Aise pole Sana. Kama mke wako ni pisi na huoni dalili hata za kutongozwa pole Sana.Wanawake wa hivo ndoo wamemaliza watu kwa ngoma. Wanawake ambao siku zote wanafanya matukio na hawaachi ushahidi. Anyways nikuulize ulimkuta nayo?.Wenzetu mnaoaga wanawake wa wapi? Sina mke ila Nina MPENZI. Nina muamini zaidi ya 100% na ni kisu cha haja with brain.
Naweza kua nae mbali miez hata miwili na hana tatizo na sijawahi ona dalili wala matendo ya uhuni. Kifup ni Mwanamke na Nusu.
Kwa anaebisha mimi najitolea kumpa namba ajaribu aone nachosema. Kifupi ni kisu na nusu
Shida ni kwamba ameshafanywa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] itafahamika[emoji16][emoji16][emoji16] na kuwa kwake TISS ndo atajua kuwa wengine ni judge, jury and executioner,, kama nyinyi mnawaona ni demi gods ni nyie,,, eti kisa ana ka Glock 17 baaaas mnaogopaaa
ππ ujue watu wanaogopa wasichokijua, Wasaidizi wa mama wenyewe maisha yao tunayajua, tunapeleka watoto shule sehemu moja, nje ya kaunda suti wana maisha ya kawaida tu mbona sembuse hawa wa kwa DSO! Come on people!Nimejiuliza ni hawa ninaowajua mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Watu tunadanganywa sana.
Mtu umsaliti Mumeo kisa mfanyakazi wa Idara?
Huyo Mke Uhuni ni tabia yake.
πππZitakuwa zile suti zao ndo hela chafu
HahahahPredator hiyo....kaliwa mchana mchana.
Kuna mafundi wako misitu huko ndanu ndani Satelite yenyewe inasuburi kutoa takwimuππππ wanazoom unaulizwa ndiyo huyu?
Ukisema ndiye basi kazi yaisha.Unatumwa ziwani huko unatupa mzigo.
Hesabh siku saa sekunde ndio hayo sasa.
Aise noma SanUkiwa na pesa na mamlaka unakula Tu,Mobutu alikula sana pisi za wasaidizi wake mfano mawaziri na ma gavana na amewahi kumchezea make wa balozi wa Zaire nchini ufaransa na JAMAa akiwepo hapo hapo na hakusema kitu Yani mke alotulia huku mumewe anacheka cheka
Mh. Acha majungu kwa mke wa mwenzio. πAise pole Sana. Kama mke wako ni pisi na huoni dalili hata za kutongozwa pole Sana.Wanawake wa hivo ndoo wamemaliza watu kwa ngoma. Wanawake ambao siku zote wanafanya matukio na hawaachi ushahidi. Anyways nikuulize ulimkuta nayo?.
Hahhah ndio nilitaka kusema ni hawa hawa maofisa usalama kwa ufupi wana maisha ya kawaida sana, afadhali hata PSU tena upate mgongo nje ya hapo utachapa lindo hadi akili ikukae sawa.Eti wana hela chafu! Hela chafu ni bei gani? Ile million kasoro na posho ya katikati ya mwenzi?
Hata wake zao ni wa namna hiyo hiyo na wanakulana sana wao kwa wao hata kama wako kwenye ndoaJamaa wanakuwaga malaya kishenzi yaani Pole kwa wake zao!!!
Enzi za ujana nilikuwa na mawazo kama yako ila kuna siku niligundua nachapiwa nikawa mpoleWenzetu mnaoaga wanawake wa wapi? Sina mke ila Nina MPENZI. Nina muamini zaidi ya 100% na ni kisu cha haja with brain.
Naweza kua nae mbali miez hata miwili na hana tatizo na sijawahi ona dalili wala matendo ya uhuni. Kifup ni Mwanamke na Nusu.
Kwa anaebisha mimi najitolea kumpa namba ajaribu aone nachosema. Kifupi ni kisu na nusu
ππππππππ.Mh. Acha majungu kwa mke wa mwenzio. π
Umeongea maneno ya KikubwaKulikon mkuu, saa kumi za usiku sasa hivi, uko kitandani unawaza vitu viwili
1. Idara pendwa
2. Pisi kali ya mtu kuliwa
Mkuu maisha mepesi sana if you take it easy, na maisha ni magumu sana if you realy complicate it
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mm nimempongeza yule jamaa wa ile comment sasa ule ndio uanaume. Kama unaishi nyumba ya kupanga halafu kuna wapangaji bachelor hawana mishe za maana muda mwingi wapo magetoni ujue pia umeumia. Chamsingi kula maisha usijitie stressHahahahaaaaa!
Haya mambo bwana ni shida tupu, akiwa mfanyakazi ndo hivyo. Akiwa mama wa nyumbani kuna mabodaboda na mahouseboy........yaani shida tupu. Kuna comment #3 hapo juu muhimu sana kuishi nayo katika maisha haya.
Kabisa aisee!Hata mm nimempongeza yule jamaa wa ile comment sasa ule ndio uanaume. Kama unaishi nyumba ya kupanga halafu kuna wapangaji bachelor hawana mishe za maana muda mwingi wapo magetoni ujue pia umeumia. Chamsingi kula maisha usijitie stress