Nakwambia huu uzi wako wataupita kama awauwoniTunawasubiri waje kujitetea
Zingatia "vya mashiko" (tangible),.Ushauri… mkifata ushauri wetu hasa wa maendeleo mtafika mbali sana
Tatizo lenu hamshaurikii
Kama hutaki kuwa-controlled usioe..Ukitoa K, hawana kitu cha kukupa. Ngoja tuone
ushauri hata machizi huwa yanatoa yani huu upupu ndio umeona ni wa maana sana wanyonyaji wakubwaUshauri… mkifata ushauri wetu hasa wa maendeleo mtafika mbali sana
Tatizo lenu hamshaurikii
MahusianoKwani mwanaume akinifata huwa anataka nini??
Nachukiaga maswali ya kidwanzi namna hiyo! Basi tu.Kama hutaki kuwa-controlled usioe..
Utaulizwa uko wapi,uko na nan?unarudi saa ngapi?mbona hupokei simu ama uko na malaya zako?mbona umechelewa kurudi?kwanini nimekupikia ujala,umekula wapi?
NAKAZIAkataa ndoa
Ndoa tamu sana[emoji39][emoji39]NAKAZIA
Na Unforgettable siyo ?Ndoa tamu sana[emoji39][emoji39]
Ndio ndio[emoji736]Na Unforgettable siyo ?
😄 kama ni yeye, subiri nikae kimyaNdio ndio