Kama mwanamke, taja vitu 3 vya kushikika ambavyo mwanaume atafaidika navyo aki-date na wewe

Kama mwanamke, taja vitu 3 vya kushikika ambavyo mwanaume atafaidika navyo aki-date na wewe

Kuna koo ukikutana nazo hata kile ulichonacho unanyang’anywa be careful who your dating with..majority ya akina dada they’re coming from low income areas,their fight to have something ndio zimekuwezesha kumuona na kumpatia namba.
If you need tangible things maeneo ya uswazi hayakufai and hataukikutana nae before committing do your research what she own
 
Kuna koo ukikutana nazo hata kile ulichonacho unanyang’anywa be careful who your dating with..majority ya akina dada they’re coming from low income areas,their fight to have something ndio zimekuwezesha kumuona na kumpatia namba.
If you need tangible things maeneo ya uswazi hayakufai and hataukikutana nae before committing do your research what she own
N A K A Z I A [emoji375]
 
Tiririkeni sasa tuone mmejipangaje. Siyo kila siku mnawananga wanaume hivi mara wanaume vilee..

Lile chama la "Mwanaume kataa ndoa" njooni hapa mpewe sababu za kutokukataa ndoa..

Wanawake huu ndo uzi wenu ambao ndiyo turufu pekee ya kuligaragaza hili chama la "mwanaume kataa ndoa".

View attachment 2750567

Amani ya moyo na penzi zitooo[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Statistically, wanawake wapo wengi kuliko wanaume. Kati ya lundo lote la wanawake, unamchagua mmoja awe mpenzi/mke wako, then unataka kujua what tangible things you will benefit from her? That's absurd. Mpaka unamchagua, it means kuna vitu vya kipekee uliviona kwake. So, ni yeye ndio anafaa kukuuliza uliona nini kwake, walau aone ni namna gani anaweza kuhakikisha anavimaintain au kuviboresha hivyo vitu.

Ili swali lako liwe na mashiko, ili faa uweke tangazo la kutafuta mwanamke, then watakaokuja ndio uwaulize ilo swali, as a part of an interview.
 
Usiwaite dhaifu unawakosea, wako sahihi kwa mawazo yao..

binafsi nimeoa sababu ya dini(mola wangu anataka nioe nisizini zini hovyo)
Bila ya hivyo hata mimi nisingeoa pia, ni vike tu mola ninaemuabudu kaagiza nioe, mie siwezi kujifikiria mara 2, 2.
Wanaume wote wanaokimbia kuoa, ni wanaume dhaifu [emoji736]
 
Back
Top Bottom