Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
-
- #21
Watanzania wananufaika na awamu hii kwa kukosa umeme, maji na mafuta ya magari?Mwenye akili ni wewe unayelialia tu humu JF, kila ukiandika uzi ni wa malalamiko. Kuna watanzania muda huu wanafaidika na awamu hii wewe ukiwa unalalama.
Tunawaomba wabunge tafadhaliKila kona mnalalama, eti mafuta yanapatikana kwa bei juu, Chakula bei juu, umeme umekuwa unakatika masaa 24, rushwa na uonevu kila kona hii ni ishara mbaya.
Mkuu wa nchi yetu anapoapa ili atuongoze huwa anaapa kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.
Sasa kama Katiba ilitungwa ili Watanzania tusikwame kwa kila kitu tunapoishi hapa nchini, halafu sasa kila kitu hovyo. Maana yake Mkuu wa nchi amekwama kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.
Watanzania kila jimbo tuwatume Wabunge wetu waungane ili wapitishe Azimio la kumuondoa Rais Samia ili tusiteseke kama sasa.
We koma kama ulivyokoma juzi. Mama anatupeleka pazuri sana usimlinganishe na yule mungu wenu wa chato muuaji. Sasa hivi mauajji hayapo tena na demokrasia imeshamili. Ingekuwa enzi za yule jamaa inawezekana hata jamiiforums ingeshafutwa siku nyingiKila kona mnalalama, eti mafuta yanapatikana kwa bei juu, Chakula bei juu, umeme umekuwa unakatika masaa 24, rushwa na uonevu kila kona hii ni ishara mbaya.
Mkuu wa nchi yetu anapoapa ili atuongoze huwa anaapa kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.
Sasa kama Katiba ilitungwa ili Watanzania tusikwame kwa kila kitu tunapoishi hapa nchini, halafu sasa kila kitu hovyo. Maana yake Mkuu wa nchi amekwama kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.
Watanzania kila jimbo tuwatume Wabunge wetu waungane ili wapitishe Azimio la kumuondoa Rais Samia ili tusiteseke kama sasa.
Jikite kwenye mada, taifa halina umeme, maji na mafuta kila kitu hovyo. Katiba haisimamiwiWe koma kama ulivyokoma juzi. Mama anatupeleka pazuri sana usimlinganishe na yule mungu wenu wa chato muuaji. Sasa hivi mauajji hayapo tena na demokrasia imeshamili. Ingekuwa enzi za yule jamaa inawezekana hata jamiiforums ingeshafutwa siku nyingi
upuuzi wake uko wapi hapo? hakumsifu magufuli, anajuwa chanzo cha utawala huu mbovu ni magufuli, lkn bila magufuli samia milele asingeweza kuwa rais tz.Mpuuzi wewe, mlaumu kwanza hayati JPM kwa kuwapambania wabunge wasio na tofauti na stempu za benki.
Aliyefeli wa kwanza ni JPM aliyependa kusikia akipigiwa makofi muda wote bila ya kupenda kukosolewa.
Hivi Tanzania kuna mji wa kueleweka kama Dar, Tanzania ni Dar; hao wa mikoani karibu wote ni wakulima, na mkulima wa Tanzania yaani peasant anajua nini? Mjini ndiyo wanajuaWatanzania wachache wa mijini ndio wanaolialia mitandaoni. Yapo mengi yanaendelea kufanyika huko mikoani na huwezi kuyasoma kwenye media.
Hili ni swala la muda tu kama lile la sukari enzi za jpm.Jikite kwenye mada, taifa halina umeme, maji na mafuta kila kitu hovyo. Katiba haisimamiwi
Wabunge wenyewe speaker 🔊 anawapa sheet bado ngumuKila kona mnalalama, eti mafuta yanapatikana kwa bei juu, Chakula bei juu, umeme umekuwa unakatika masaa 24, rushwa na uonevu kila kona hii ni ishara mbaya.
Mkuu wa nchi yetu anapoapa ili atuongoze huwa anaapa kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.
Sasa kama Katiba ilitungwa ili Watanzania tusikwame kwa kila kitu tunapoishi hapa nchini, halafu sasa kila kitu hovyo. Maana yake Mkuu wa nchi amekwama kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.
Watanzania kila jimbo tuwatume Wabunge wetu waungane ili wapitishe Azimio la kumuondoa Rais Samia ili tusiteseke kama sasa.
Ni wale majangili wenzenu, kinyozi hanyoi, mchomeleaji hachomi, muuza juice baridi anauza na nini umeme hakuna? petrol imepaa, maji hakuna ni mgao kila kituMwenye akili ni wewe unayelialia tu humu JF, kila ukiandika uzi ni wa malalamiko. Kuna watanzania muda huu wanafaidika na awamu hii wewe ukiwa unalalama.
Mpuuzi wewe, mlaumu kwanza hayati JPM kwa kuwapambania wabunge wasio na tofauti na stempu za benki.
Aliyefeli wa kwanza ni JPM aliyependa kusikia akipigiwa makofi muda wote bila ya kupenda kukosolewa.
Bunge lipo wapi?Kila kona mnalalama, eti mafuta yanapatikana kwa bei juu, Chakula bei juu, umeme umekuwa unakatika masaa 24, rushwa na uonevu kila kona hii ni ishara mbaya.
Mkuu wa nchi yetu anapoapa ili atuongoze huwa anaapa kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.
Sasa kama Katiba ilitungwa ili Watanzania tusikwame kwa kila kitu tunapoishi hapa nchini, halafu sasa kila kitu hovyo. Maana yake Mkuu wa nchi amekwama kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.
Watanzania kila jimbo tuwatume Wabunge wetu waungane ili wapitishe Azimio la kumuondoa Rais Samia ili tusiteseke kama sasa.
Hatujadili habar za hayati Jpm hapaHili ni swala la muda tu kama lile la sukari enzi za jpm.
Wanaishi kwa huruma ya Rais, 2025 nani atawapitisha?Jpm alikua na ajenda zake binafsi kuhusu hilo bunge,kwa sasa hayupo wabunge waisimamie serikali.
Hiyo aliyotoa ndio hoja ya chanzo ya hayo yoteJikite kwenye hoja husika
Kwahiyo JPM ana akili kuliko wabunge wote yeye akiwa mfu na wao wako HaiMpuuzi wewe, mlaumu kwanza hayati JPM kwa kuwapambania wabunge wasio na tofauti na stempu za benki.
Aliyefeli wa kwanza ni JPM aliyependa kusikia akipigiwa makofi muda wote bila ya kupenda kukosolewa.