Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muongo Muongo MuongoVijana wanajidanganya sana..
Hata sabuni wanazotumia zina madhara makubwa...
Punyeto inaua "Masculine Energy" mwanaume unabaki kama li zezeta hivi,...
Mwanaume unakuwa weak internally, unakuwa huna ile domination drive waliyonayo wanaume..
Kafanye research mkuu...Muongo Muongo Muongo
Usilazimishe mambo, kama kakataza kuiba, mie nikiiba haifanyi kuiba kuwe sahihi,nimefanya kosa napswa kutubia na malipo yake yanajulikana.Mola wako amekukataza kuiba je Huibi?
Amekukataza kusengenya..
Amekukataza kusema UONGO
Amekukataza kutamani Mali isiyo yako.
Amekuamuru umuombe na kumsujudia kwa Swala 5.
Amekukataza mambo mengi tu nje ya Uzinzi.
Jee umeyafata au umefata kwenye Uzinzi tu ukaona Uoe baas hayo mengine sio shida?
Uzuri Dini imeweka wazi kabisa kitendo cha kumuangalia MWANAMKE maungo yake yakiwa wazi kwa makusudi ni sawasawa UMEZINI nae tuu sasa kwa mantiki hiyo, wewe ni MZINIFU na utabaki kuwa MZINIFU hata ukioa.
KATAA NDOA, NDOA NI WIZI
Sio mara zote mwanamke anapokukubali, basi kuna chemistry imejengeka. Huwa wanatusikiliza,, then wakiona vitu kadhaa ambavyo vitawavutia, Wana accept.Na pia mwanamke mpaka anakukubali kuna chemistry ilijengeka sawa .....hivo swali Hili mleta mada ameshalenga wanawake wote vitu ganii tangible wanavyopenda
Usikaze kichwa .... hapo tu ana interview akitegemea ushirikiano KWA walengwa
Mwanamke hana cha kukupa (tangible) bali anaboresha utakachompa..Tiririkeni sasa tuone mmejipangaje. Siyo kila siku mnawananga wanaume hivi mara wanaume vilee..
Lile chama la "Mwanaume kataa ndoa" njooni hapa mpewe sababu za kutokukataa ndoa..
Wanawake huu ndo uzi wenu ambao ndiyo turufu pekee ya kuligaragaza hili chama la "mwanaume kataa ndoa".
View attachment 2750567
Zingatia vya mashiko (tangible),.
Ushauri hata mbwa akibweka ni ushauri pia..
ushauri hata machizi huwa yanatoa yani huu upupu ndio umeona ni wa maana sana wanyonyaji wakubwa
Muongo Muongo MuongoKafanye research mkuu...
Punyeto ni janga namba moja kwa maendeleo ya mwanaume...
Vijana acheni nyeto, mnaangamiza taifa...
Taifa linakuwa na vijana weak,inferior wasio na masculine energy...
kumbe ushauri unashikika ?!
Wa kwamba tukijenga niandike majina yako na watoto ili nikifa msihangaike? Sio
Ushauri haushikiki we mama hebu ushike ushauri uji selfie tuuone.
Punguza hasira shangazi sio mimi niliekuzalisha na kukubwaga ebo !!, nihongwe na lisingle mother zee lenye upweke linalotafuta mabwana mtandaoni ebo, ni kichekesho.Wanaoushika ndio unaowaona wamefanikiwaa… sisi kazi yetu ni kuwashaurii na ndio maana ya msaidizi kama na nyie mnataka kuhongwa mseme
Punguza hasira shangazi sio mimi niliekuzalisha na kukubwaga ebo !!, nihongwe na lisingle mother zee lenye upweke linalotafuta mabwana mtandaoni ebo, ni kichekesho.
huo ushauri wako mpatie mwanao "aushike" asije kuishia kua single mother mpweke mwenye sonona kama wewe.
Mwanamke ni Shamba. Shamba linihitaji inputs (pembejeo) ili likupe matokeo (results). Tunatoa pesa kwa sababu ndio kifaa pekee cha kurahisisha upatikaji wa huduma kwa sasa.Kwaiyo ulitaka tutoe nini kwani nyie huwa mnatoa nini zaidi ya pesaa….
Kwa taarifa yako wapo na wanawake wenye pesa wanawahonga wanaume na wanaume wa siku hzi mnadangaa
Sasa ww nini unategemea haswa kwa mwanamke zaidi ya kuwa mlezi wa familia yako…
Wanaume hakuna cha maana mnachotoa zaidi ya pesa ni kwa vile tu unakutana na mwanamke wa hali ya chini hana hela ya kukupa ndio maana mnauliza maswali ya hivyo
napiga nyeto au sioPole yako kwani unataka na wewe unizalishe mbona unamuonea wivu alienizalishaa… wanaume wenzio wanazalishaa huku wewe unapiga nyeto tu nguvu za kiume zimekimbiaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
emoji1787][emoji1787][emoji1787