Kama michango ya kununua gari tu imemshinda Lissu kuitimiza. Sasa ni vipi atakusanya mamilioni ya pesa kwa ajili ya Uchaguzi na kujenga Chama?



Naona ushapewa maelekezo na posho
 
Amka hapo Sasa Kuna mvua za vuli...nenda safisha shamba anza kulima mkuu..achana na mbowe na lisu..
 
Habarii ndugu yangu Lucas mwashabwaa,ninakuja Tena kwako kwa unyenyekevu mkubwa kuomba connection kwako ya kuwa Chawa kama wewe ndugu yangu naahidi kufanya kazi kwa uaminifu mkubwaa na nitajitoa akili kabisaa ili niweze kufanya kazi ya uchawaa kwa uweledii mkubwa kama wewe.

Natumaini ombi langu utalikubalia.

Wako mtiifu,
Ytfyy,
Mzalendo wa kwelii.
 
Lucas Mwashambwa wewe chawa kubwa njoo utupe connection za uchawa
 
Kwani wewe kinachokuuma ni kitu gani wakati umiongoni mwa watu wanaotaka chadema kife, huwo wema wako kwa chadema umeanza lini.
 
Mwashambwa naye anamtaka mbowe 😁😁😁 tufike mahala tuwe serious wazeyaaa
 
Lissu anataka michango au hataki Michango?
Sasa hiyo inahusiana nini na kuweza au kutoweza michango? Ikiwa Lisu yeye mwenyewe angekuwa ndio alianzisha kampeni ya michango ya gari lake, hapo ungesema michango ilimshinda. Lakini yeye hakuomba au kuhamasisha hiyo michango, sasa utasemaje ilimshinda? Kwa mfano, CCM walichangia. Lisu aliwaomba wamchangie ndio akafanikisha kuchangiwa na CCM?

Unajua sasa nimeelewa kwa nini na jitihada yako ya kumsifia Samia na CCM na kuweka namba zako za simu hata siku moja hujapewa hata ubalozi wa nyumba kumi ndani ya CCM. Wameshakuona huna uwezo wa kufikiri na inaonekana IQ yako iko chini sana. Mtu akisema Watanzania tuna akili kama Mwasha-mbwa ni tusi kubwa sana kwangu la kufanya niukane uraia!
 
Jibu swali na siyo kutoa mimaelezo mirefu isiyo na mantiki wala mashiko hapa.
 
Jibu swali na siyo kutoa mimaelezo mirefu isiyo na mantiki wala mashiko hapa.
Ni kupoteza muda wangu kuongea issue kama hii na mtu asie na uwezo wa kuelewa kiasi hiki. Tafuta kitu kingine cha kusifia watu wako achna na mambo ya Mbowe na Lisu, hayakuhusu
 
Haya kachukue laki yako kwa DJ nkurunzinza...kazi uliyotumwa umeifanya...japo kichwani ni ziro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…