SIDANGANYIKI2015
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,054
- 114
Hujajibu swali.
Wewe unauemkubali mungu uliyeambiwa na watu tu, ambaye huwezi kumuelezea alivyo, alivyotokea wala sababu zake za kuwapo, ndiye ambaye huendeshwi na hoja za watu?
Nimekuuliza, katika thtead zote hizo kuna inayothibitisha kuwepo kwa mungu?
Swali la mimi kitoka wapi linahusianaje na kuwepo kwa mungu? Unaweza kunipa ihusiano usiopingika kati ya viwili hivi?
Au unarusha "non sequitur" tu bila kutambua?
Mkuu usipate shida kwa kibantu
Jina Kiranga maana yake ni DEVIL au SHETANI
Najua wajua kilichomtoa kuku manyoya, hata kama
hupendi kujua ukweli najua nafsi yako yajua kuhusu existence
ya Mungu, walikuwepo makamanda zaidi yako kama Mussolin
na Hittler waliopinga uwepo wa Mungu and now they know the
Truth kwi kwi kwi kwi kwi Kiranga the Agent !