Kama mnamuona Rais Samia ameshindwa kusimamia Katiba na kulinda rasilimali zenu muwaombe Wabunge wamuondoe kwa Ibara ya 46A ya Katiba

Kama mnamuona Rais Samia ameshindwa kusimamia Katiba na kulinda rasilimali zenu muwaombe Wabunge wamuondoe kwa Ibara ya 46A ya Katiba

Rubber stamp Parliament limeshindwa hata kujadili Ripoti ya CAG limebakia kupiga meza tu.
 
Kila kona mnalalama, eti mafuta yanapatikana kwa bei juu, Chakula bei juu, umeme umekuwa unakatika masaa 24, rushwa na uonevu kila kona hii ni ishara mbaya.

Mkuu wa nchi yetu anapoapa ili atuongoze huwa anaapa kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Sasa kama Katiba ilitungwa ili Watanzania tusikwame kwa kila kitu tunapoishi hapa nchini, halafu sasa kila kitu hovyo. Maana yake Mkuu wa nchi amekwama kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Watanzania kila jimbo tuwatume Wabunge wetu waungane ili wapitishe Azimio la kumuondoa Rais Samia ili tusiteseke kama sasa.
Tunawaomba wabunge tafadhali
 
Kila kona mnalalama, eti mafuta yanapatikana kwa bei juu, Chakula bei juu, umeme umekuwa unakatika masaa 24, rushwa na uonevu kila kona hii ni ishara mbaya.

Mkuu wa nchi yetu anapoapa ili atuongoze huwa anaapa kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Sasa kama Katiba ilitungwa ili Watanzania tusikwame kwa kila kitu tunapoishi hapa nchini, halafu sasa kila kitu hovyo. Maana yake Mkuu wa nchi amekwama kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Watanzania kila jimbo tuwatume Wabunge wetu waungane ili wapitishe Azimio la kumuondoa Rais Samia ili tusiteseke kama sasa.
We koma kama ulivyokoma juzi. Mama anatupeleka pazuri sana usimlinganishe na yule mungu wenu wa chato muuaji. Sasa hivi mauajji hayapo tena na demokrasia imeshamili. Ingekuwa enzi za yule jamaa inawezekana hata jamiiforums ingeshafutwa siku nyingi
 
We koma kama ulivyokoma juzi. Mama anatupeleka pazuri sana usimlinganishe na yule mungu wenu wa chato muuaji. Sasa hivi mauajji hayapo tena na demokrasia imeshamili. Ingekuwa enzi za yule jamaa inawezekana hata jamiiforums ingeshafutwa siku nyingi
Jikite kwenye mada, taifa halina umeme, maji na mafuta kila kitu hovyo. Katiba haisimamiwi
 
Mpuuzi wewe, mlaumu kwanza hayati JPM kwa kuwapambania wabunge wasio na tofauti na stempu za benki.

Aliyefeli wa kwanza ni JPM aliyependa kusikia akipigiwa makofi muda wote bila ya kupenda kukosolewa.
upuuzi wake uko wapi hapo? hakumsifu magufuli, anajuwa chanzo cha utawala huu mbovu ni magufuli, lkn bila magufuli samia milele asingeweza kuwa rais tz.

yeye anasema kutokana na matatizo mengi yanayoikabili nchi kwa sasa ni busara wabunge watumie katiba kumuondoa madaralani rais samia, kwa kuwa hana analoweza kulifanya likasaidi watanzania kuondokana na shida zinazowakabili..
 
Watanzania wachache wa mijini ndio wanaolialia mitandaoni. Yapo mengi yanaendelea kufanyika huko mikoani na huwezi kuyasoma kwenye media.
Hivi Tanzania kuna mji wa kueleweka kama Dar, Tanzania ni Dar; hao wa mikoani karibu wote ni wakulima, na mkulima wa Tanzania yaani peasant anajua nini? Mjini ndiyo wanajua
 
Kila kona mnalalama, eti mafuta yanapatikana kwa bei juu, Chakula bei juu, umeme umekuwa unakatika masaa 24, rushwa na uonevu kila kona hii ni ishara mbaya.

Mkuu wa nchi yetu anapoapa ili atuongoze huwa anaapa kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Sasa kama Katiba ilitungwa ili Watanzania tusikwame kwa kila kitu tunapoishi hapa nchini, halafu sasa kila kitu hovyo. Maana yake Mkuu wa nchi amekwama kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Watanzania kila jimbo tuwatume Wabunge wetu waungane ili wapitishe Azimio la kumuondoa Rais Samia ili tusiteseke kama sasa.
Wabunge wenyewe speaker 🔊 anawapa sheet bado ngumu
 
Mwenye akili ni wewe unayelialia tu humu JF, kila ukiandika uzi ni wa malalamiko. Kuna watanzania muda huu wanafaidika na awamu hii wewe ukiwa unalalama.
Ni wale majangili wenzenu, kinyozi hanyoi, mchomeleaji hachomi, muuza juice baridi anauza na nini umeme hakuna? petrol imepaa, maji hakuna ni mgao kila kitu
 
Mpuuzi wewe, mlaumu kwanza hayati JPM kwa kuwapambania wabunge wasio na tofauti na stempu za benki.

Aliyefeli wa kwanza ni JPM aliyependa kusikia akipigiwa makofi muda wote bila ya kupenda kukosolewa.

Jpm alikua na ajenda zake binafsi kuhusu hilo bunge,kwa sasa hayupo wabunge waisimamie serikali.
 
Kila kona mnalalama, eti mafuta yanapatikana kwa bei juu, Chakula bei juu, umeme umekuwa unakatika masaa 24, rushwa na uonevu kila kona hii ni ishara mbaya.

Mkuu wa nchi yetu anapoapa ili atuongoze huwa anaapa kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Sasa kama Katiba ilitungwa ili Watanzania tusikwame kwa kila kitu tunapoishi hapa nchini, halafu sasa kila kitu hovyo. Maana yake Mkuu wa nchi amekwama kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Watanzania kila jimbo tuwatume Wabunge wetu waungane ili wapitishe Azimio la kumuondoa Rais Samia ili tusiteseke kama sasa.
Bunge lipo wapi?
 
Back
Top Bottom