULISHA HAWA WABUNGE KUWA NI WA CHADEMA WAKATI CHAMA CHENYEWE KIMETOA TAMKO LA KUTOWATAMBUA? JE, WANGEJITAMBULISHA KUWA NI WABUNGE WA CCM, NA CCM IKAWAKATAA HIVI VYOMBO VYA HABARI VINGEENDELEA KUNGÁNGÁNIA KUWATAMBULISHA KUWA NI WABUNGE WA CCM?
 
Huo ndio ukweli mchungu.

Kwa mfano wale wabunge 19 wasiofungamana na upande wowote ni lazima wamwamkie Dr Mahera popote wanapomwona tena kwa kupiga goti hata kama wanamzidi umri.

Hizo ndio gharama za kubwebwa ukishikwa makalio ili ukae vizuri mgingoni usianguke basi usipigipe makelele vinginevyo ungekaa kimya.

MaDED wote nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano

Ramadhan Kareem
Kazi iendelee na viti maalumu
 
Huo ndio ukweli mchungu.

Kwa mfano wale wabunge 19 wasiofungamana na upande wowote ni lazima wamwamkie Dr Mahera popote wanapomwona tena kwa kupiga goti hata kama wanamzidi umri.

Hizo ndio gharama za kubwebwa ukishikwa makalio ili ukae vizuri mgingoni usianguke basi usipigipe makelele vinginevyo ungekaa kimya.

MaDED wote nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano

Ramadhan Kareem
Yohana ukuje huku haraka. Kuna mtu kaiba nembo yako.
 
Huo ndio ukweli mchungu.

Kwa mfano wale wabunge 19 wasiofungamana na upande wowote ni lazima wamwamkie Dr Mahera popote wanapomwona tena kwa kupiga goti hata kama wanamzidi umri.

Hizo ndio gharama za kubwebwa ukishikwa makalio ili ukae vizuri mgingoni usianguke basi usipigipe makelele vinginevyo ungekaa kimya.

MaDED wote nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano

Ramadhan Kareem
Asilimia kubwa sana ndani ya bunge wapo kwa mbereko. Mbereko za maDED, JPM, Mahera etc..... Wengi wanawaza hali itakavyokua 2025 kwa sababu mazingira yaliyowapitisha 2020 hayatakuwepo tena. Kama ulifuatilia wakati wa kuaga mwili wa JPM pale mjengoni, wabunge wanawake wengi "waliangua" vilio sana. Pamoja na nature ya wanawake kulia kwenye misiba, lakini ile iliambatana na kuwaza future yao.
 
mkuu hiki chama ni kikundi cha wahuni fulani tu kama walivyo wahuni wengine mbowe anajuwa kila kitu kuhusu hawa kina mama 19 ndiyo maana humsikii akilivalia njuga hili suala anakula taratiiibu vuruzuku vyake shida iko kwa huyu aliyekuja na kandambili kwenye chama kakma alivyosema halima na hajawahi kukanusha, huyu hakushirikishwa na mbowe ndiyo maana kila siku yuko kuwahadaa wanachama wenzie sasa mbona hawawaiti kuwahoji kwenye kamati kuu kama walivyosema? wanaona wanaenda kuumbuka live halima anaakili timamu siyo kichaa yule kama kina pambalu
Nime quote hii comment kwaajili ya kumbukumbu kuhusiana na hao Covid 19.
 
Tume iliendesha Uchaguzi kwa kufuata Sheria za Uchaguzi na kama Mbunge au Diwani kapita bila kupingwa basi ni dhahiri Sheria zilitumika ipasavyo.

Kama Mgombea hakulidhika na mato0keo mbona mpaka leo hawakwenda Mahakamani maani Mahakama ndiyo inayotoa haki kama haki yako ilinyang'anywa basi Mahakama itarejesha haki yako.

Pia Wabunge wale 19 wa CHADEMA , Chama kiliwasilisha majina yao Tume kwa barua na Tume iliwathibitisha na kuwatangaza na wala Mkurugenzi wa Uchaguzi hajafanya kosa lolote.

Amka boss kumekucha, naona umejiunga hapa jukwaani baada ya dhalimu kufariki, hivyo bado una hangover ya utawala wa kikatili. Kwa taarifa yako hakuna mahakama ya kuwapa wapinzani haki.
 
Huo ni wivu wa kike yaani ukimuona mwenzio analiwa na wewe unataka uliwe kaeni kimya subirini 2025 nayo msipokaa vizuri mnatiwa vidole ten
mkuu hiki chama ni kikundi cha wahuni fulani tu kama walivyo wahuni wengine mbowe anajuwa kila kitu kuhusu hawa kina mama 19 ndiyo maana humsikii akilivalia njuga hili suala anakula taratiiibu vuruzuku vyake shida iko kwa huyu aliyekuja na kandambili kwenye chama kakma alivyosema halima na hajawahi kukanusha, huyu hakushirikishwa na mbowe ndiyo maana kila siku yuko kuwahadaa wanachama wenzie sasa mbona hawawaiti kuwahoji kwenye kamati kuu kama walivyosema? wanaona wanaenda kuumbuka live halima anaakili timamu siyo kichaa yule kama kina pambalu
Halafu ww msichana unakuwaga na story za kitoto vibaya sana.
 
Ila kuwa mkweli tu baada ya kuondoka hayati uzalendo umekutoka ..sababu ni Nini hasa?
Anajitahidi kama kulazimisha kubaki na "uzalendo" lakini hali iliyopo inakataa. Hadi tufike 2025, wengi watakua wamerudiwa na utu wao maana waliporwa utu na asiye na utu. Sasa mama ameshika usukani, wameanza kuona jinsi gari linavyotakiwa kuendeshwa.
 
HIVI NI KWANINI VYOMBO VYA HABARI VINAWATAMBULISHA HAWA WABUNGE KUWA NI WA CHADEMA WAKATI CHAMA CHENYEWE KIMETOA TAMKO LA KUTOWATAMBUA? JE, WANGEJITAMBULISHA KUWA NI WABUNGE WA CCM, NA CCM IKAWAKATAA HIVI VYOMBO VYA HABARI VINGEENDELEA KUNGÁNGÁNIA KUWATAMBULISHA KUWA NI WABUNGE WA CCM?
Wewe ulitaka waitwe wabunge wa chama gani?
 
Back
Top Bottom