Kama mwanamke, taja vitu 3 vya kushikika ambavyo mwanaume atafaidika navyo aki-date na wewe

Kama mwanamke, taja vitu 3 vya kushikika ambavyo mwanaume atafaidika navyo aki-date na wewe

Vijana wanajidanganya sana..

Hata sabuni wanazotumia zina madhara makubwa...

Punyeto inaua "Masculine Energy" mwanaume unabaki kama li zezeta hivi,...

Mwanaume unakuwa weak internally, unakuwa huna ile domination drive waliyonayo wanaume..
dronedrake
 
Kwaiyo ulitaka tutoe nini kwani nyie huwa mnatoa nini zaidi ya pesaa….

Kwa taarifa yako wapo na wanawake wenye pesa wanawahonga wanaume na wanaume wa siku hzi mnadangaa

Sasa ww nini unategemea haswa kwa mwanamke zaidi ya kuwa mlezi wa familia yako…

Wanaume hakuna cha maana mnachotoa zaidi ya pesa ni kwa vile tu unakutana na mwanamke wa hali ya chini hana hela ya kukupa ndio maana mnauliza maswali ya hivyo
Huo ulezi wa familia wenyewe siku hz ushawashinda
 
Muongo Muongo Muongo

Nyeto inaokoa Pesa as Mizinga unaisikia kwenye bomba

Ukitaka ufirisike, basi KE ndiyo chanzo, ukitaka ufe kwa Ngoma , basi KE ndiyo chanzo

Ukitaka kukojoa usaha, KE ndiyo chanzo
Mimi niko Nyetoni mwaka wa 3 , UTI naisikia kwenye bomba, Gono naisikia kwenye bomba, Kupigwa Mizinga Nakusikia kwenye bomba
Tumalize na kusema kuwa mwanamke ni adui wa maendeleo over
 
Wanaoushika ndio unaowaona wamefanikiwaa… sisi kazi yetu ni kuwashaurii na ndio maana ya msaidizi kama na nyie mnataka kuhongwa mseme
Yani ushauri wenu ndio unaofanya tutoboe wakati kutwa mizinga isiyokuwa na tija ebu acha kuongea upuuzi
 
Ushauri uendane na action

Ili nikusikilize ushauri wako lazima uwe na action za kunishawishi

Mfano wewe binafsi una maendeleo gani yanayoonekana ? Ya kumshawishi mtu akubali ushauri wako kuhusu maendeleo

Kwaiyo kama sina maendeleo sipaswi kukushauri???

Mimi najua kufanikiwa kwako ni faida kwa watoto wako
 
Back
Top Bottom