Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

Kwa kweli mswahili hana ustaarabu na hata umpigie kelele yeye sawa tu kama mbuzi tu

Unaingia kwenye Bus mziki mpaka mwisho sasa umeingia disco au unasafiri ukiwa na mambo yako kama unaenda msibani, au unaumwa uko hoi au unajisomea

Kanisa unakuta limeweka speakers nje makubwa na mziki kelele na fujo bila haya na majitu yanaona sawa tu wakati baba yake kalala ndani ana maradhi ya moyo
Ukiliuliza eti Sasaaa tufanye nini

Madukani mtu anaweka speaker la Matangazo masaa 10 bila kulizima na maneno yanajirudia yale yale mpaka majirani wanakariri mpo tu

Acheni ujinga na kukaa kusema ooh kila mtu ana uhuru wake

Badilikeni na nyie kelele mnaona sawa tu kwa sababu akili mbovu

Mimi nimetoa povu langu na mwingine apinge na sababu zake sasa
 
Nimeshuhudia taarifa na video mtandaoni ikionyesha kanisa dogo la TAG maeneo ya Zanzibar likivunjwa na greda kwa amri ya wakuu fulani wa serikali wa Zanzibar.

Sababu za kimsingi za hayo kutokea ni kukosekana kwa uvumilivu wa kidini kwa baadhi ya wakazi wa Zanzibar dhidi ya imani zingine, jambo ambalo linalindwa na watawala wa Zanzibar kwa miongo yote. Japokuwa wakuu wa serikali huko Zanzibar wamekuja na sababu nyingine duni na kijinga (wanadai wamevunja kanisa hilo kwa sababu za taarifa za kitisho cha hali ya hewa kuhusu mvua inayoweza kuleta mafuriko maeneo hayo!)

Tunapaswa kutambua haya.
1. Karibu mitaa yote ya Zanzibar kuna misikiti mikubwa au midogo.

2. Karibu misikiti yote ya Zanzibar ina vipaza sauti (horn speaker) zinazopiga adhana kila siku kutwa mara tano.

3. Karibu misikiti yote ya Zanzibar imejengwa kwenye makazi ya watu au jirani kabisa na makazi ya watu.

4. Mpaka sasa Zanzibar haina maeneo rasmi ya wazi yaliyotengwa mahususi kujenga nyumba za Ibada tu na kujulikana kwa watu wote.

5. Serikali ya Zanzibar na serikali ya Tanzania kikatiba zote hazina dini na hazipaswi kufuata mlengo wa imani yoyote ya kidini zaidi ya kuheshimu na kulinda uhuru wa imani zote.

MAMBO MUHIMU YA KUTAFAKARI
-Kwanini kuwe na shida kila mara dhidi ya taasisi za kikristo zinapotaka kujenga makanisa, kuabudu kwa uhuru au kueneza imani yao maeneo ya Zanzibar?

-Kwanini Serikali ya mapinduzi Zanzibar na serikali ya muungano zinashindwa kulinda uhuru wa kuabudu kwa wakristo waliopo Zanzibar?

-Kwanini jamii za imani ya kikristo zionekane kama ni wavamizi, wapitaji na wageni waliokosa mwenyeji kila mara huko Zanzibar?

TAFAKARI
Ndio ni wavamiz, kwan ikiwa wenyeji wote ni islam kwnn muwaazimishe kuwapelekea kanisa? Waangalie maeneo ambayo yatakuwa na wafuasi wao wa kikristu ndo wakajenge huko
 
Ukwel gan wa mungu kuuwawa na watu wake msalaban na ilhal muda huohuo anamuomba mungu amnusuru

Ukwel mnapaswa muujue ninyi ambao mungu wenu aliuwawa msalaban akafufuka ndan ya sik tatu na hujiuliz ixo siku tatu nan alikuwa anaendesha dunia

Kipimo cha ubora wa imani yako ni kuruhusu imani zingine zishindane
 
Hapa mtaani kuna kajamaa katikati ya mtaa kamezungusha maturubai basi kuanzia ijumaa usiku ni makelele ya kuimba na kuongea mpaka jumapili. Watu wenyewe hawafiki kumi.hii ni kero kwakweli
 
Wawaache wa-waste hizo resource si za kwaoo kwani wameomba mchango?Jibu ni jepesi and its clear They can'tstand the name of Jesus.Kuna ushetani mwingi sana hivyo Jina La Yesu linapotajwa kuna watu wanaathirika na mambo yao hivyo watatafuta kila excuse ya kuzuia injili isienee.
Hilo jina la yesu kabla halijaja huko zanzibar mbona walikua wametulia na maisha yao? Kwanini mkija nyie na maigizo yenu watu wanaanza kujifanya wanaanguka na kuguta hovyohovyo? Wacheni utapeli nendeni mkalime hela hazitafutwi kirahisi rahisi namna hiyo.
 
Mkuu sio kujenga makanisa tu hata mtanganyika kununua na kumiliki kipande cha ardhi huko visiwani ni ndoto ya alinacha tena ukiwa mgalatia ndio usahau kabisa
Kwann utake ardhi zanzibar na umeacha huku bara ardhi ipo kubwa tuuu na ukenda huko kuwasumbua watu wana kiardhi kidogo sana, mi niko bara lakin nawasapo kwa hilo la mm n wew wabara kutopata ardhi kule
 
Mbona misikiti ipo uswahilini fresh tu?
Kwhaiyo ukimkuta mtu anajisaidia popote, na wewe utajisaidia popote? Siujui ukristo unaokubaliana na mambo ya kupuuzi. Lazima watu wawe civilised. Hatuwezi kufanya mambo ya kijinga kwa sababu waislamu wa Tanzania (Siyo wale wa Uarabuni) wamejaa ujinga.
 
Aliekwambia serekali haina dini nani ? Zanzibar wakaazi wake wa kiislamu lakini skuli zinafuata kalenda ya kikristo na wala hawajalalmika miaka yote wakati wao ndio majority.

Tumeondoshewa lugha ya kiarabu ambayo inaendana na uislamu sasa imekuwa kiengereza ili watu wafahamu biblia vizuri. Bado waislamu wa Zanzibar wamekaa kimya.

Mie nadhani huo uvumilivu unaotaka wewe utakuwa labda ni woga. Serekali lazima ina dini kwa maana serekali ni watu. Na watu wote wana dini zao!

Wacha wakristo wajaze hayo makanisa walioyo nayo kwanza kabla hawajajenga mengine!

Maasalaam,
Dah Ila Hawa jamaa Ni wajinga sijapata kuona...au kwasababu hawaendagi shule wanaishia madrassa Tu?
 
Uislam Ni Dini moja ya kionevu Sana Tena ukiwa majority..lakini huwa wanapenda kulialia Sana Kila kitu wao Tu ndo wanaonewa wakiwa minority...ndo maana hapa Tz wanalalamika Kuna mfumo kristo
 
Mkuu sio kujenga makanisa tu hata mtanganyika kununua na kumiliki kipande cha ardhi huko visiwani ni ndoto ya alinacha tena ukiwa mgalatia ndio usahau kabisa
Vipi Waarabu wanaruhusiwa kununua? Huku Bara mbona wao wananunua?
 
Ni sawa lakini Kilimanjaro inamjumuiko mkubwa kwa hiyo kuwepo misikiti mingi sio jambo la kustaajabisha.
Tulikuwa tunazungumzia ukubwa wa eneo, idadi ya wenyeji na Imani zao na idadi ya nyumba za ibada za upande wa pili.
Ni kweli ila kikubwa tuvumiliane tu hakuna namna.
Dini isiwe sababu ya kutufarakanisha wengine tuna ndugu wa damu ni waislam/wakristo
 
Zenji imejaa masikini wasio na elimu kwa maana hiyo wengi ni vilaza, sehem kama zenji usitegemee watafurahia wakiona mgeni unafanya maendeleo lazima watajaa wivu wafanye upumbav wao...
All in all acha waendelee kuwa wajinga tunafaidika na ujinga wao
 
Sahii kabisa,
Mimi Ni mkristo ila napingana vikali na mtoa mada.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe sio mkristo wewe ni mamruki hata siku moja mkristo hawezi furahia kuona injili ya kristo ina hujumiwa..na akafurahia.

Kuhusu hicho kilichofanyika zenji sio cha kiungwana kabisa...sijui wao wakibomolewa miskiti kama watafurahi..nadhani kinachowasumbua ni ujinga na upumbafu..halafu unalinda utamaduni mbele ya mwafrika mbona wazungu wanatembea na vikaptula vichupi hawasemi kitu..ujinga..umafikini na dini ni janga kwa waafrika.

Ila huu ndio mwanzo...tunaandika...mbona watafurahi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom