Kama mmefikia kuwa na hoja duni kama hizi, mtapata nafasi ya kupata sapoti tena toka kwa wananchi?

Wewe nae una akili ndogo sana. Kwa hiyo alikodi dege zima la Emirate?

..angekodi ETHIOPIAN airlines angeokoa fedha nyingi zaidi.

..pia angekuwa mzalendo wa bara la Afrika kwa kusupport biashara baina ya nchi za Kiafrika.
 
sasa unalia nini ?
 
weka tume huru
ondoa ccm na TISS plus polisi wale wanaoua watu
acha vyombo vya habari vitangaze wagombea wote sio unavinunua vyote kama alivyofanya fedhuli, bashiru na kale kababu ka Goba
msiibe masanduku ya kura
Twende kazi.
chama kinachojiita kina hoja kinaiba hadi uchaguzi wa kijiji ?
kawambie mazuzu wenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…