Kama mlikuwa hamjui: CCM imeliongoza hili Taifa kwa uongo tangu ikiwa TANU hadi sasa.

Kama mlikuwa hamjui: CCM imeliongoza hili Taifa kwa uongo tangu ikiwa TANU hadi sasa.

Ni vile tu Watanzania wengi ni wajinga na sio wasomaji sana wa vitabu na wafuatiliaji wa masuala ya nchi yao.

Mlioshtuka leo kuhusu habari ya Tanzania kununua umeme nje kwa ajili ya matumizi ya mikoa ya Kaskazini wakati Serikali imekuwa ikijisifu kuzalisha umeme kuzidi matumizi yetu nawashangaa sana.

Kwa wale msiofahamu hakuna Chama cha siasa Afrika hii na nadhani duniani kinachoishi kwa uongo kama CCM. Na uongo wa CCM haujaanza leo, ulianza tangu ikiwa TANU na uliasisiwa na aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanganyika na Tanzania , Mwl. Julius Kambarage Nyerere.

Vitabu vya dini vinasema Shetani ni Baba wa Uongo ila kwa hapa Tanzania, baba wa uongo ni CCM.

Yafuatayo ni maeneo ambayo TANU na CCM waliwadanganya/Wamewadanganya Watanzania na wao wakaamini.

1. Suala la Oscar Kambona kutangazwa kuwa mhaini na ameolewa Uingereza. Jambo hili lilitangazwa na Serikali ya Nyerere mwaka 1967 baada ya Kambona kuamua kujiuzuru nafasi zote za Uongozi ndani ya Serikali na Chama baada ya kupingana na Nyerere kuhusu sera za Ujamaa. Watanzania kama mazuzu tuliamini huu uongo wa Nyerere na hadi tukatungishwa nyimbo mashuleni kuwa kambona Kaolewa Uingereza. Huu ulikuwa uongo wa Nyerere ili kuwarubuni Watanzania na kuwa label vibaya wanaompinga.

2. Suala la Nyerere kung'atuka kutangazwa ni kwa sababu eti ni Kiongozi mzuri na hataki kung'ang'ania madaraka. Mwaka 1985 CCM walitangaza na kueneza uongo unaoaminika hadi leo kuwa Nyerere aling'atuka kwa sababu hakuwa na tamaa ya madaraka wakati kiukweli kilichomkimbiza Nyerere ikulu ni mfululizo wa majaribio ya mapinduzi dhidi yake hasa ya mwaka 1981/1982 na lile la kutekwa kwa ndege ya ATCL kutokana na kushinikiza aondoke madarakani kwa sababu ya hali mbaya ya kimaisha/ kiuchumi iliyotokana na kufeli kwa sera zake za ujamaa.

3. Suala la kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 kuwa ni busara za Nyerere wakati ukweli ni kwamba baada ya kuanguka kwa Shirikisho la Kikokumunisti (USSR) nchi zote zilizokuwa zinaitegemea Urusi ziliamua kuchukua sera zinazofanana na za kimagharibi ili kuendelea kupata misaada kutoka Mataifa ya Magharibi.

4. Suala la Nyerere kuwa alikuwa kiongozi bora na hakuwa dikteta wakati kiuhalisia hakuna Kiongozi aliyekuwa dikteta nchi hii kama Mwalimu Nyerere. Kipindi cha Uongozi wake ndipo Watanzania wengi waliotofautiana nae kimawazo kama kina Bibi Titi Mohamed na Oscar Kambona walifunguliwa kesi za Uhaini na wengine wengi kuwekwa vizuizini chini ya Sheria ya kuweka watu kizuizini. Waliopona wachache walikimbia nje ya nchi na kurudi baada ya Nyerere kuondoka madarakani.

5. Suala la vita vya Uganda kuwa ilitokana na Iddi Amini kutaka kuuchukua mkoa wa Kagera wakati ukweli ni kwamba ugomvi wa Iddi Amini na Nyerere ulitokana na Nyerere kumpa hifadhi Obote aliyepinduliwa na Iddi Amini. Amini aliamini vikundi vinavyompinga ambavyo vingi vilikuwa vinashambulia Uganda kutokea Mkoa wa Kagera nchini Tanzania vinakuwa supported na Nyerere hivyo kuanza kuleta chokochoko mpakani na kuivamia Tanzania.

6. Suala la Corona kutokuwepo Tanzania kipindi cha awamu ya 5 wakati kipindi hicho maelfu kama sio mamia ya watanzania walikuwa wanakufa kwenye hospitali zetu kwa ugonjwa wa Corona.

Kutokana na mifano hii michache, napenda kuwaambia Watanzania, CCM hawajawahi kuongoza hii nchi kwa ukweli. Kama wanashangaa leo kuambiwa tutanunua umeme Ethiopia wakati waliambiwa tunazalisha umeme unaozidi matumizi yetu basi watakuwa hawaijui CCM vizuri.

Ikitokea CCM ikaanguka kwenye taifa letu jambo la kwanza watakalotakiwa kulifanya Viongozi wapya wa Tanzania ni kufanya maombi ya toba kwa Taifa kutokana na nchi hii kuendeshwa kwa uongo kwa miongo mingi sana.

Lord denning.
Kwa hilo la corona nakupinga
 
CCM chama

Hiko ndio cha msingi wewe kuelewa, flip-flops za michango ya watu isikuzumbue.

Wanajua matusi ya wanachama wao, neutral party, wapinzani na kadhalika.

Mimi nipo katika hizo sehemu zote nne usinipe label.
Wewe Mayor Quimby una sifa za kusifia unachokiponda, nakumbuka kuna nyuzi ulimsema sana Saa100 ukakaa siku 3 nyingi ukaja na nyuzi nyingine ya kumsifia saa100 najiuliza hivi huyu kichwa chake kina matatizo gaani? Lord denning ukimsoma nyuzi zake za kitambo humu ni kuisifia CCM mwanzo mwisho sasa hivi kajivika mabomu anailipua CCM, sasa atakapobadirisha upepo lazima niruke nae maana mnazengua
 
Ni vile tu Watanzania wengi ni wajinga na sio wasomaji sana wa vitabu na wafuatiliaji wa masuala ya nchi yao.

Mlioshtuka leo kuhusu habari ya Tanzania kununua umeme nje kwa ajili ya matumizi ya mikoa ya Kaskazini wakati Serikali imekuwa ikijisifu kuzalisha umeme kuzidi matumizi yetu nawashangaa sana.

Kwa wale msiofahamu hakuna Chama cha siasa Afrika hii na nadhani duniani kinachoishi kwa uongo kama CCM. Na uongo wa CCM haujaanza leo, ulianza tangu ikiwa TANU na uliasisiwa na aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanganyika na Tanzania , Mwl. Julius Kambarage Nyerere.

Vitabu vya dini vinasema Shetani ni Baba wa Uongo ila kwa hapa Tanzania, baba wa uongo ni CCM.

Yafuatayo ni maeneo ambayo TANU na CCM waliwadanganya/Wamewadanganya Watanzania na wao wakaamini.

1. Suala la Oscar Kambona kutangazwa kuwa mhaini na ameolewa Uingereza. Jambo hili lilitangazwa na Serikali ya Nyerere mwaka 1967 baada ya Kambona kuamua kujiuzuru nafasi zote za Uongozi ndani ya Serikali na Chama baada ya kupingana na Nyerere kuhusu sera za Ujamaa. Watanzania kama mazuzu tuliamini huu uongo wa Nyerere na hadi tukatungishwa nyimbo mashuleni kuwa kambona Kaolewa Uingereza. Huu ulikuwa uongo wa Nyerere ili kuwarubuni Watanzania na kuwa label vibaya wanaompinga.

2. Suala la Nyerere kung'atuka kutangazwa ni kwa sababu eti ni Kiongozi mzuri na hataki kung'ang'ania madaraka. Mwaka 1985 CCM walitangaza na kueneza uongo unaoaminika hadi leo kuwa Nyerere aling'atuka kwa sababu hakuwa na tamaa ya madaraka wakati kiukweli kilichomkimbiza Nyerere ikulu ni mfululizo wa majaribio ya mapinduzi dhidi yake hasa ya mwaka 1981/1982 na lile la kutekwa kwa ndege ya ATCL kutokana na kushinikiza aondoke madarakani kwa sababu ya hali mbaya ya kimaisha/ kiuchumi iliyotokana na kufeli kwa sera zake za ujamaa.

3. Suala la kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 kuwa ni busara za Nyerere wakati ukweli ni kwamba baada ya kuanguka kwa Shirikisho la Kikokumunisti (USSR) nchi zote zilizokuwa zinaitegemea Urusi ziliamua kuchukua sera zinazofanana na za kimagharibi ili kuendelea kupata misaada kutoka Mataifa ya Magharibi.

4. Suala la Nyerere kuwa alikuwa kiongozi bora na hakuwa dikteta wakati kiuhalisia hakuna Kiongozi aliyekuwa dikteta nchi hii kama Mwalimu Nyerere. Kipindi cha Uongozi wake ndipo Watanzania wengi waliotofautiana nae kimawazo kama kina Bibi Titi Mohamed na Oscar Kambona walifunguliwa kesi za Uhaini na wengine wengi kuwekwa vizuizini chini ya Sheria ya kuweka watu kizuizini. Waliopona wachache walikimbia nje ya nchi na kurudi baada ya Nyerere kuondoka madarakani.

5. Suala la vita vya Uganda kuwa ilitokana na Iddi Amini kutaka kuuchukua mkoa wa Kagera wakati ukweli ni kwamba ugomvi wa Iddi Amini na Nyerere ulitokana na Nyerere kumpa hifadhi Obote aliyepinduliwa na Iddi Amini. Amini aliamini vikundi vinavyompinga ambavyo vingi vilikuwa vinashambulia Uganda kutokea Mkoa wa Kagera nchini Tanzania vinakuwa supported na Nyerere hivyo kuanza kuleta chokochoko mpakani na kuivamia Tanzania.

6. Suala la Corona kutokuwepo Tanzania kipindi cha awamu ya 5 wakati kipindi hicho maelfu kama sio mamia ya watanzania walikuwa wanakufa kwenye hospitali zetu kwa ugonjwa wa Corona.

Kutokana na mifano hii michache, napenda kuwaambia Watanzania, CCM hawajawahi kuongoza hii nchi kwa ukweli. Kama wanashangaa leo kuambiwa tutanunua umeme Ethiopia wakati waliambiwa tunazalisha umeme unaozidi matumizi yetu basi watakuwa hawaijui CCM vizuri.

Ikitokea CCM ikaanguka kwenye taifa letu jambo la kwanza watakalotakiwa kulifanya Viongozi wapya wa Tanzania ni kufanya maombi ya toba kwa Taifa kutokana na nchi hii kuendeshwa kwa uongo kwa miongo mingi sana.

Lord denning.
Hatar sana !!
Huenda Karma imekaribia kufanya yake !
 
Wewe Mayor Quimby una sifa za kusifia unachokiponda, nakupumbuka kuna nyuzi ulimsema sana Saa100 ukakaa siku 3 nyingi ukaja na nyuzi nyingine ya kumsifia saa100 najiuliza hivi huyu kichwa chake kina matatizo gaani? Lord denning ukimsoma nyuzi zake za kitambo humu ni kuisifia CCM mwanzo mwisho sasa hivi kajivika mabomu anailipua CCM, sasa atakapobadirisha upepo lazima niruke nae maana mnazengua
Kwanza mimi kuanzisha nyuzi ni nadra sana; kwa mwaka naweza anzisha nyuzi zisizozidi tano au chini ya hiyo number.

Pili mimi sina ugomvi binafsi na ‘bi-tozo’ uwa nachangia mada on merit kama kwa msimamo wangu sikubali msimamo wa chama husika iwe CDM, CCM, ACT na kadhslika nitaweka mtazamo wangu.

Na kama kuna misimamo nakubaliana nao utaona mtazamo wa support yangu.

Naegenea wapi zaidi, hilo liko wazi kwa muda mrefu; lakinj alizuhi ukosoaji wangu wa kila siku.
 
Utakapoanza kuisifia CCM kwa mapambio km zilivyokua nyuzi zako za zamani nitakutukana JF nzima mpaka uikimbie ID yako, maana nakujua wewe hauna tofauti na Mayor Quimby mpo kimkakati zaidi hamchelewi kubadirisha uelekeo leo utasema hivi kesho kile kile ulichokiponda unakuja kukisifia unajisahaulisha
Sifa yangu kuu ni kusimamia ukweli.
Ukilifahamu hilo hautasumbuka.

Mimi sio muumini wa chama ila siku zote ni muumini wa Haki, Utawala Bora na Maendeleo ya Kweli. Yeyote akifanya vizuri kwenye hayo nitamsifia na yeyote akikengeuka kwenye hayo nitampa ukweli kama ilivyo.
 
Kwanza mimi kuanzisha nyuzi ni nadra sana; kwa mwaka naweza anzisha nyuzi zisiozidi tano au chini ya hiyo number.

Pili mimi sina ugomvi binafsi na ‘bi-tozo’ uwa nachangia mada on merit kama kwa msimamo wangu sikubali msimamo wa chama husika iwe CDM, CCM, ACT na kadhslika nitaweka mtazamo wangu.

Na kama kuna misimamo nakubaliana nao utaona mtazamo wa support yangu.

Naegenea wapi zaidi, hilo liko wazi kwa muda mrefu; lakinj alizuhi ukosoaji wangu wa kila siku.
Hajui tu! Hata mimi ukisoma nyuzi zangu humu ni uhalisia zinazoikosoa CCM na uongozi wake ni nyingi kuliko zilizowasifia wao na viongozi wake kwenye maeneo kadhaa.

Nyuzi zangu nyingi zimejikita kwenye kushauri masuala ya msingi kwa mustakabali mzuri wa Taifa kwa miaka mingi ijayo.
 
Hajui tu! Hata mimi ukisoma nyuzi zangu humu ni uhalisia zinazoikosoa CCM na uongozi wake ni nyingi kuliko zilizowasifia wao na viongozi wake kwenye maeneo kadhaa.

Nyuzi zangu nyingi zimejikita kwenye kushauri masuala ya msingi kwa mustakabali mzuri wa Taifa kwa miaka mingi ijayo.
Nawapa muda ila najua nyinyi hamchelewi kuyarudia matapishi
 
Nawapa muda ila najua nyinyi hamchelewi kuyarudia matapishi
Hapana.
Nilimuunga mkono Magufuli na CCM uchaguzi wa 2015 na nyuzi zipo humu na nilitifautiana nae soon baada ya shambulio la mauaji dhidi ya Lissu.

Same to Samia na CCM, nilimuunga mkono Samia kwenye masuala kadhaa ikiwemo uwekezaji wa Bandari na Kuhamisha wakazi wa Ngorongoro ili kuilinda Ngorongoro na Serengeti na kwenye maeneo kadhaa ila nilianza kutofautiana nae baada ya kuachana na Mchakato wa Katiba Mpya na kuendelea kwa vitendo vya ukiukwaji haki za binadamu hasa kutekwa na mauaji ya wapinzani.

Nyuzi zimo na zinajieleza.
 
Hapana.
Nilimuunga mkono Magufuli na CCM uchaguzi wa 2015 na nyuzi zipo humu na nilitifautiana nae soon baada ya shambulio la mauaji dhidi ya Lissu.

Same to Samia na CCM, nilimuunga mkono Samia kwenye masuala kadhaa ikiwemo uwekezaji wa Bandari na Kuhamisha wakazi wa Ngorongoro ili kuilinda Ngorongoro na Serengeti na kwenye maeneo kadhaa ila nilianza kutofautiana nae baada ya kuachana na Mchakato wa Katiba Mpya na kuendelea kwa vitendo vya ukiukwaji haki za binadamu hasa kutekwa na mauaji ya wapinzani.

Nyuzi zimo na zinajieleza.
Kumbe una kumbukumbu ndio maana nikasema wewe na Mayor Quimby ni watoto wa Baba mmoja kabisa mnavyofanya havina tofauti
 
Ni vile tu Watanzania wengi ni wajinga na sio wasomaji sana wa vitabu na wafuatiliaji wa masuala ya nchi yao.

Mlioshtuka leo kuhusu habari ya Tanzania kununua umeme nje kwa ajili ya matumizi ya mikoa ya Kaskazini wakati Serikali imekuwa ikijisifu kuzalisha umeme kuzidi matumizi yetu nawashangaa sana.

Kwa wale msiofahamu hakuna Chama cha siasa Afrika hii na nadhani duniani kinachoishi kwa uongo kama CCM. Na uongo wa CCM haujaanza leo, ulianza tangu ikiwa TANU na uliasisiwa na aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanganyika na Tanzania , Mwl. Julius Kambarage Nyerere.

Vitabu vya dini vinasema Shetani ni Baba wa Uongo ila kwa hapa Tanzania, baba wa uongo ni CCM.

Yafuatayo ni maeneo ambayo TANU na CCM waliwadanganya/Wamewadanganya Watanzania na wao wakaamini.

1. Suala la Oscar Kambona kutangazwa kuwa mhaini na ameolewa Uingereza. Jambo hili lilitangazwa na Serikali ya Nyerere mwaka 1967 baada ya Kambona kuamua kujiuzuru nafasi zote za Uongozi ndani ya Serikali na Chama baada ya kupingana na Nyerere kuhusu sera za Ujamaa. Watanzania kama mazuzu tuliamini huu uongo wa Nyerere na hadi tukatungishwa nyimbo mashuleni kuwa kambona Kaolewa Uingereza. Huu ulikuwa uongo wa Nyerere ili kuwarubuni Watanzania na kuwa label vibaya wanaompinga.

2. Suala la Nyerere kung'atuka kutangazwa ni kwa sababu eti ni Kiongozi mzuri na hataki kung'ang'ania madaraka. Mwaka 1985 CCM walitangaza na kueneza uongo unaoaminika hadi leo kuwa Nyerere aling'atuka kwa sababu hakuwa na tamaa ya madaraka wakati kiukweli kilichomkimbiza Nyerere ikulu ni mfululizo wa majaribio ya mapinduzi dhidi yake hasa ya mwaka 1981/1982 na lile la kutekwa kwa ndege ya ATCL kutokana na kushinikiza aondoke madarakani kwa sababu ya hali mbaya ya kimaisha/ kiuchumi iliyotokana na kufeli kwa sera zake za ujamaa.

3. Suala la kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 kuwa ni busara za Nyerere wakati ukweli ni kwamba baada ya kuanguka kwa Shirikisho la Kikokumunisti (USSR) nchi zote zilizokuwa zinaitegemea Urusi ziliamua kuchukua sera zinazofanana na za kimagharibi ili kuendelea kupata misaada kutoka Mataifa ya Magharibi.

4. Suala la Nyerere kuwa alikuwa kiongozi bora na hakuwa dikteta wakati kiuhalisia hakuna Kiongozi aliyekuwa dikteta nchi hii kama Mwalimu Nyerere. Kipindi cha Uongozi wake ndipo Watanzania wengi waliotofautiana nae kimawazo kama kina Bibi Titi Mohamed na Oscar Kambona walifunguliwa kesi za Uhaini na wengine wengi kuwekwa vizuizini chini ya Sheria ya kuweka watu kizuizini. Waliopona wachache walikimbia nje ya nchi na kurudi baada ya Nyerere kuondoka madarakani.

5. Suala la vita vya Uganda kuwa ilitokana na Iddi Amini kutaka kuuchukua mkoa wa Kagera wakati ukweli ni kwamba ugomvi wa Iddi Amini na Nyerere ulitokana na Nyerere kumpa hifadhi Obote aliyepinduliwa na Iddi Amini. Amini aliamini vikundi vinavyompinga ambavyo vingi vilikuwa vinashambulia Uganda kutokea Mkoa wa Kagera nchini Tanzania vinakuwa supported na Nyerere hivyo kuanza kuleta chokochoko mpakani na kuivamia Tanzania.

6. Suala la Corona kutokuwepo Tanzania kipindi cha awamu ya 5 wakati kipindi hicho maelfu kama sio mamia ya watanzania walikuwa wanakufa kwenye hospitali zetu kwa ugonjwa wa Corona.

Kutokana na mifano hii michache, napenda kuwaambia Watanzania, CCM hawajawahi kuongoza hii nchi kwa ukweli. Kama wanashangaa leo kuambiwa tutanunua umeme Ethiopia wakati waliambiwa tunazalisha umeme unaozidi matumizi yetu basi watakuwa hawaijui CCM vizuri.

Ikitokea CCM ikaanguka kwenye taifa letu jambo la kwanza watakalotakiwa kulifanya Viongozi wapya wa Tanzania ni kufanya maombi ya toba kwa Taifa kutokana na nchi hii kuendeshwa kwa uongo kwa miongo mingi sana.

Lord denning.
Tatizo ni kuwa watanzania walio wengi wana elimu ndogo - ya msingi, yaani darasa la saba.
 
Huyu mtoa mada kuna mada moja nilikuwa najibishana naye alikiri kuwa ni mwana CCM ila ni mfuasi wa No reforms no elections .
Yes sahihi kabisa. Mimi nina kadi ya CCM ya uanachama kabisa. Ila sio muumini wa CCM

Na kwa maslahi mapana ya Taifa naunga mkono No Reforms No Elections. Kwa sababu ninajua kwa sehemu kubwa kizingiti cha sisi kutoendelea kama Taifa ni Katiba hii tuliyonayo inayosababisha tupate Viongozi wasio na uwezo na maarifa sahihi.

So ukiniuliza kuhusu masuala ninayoamini nitakujibu naamini kwenye Haki, Utawala Bora na Maendeleo ya Kweli.
 
Ni vile tu Watanzania wengi ni wajinga na sio wasomaji sana wa vitabu na wafuatiliaji wa masuala ya nchi yao.

Mlioshtuka leo kuhusu habari ya Tanzania kununua umeme nje kwa ajili ya matumizi ya mikoa ya Kaskazini wakati Serikali imekuwa ikijisifu kuzalisha umeme kuzidi matumizi yetu nawashangaa sana.

Kwa wale msiofahamu hakuna Chama cha siasa Afrika hii na nadhani duniani kinachoishi kwa uongo kama CCM. Na uongo wa CCM haujaanza leo, ulianza tangu ikiwa TANU na uliasisiwa na aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanganyika na Tanzania , Mwl. Julius Kambarage Nyerere.

Vitabu vya dini vinasema Shetani ni Baba wa Uongo ila kwa hapa Tanzania, baba wa uongo ni CCM.

Yafuatayo ni maeneo ambayo TANU na CCM waliwadanganya/Wamewadanganya Watanzania na wao wakaamini.

1. Suala la Oscar Kambona kutangazwa kuwa mhaini na ameolewa Uingereza. Jambo hili lilitangazwa na Serikali ya Nyerere mwaka 1967 baada ya Kambona kuamua kujiuzuru nafasi zote za Uongozi ndani ya Serikali na Chama baada ya kupingana na Nyerere kuhusu sera za Ujamaa. Watanzania kama mazuzu tuliamini huu uongo wa Nyerere na hadi tukatungishwa nyimbo mashuleni kuwa kambona Kaolewa Uingereza. Huu ulikuwa uongo wa Nyerere ili kuwarubuni Watanzania na kuwa label vibaya wanaompinga.

2. Suala la Nyerere kung'atuka kutangazwa ni kwa sababu eti ni Kiongozi mzuri na hataki kung'ang'ania madaraka. Mwaka 1985 CCM walitangaza na kueneza uongo unaoaminika hadi leo kuwa Nyerere aling'atuka kwa sababu hakuwa na tamaa ya madaraka wakati kiukweli kilichomkimbiza Nyerere ikulu ni mfululizo wa majaribio ya mapinduzi dhidi yake hasa ya mwaka 1981/1982 na lile la kutekwa kwa ndege ya ATCL kutokana na kushinikiza aondoke madarakani kwa sababu ya hali mbaya ya kimaisha/ kiuchumi iliyotokana na kufeli kwa sera zake za ujamaa.

3. Suala la kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 kuwa ni busara za Nyerere wakati ukweli ni kwamba baada ya kuanguka kwa Shirikisho la Kikokumunisti (USSR) nchi zote zilizokuwa zinaitegemea Urusi ziliamua kuchukua sera zinazofanana na za kimagharibi ili kuendelea kupata misaada kutoka Mataifa ya Magharibi.

4. Suala la Nyerere kuwa alikuwa kiongozi bora na hakuwa dikteta wakati kiuhalisia hakuna Kiongozi aliyekuwa dikteta nchi hii kama Mwalimu Nyerere. Kipindi cha Uongozi wake ndipo Watanzania wengi waliotofautiana nae kimawazo kama kina Bibi Titi Mohamed na Oscar Kambona walifunguliwa kesi za Uhaini na wengine wengi kuwekwa vizuizini chini ya Sheria ya kuweka watu kizuizini. Waliopona wachache walikimbia nje ya nchi na kurudi baada ya Nyerere kuondoka madarakani.

5. Suala la vita vya Uganda kuwa ilitokana na Iddi Amini kutaka kuuchukua mkoa wa Kagera wakati ukweli ni kwamba ugomvi wa Iddi Amini na Nyerere ulitokana na Nyerere kumpa hifadhi Obote aliyepinduliwa na Iddi Amini. Amini aliamini vikundi vinavyompinga ambavyo vingi vilikuwa vinashambulia Uganda kutokea Mkoa wa Kagera nchini Tanzania vinakuwa supported na Nyerere hivyo kuanza kuleta chokochoko mpakani na kuivamia Tanzania.

6. Suala la Corona kutokuwepo Tanzania kipindi cha awamu ya 5 wakati kipindi hicho maelfu kama sio mamia ya watanzania walikuwa wanakufa kwenye hospitali zetu kwa ugonjwa wa Corona.

Kutokana na mifano hii michache, napenda kuwaambia Watanzania, CCM hawajawahi kuongoza hii nchi kwa ukweli. Kama wanashangaa leo kuambiwa tutanunua umeme Ethiopia wakati waliambiwa tunazalisha umeme unaozidi matumizi yetu basi watakuwa hawaijui CCM vizuri.

Ikitokea CCM ikaanguka kwenye taifa letu jambo la kwanza watakalotakiwa kulifanya Viongozi wapya wa Tanzania ni kufanya maombi ya toba kwa Taifa kutokana na nchi hii kuendeshwa kwa uongo kwa miongo mingi sana.

Lord denning.
Tunajenga SGR Kwa fedha ZETU za ndani.... Tunajenga bwawa la Nyerere Kwa fedha ZETU za ndani, tumenunua ndege Kwa fedha ZETU za ndani,...n.k
 
Hata siku moja usije kuamini data au takwimu zozote zile zinazotolewa na Serikali ya Tanzania iliyo chini ya CCM.

Amini maneno yangu. HATA SIKU MOJA USIZIAMINI, maana almost 99.9% ni za kupika, kutengenezea kwa nia na maslahi wanayojua wao.
Wapiga kura Serikali za Mitaa ni wengi kuliko takwimu za Sensa ya 2022 ambapo watu waliokuwa na Umri wa miaka 15 kwenda juu ndio waliojiandikisha kupiga kura 2024 wamekuwa wengi kuliko taarifa ya sensa ..hiii ni maajabu.
 
Back
Top Bottom