Kama Mungu angekupa nafasi ya kuamua uishi miaka uipendayo je ungechagua mingapi? (Sharti muda lazima)

Kama Mungu angekupa nafasi ya kuamua uishi miaka uipendayo je ungechagua mingapi? (Sharti muda lazima)

25 maana ukiishi sana utakuja kukufuru,maana ndio ujana unachanganya hapo kabla ya dhambi azijawa nyingi
 
Ningeomba nifariki Nikiwa na miaka 16
 
mimi tungeongea sana na huyo MUNGU mpaka angesahau alifuata nini kwangu
maana nnamengi sana ya kuongea nae kuliko hiyo miaka
 
Mingi ukiwa na mikakati.

Mimi nataka niishi maisha ya ukamilifu, nimalize kilichonileta duniani halafu niondoke chap. Sitaki kukawia sana.

Sasa hivi nina 30, bado miaka 15 tu. Nikizidisha sana 50 inatosha kabisa nitakuwa nimekamilisha kila kitu.

Nikiona bado nahitaji muda wa kuwepo naweza kuongeza mkataba kidogo nirefushe angalau miaka mitano, ila sitaki kuvuka 60 kwa namna yoyote ile.

Uzuri mimi ndiye ninayeamua. I am in TOTAL CONTROL.

Hata ukija na mauchawi ya Congo au bunduki huwezi kuniondoa kabla ya wakati wangu. KAMWE.

Hata Mungu mwenyewe hawezi kuniondoa bila RIDHAA yangu kwa sababu HATA HIVYO mimi ndiye Mungu mwenyewe.

Cc: DR Mambo Jambo NAMBA MOJA AJAYE NCHINI Rabbon
😂😂 Eti hata Mungu mwenyewe hawezi kukuondoa bila ridhaa yako🤔
Umetisha Sana bro
 
Back
Top Bottom