Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Mama ako asingeitoa papuchi yake kwa baba ako ungezaliwa?Huwa amnaga jibu la maana yani nyinyi kutoa papuchi tu ndio mnaona big deal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama ako asingeitoa papuchi yake kwa baba ako ungezaliwa?Huwa amnaga jibu la maana yani nyinyi kutoa papuchi tu ndio mnaona big deal
Usiwaite dhaifu unawakosea, wako sahihi kwa mawazo yao..
binafsi nimeoa sababu ya dini(mola wangu anataka nioe nisizini zini hovyo)
Bila ya hivyo hata mimi nisingeoa pia, ni vike tu mola ninaemuabudu kaagiza nioe, mie siwezi kujifikiria mara 2, 2.
Mola wako amekukataza kuiba je Huibi?Usiwaite dhaifu unawakosea, wako sahihi kwa mawazo yao..
binafsi nimeoa sababu ya dini(mola wangu anataka nioe nisizini zini hovyo)
Bila ya hivyo hata mimi nisingeoa pia, ni vike tu mola ninaemuabudu kaagiza nioe, mie siwezi kujifikiria mara 2, 2.
Mbona maswali yote hayo yanamajibu, na akirudia kuuliza kesho yake namwambia a refeer majibu ya janaKama hutaki kuwa-controlled usioe..
Utaulizwa uko wapi,uko na nan?unarudi saa ngapi?mbona hupokei simu ama uko na malaya zako?mbona umechelewa kurudi?kwanini nimekupikia ujala,umekula wapi?
Zama zao zilishapita,nyie wa kizazi hiki ndio mnatakiwa mfunguke watu wajue [emoji2]Baba ako alifaidika nini alivyokua ana date na Mama ako?
Hii unajua inamuhusu Hadi mama yako na dada zako,ushauri hata machizi huwa yanatoa yani huu upupu ndio umeona ni wa maana sana wanyonyaji wakubwa
NAKAZIAKATAA NDOA, NDOA NI WIZI
Sahihi...Ndio ndio[emoji736]
Vijana oeni, mahusiano ni hayahaya, maana uoe au usioe mahusiano hayajawahi kukosa ups and downs..
Ningekua sijaolewa ningekushawishi na ungenioa ...NAKAZIA
Butiama Lounge Leo,Ningekua sijaolewa ningekushawishi na ungenioa ...
Wewe hapo nakwambia..hujamixiwa madude vizuri..
Hahha
Mara nyingi mmekuwa mkijificha kwenye kichaka cha sisi kuwa na ndugu wa kike hiyo sio ishu na sijaliHii unajua inamuhusu Hadi mama yako na dada zako,
Usiongee hivyo ilihali una ndugu WA kike waliokuzunguka
Hio ndio mana halisi ya pingu za maisha..Mbona maswali yote hayo yanamajibu, na akirudia kuuliza kesho yake namwambia a refeer majibu ya jana
Mwambie huyoZama zao zilishapita,nyie wa kizazi hiki ndio mnatakiwa mfunguke watu wajue [emoji2]
Je watoto hawapatikani kwa uzinzi?Lengo la ndoa ni watoto.... Hata zamani wazee wetu walikuwa wanaoa ili kupata watoto..... Hata dini zinatambua lengo la ndoa ni watoto, siyo kuepuka kuzini..
Ina maana kama wewe umeoa ili kuepuka kuzini, huyo mwanamke asipokuzalia watoto hautatafuta mwingine wa kukuzalia? Maana lengo lako ni usizini tu kufuatana na matakwa ya dini!!
Yeye ukimaliza je analakujibu?Kama hutaki kuwa-controlled usioe..
Utaulizwa uko wapi,uko na nan?unarudi saa ngapi?mbona hupokei simu ama uko na malaya zako?mbona umechelewa kurudi?kwanini nimekupikia ujala,umekula wapi?
Na pia mwanamke mpaka anakukubali kuna chemistry ilijengeka sawa .....hivo swali Hili mleta mada ameshalenga wanawake wote vitu ganii tangible wanavyopendaStatistically, wanawake wapo wengi kuliko wanaume. Kati ya lundo lote la wanawake, unamchagua mmoja awe mpenzi/mke wako, then unataka kujua what tangible things you will benefit from her? That's absurd. Mpaka unamchagua, it means kuna vitu vya kipekee uliviona kwake. So, ni yeye ndio anafaa kukuuliza uliona nini kwake, walau aone ni namna gani anaweza kuhakikisha anavimaintain au kuviboresha hivyo vitu.
Ili swali lako liwe na mashiko, ili faa uweke tangazo la kutafuta mwanamke, then watakaokuja ndio uwaulize ilo swali, as a part of an interview.
Vijana wanajidanganya sana..Sahihi...
Mtu anataka asipate changamoto kama mfu...
Wafu wenyewe wanga wanakuja kudance juu ya nakabur yao