Kama michango ya kununua gari tu imemshinda Lissu kuitimiza. Sasa ni vipi atakusanya mamilioni ya pesa kwa ajili ya Uchaguzi na kujenga Chama?

CHADEMA ni wakati wenu wa kumpigia kura za ndio Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la siasa za Upinzani kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima .Msikosee wala kufanya majaribio katika jambo hilo nyeti na lenye kubeba Uhai wa chama.
Ukiona kiongozi wa Upinzani anapigiwa sana chapuo na chawa wa mboga mboga fahamu tu kuwa huyo kiongozi ashafika bei, amepotoka, haaminiki, ashajiunga upande wa pili, ni mamluki na kwa hiyo hafai kabisaa...
Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Duh
 
Ukiwa chawa wa mbowe lazima utoe mifano hata ya kubambika ili
Inaonekana waliingia kwa baraka zake
Mbowe ni bingwa wa Rushwa ya Ngono
 
Mbowe ni Mwamba na Jabali ambaye ndiye chaguo la wana CHADEMA
Kwako binafsi ndiyo mwamba baada ya kukununua chaguo la wanachadema wa ghetto kwako ? Hakuna mwanachadema mwenye Akili Timamu atamchagua mbowe labda nyinyi chawa mnaokula pesa zake kiulaini
 
Mkuu, ndipo hapo anapo jipambanua kuwa , yeye na RUSHWA ni sawa na mbingu na ardhi. Watu wa aina hii ni wachache sana.
 
Tayari naona umepaniki mpaka akili imekutoka baada ya kukupa ukweli mchungu kwelikweli.subiri lissu atakapodondokea pua ndio akili yako itakuruka kabisa
Mkuu, ina maana mada yako umeileta kichuki? Kama ndivyo, basi propaganda zako ni zaina ya futuhi.
 
E
Eti hawa ndio wapambe wa sultani mbowe?
Sijaona hoja zozote zilizotolewa na Mbowe mwenyewe au wapambe wake zikieleza
" kwa nini tumchague tena baada ya kutumikia kwa zaidi ya miaka 20 akiwa mwenyekiti?" Kuna jipya gani analodhani amelisahau tumpe muda tena?
Kiufupi hana hoja wala agenda yoyote ya kukitoa chama kwenye mkwamo huu wa kupoteza mvuto.
Leo mbowe amekuwa lulu wa kupigiwa kampeni na maccm?
 
Naona umeamua rasmi kuchukua nafasi ya Dr. Lillian Mtei kuwa mke rasmi wa Freeman Mbowe.
 
Kwako binafsi ndiyo mwamba baada ya kukununua chaguo la wanachadema wa ghetto kwako ? Hakuna mwanachadema mwenye Akili Timamu atamchagua mbowe labda nyinyi chawa mnaokula pesa zake kiulaini
Mwamba na Jabali la siasa za Upinzani Mheshimiwa Mbowe atapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima
 
Ukiwa chawa wa mbowe lazima utoe mifano hata ya kubambika ili

Mbowe ni bingwa wa Rushwa ya Ngono
Wewe ni wale wale wanaotaka kuona miujiza ya kisisa bila mifumo mahususi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…