Kama mwanamke, taja vitu 3 vya kushikika ambavyo mwanaume atafaidika navyo aki-date na wewe

Kama mwanamke, taja vitu 3 vya kushikika ambavyo mwanaume atafaidika navyo aki-date na wewe

Kwaiyo kama sina maendeleo sipaswi kukushauri???

Mimi najua kufanikiwa kwako ni faida kwa watoto wako

Ushauri wako ninakuwa na hofu ya kuupokea moja kwa moja. Sababu sijaona vitendo vyako.

Tunakutana tukuwa na miaka 25 ama 30. Nitajiuliza miaka yote mpaka unafika umri huo umefanya nini cha maana kwa ajili yako binafsi na waliokuwa wanakuzunguka.

Kama Ulikuwa unaishi ishi tu bila kufanya chochote cha maana.. hapo ushauri wako nitauogopa
 
Yani ushauri wenu ndio unaofanya tutoboe wakati kutwa mizinga isiyokuwa na tija ebu acha kuongea upuuzi

Sasa kama unakutana na wa size yako sisi tusemajee

Nakuuliza kama hakuna wanaume wadangaji duniani??? Si na nyie siku hzi mnawadangia wanawake
 
Ushauri wako ninakuwa na hofu ya kuupokea moja kwa moja. Sababu sijaona vitendo vyako.

Tunakutana tukuwa na miaka 25 ama 30. Nitajiuliza miaka yote mpaka unafika umri huo umefanya nini cha maana kwa ajili yako binafsi na waliokuwa wanakuzunguka.

Kama Ulikuwa unaishi ishi tu bila kufanya chochote cha maana.. hapo ushauri wako nitauogopa

Ndio maana nikasema wenye akili wanausikiliza

Mbona wanaume kibao tu wanatembelea MAONO ya wanawake

Kesi kibao mtaani mwanamke kamsaidia mwanaume kufanikiwa baada ya hapo anatafuta wenye matako anaoa

Haijalishi mwanamke hana maendeleo ila ukifuata mawazo yake yenye akili lazima utoboee
 
unakutana na kisamaki hapo kama uko Ferry, pumbav kabisa
50k ishakutoka, achilia mbali lodge fee
Chamani hakuna kisamaki
Nyeto Oyeee
Wanapata exactly what they deserve. Unapaswa kupata hiyo huduma nyumbani tena chumbani kwenu, hiyo habari ya lodge muwe mmeamua tu kwenda, ungejicommit kwa mwanamke mmoja hayo mabalaa usingekutana nayo. Wacha waogelee sana, unachukua UTI kwenye K hii unaipeleka kwenye K ile, nawe ukiendelea kufanya update ya new strains wa hao wadudu in the process, keep it up ✅.
 
Wanapata exactly what they deserve. Unapaswa kupata hiyo huduma nyumbani tena chumbani kwenu, hiyo habari ya lodge muwe mmeamua tu kwenda, ungejicommit kwa mwanamke mmoja hayo mabalaa usingekutana nayo. Wacha waogelee sana, unachukua UTI kwenye K hii unaipeleka kwenye K ile, nawe ukiendelea kufanya update ya new strains wa hao wadudu in the process, keep it up ✅.
kukwepa hayo, nimefunga ndoa chamani
 
Broo sisi wanaume ndo watoaji.
Wanawake ni wapokeaji.
Hio ndo asili ya mwanaume na mwanamke.
Hilo ndio jukumu letu, inabidi upambane mwanamke unaempenda umpatie malazi, chakula na mavazi...Kama unataka na ww kuwa mpokeaji sawa ni maamuzi yako ila kumbuka tuu sisi wanaume ni watoaji sio wapokeaji.
Ukiona mwanamke unaempenda naye malaya tuu na pamoja na kumhudumia kote, bac anza kukataa ndoa na kupiga puchu tuu broo hakuna namna.
 
Kongole kwako aunt mamamzungu , umejitahidi kutetea chama lako Kwa weledi mkubwa. Unamwaga hoja pasipo kuropoka wala jazba wala matusi. 👍

-Kaveli-
 
Nyie pia mmeshindwa kuwahudumia wake zenu munatka muhongwee
Wanaume wanapitia crisis kubwa sana kwa sababu kuu 3.

1. Kuna wale wanataka mwanamke mwenye kipato ili amlee au kujitafutia ahueni ya maisha. Hapo ataoa binti kutoka familia yenye jina kubwa au yenye connections. Kuna wanaofanikiwa, lakini kuna wale wanakuja kugundua mambo siyo rahisi namna hiyo, anakuta na wale jamaa kule ukweni wanataka kuona una cha kuchangia siyo kubebwa bebwa tu. Ndo hao wanaishia kuwa na ndoa zimejaa ghadhabu maana ukweni wanakuona kama shamba boy tu.


2. Kuna wale wanataka mwanamke mwenye kipato yaani anayehustle, still kwa lengo la kujitafutia ahueni ya maisha, anamkuta binti ana nyumba, gari, mshahara mzuri anaona ok hapahapa. Most of the time mwanamke wa namna hiyo ataendana sana na mwanaume mtafutaji vilevile, hiyo combination ni unstoppable yaani wanafanikiwaga sana financial. Lakini wanaoenda pale kwa lengo la kutumia vya mwanamke ndiyo hao utakuta wanalalamika eti wanawake wenye hela wana kiburi, si kweli, ni vile wameshindwa kumeet standard za utafutaji za mwanamke, mwanamke huyu hana time ya kulea jitu vivu, kama ni ndoa hapo chali, wala si sababu ya mwanamke ni kwa sababu ya hili jamaa vivu lililotarajia easy ride.

3. Kuna wale wanaume hard working, amefanikiwa lakini anaamini anastahili mwanamke mzuri wa sura. Anasahau zile sifa nyingine kukamilisha maana halisi ya ndoa, humo ndani anakutana na bibie hajui kupika, hajui kufua, kila siku club , matunzo gharama juu, ndoa inazingua anaanza kulalamika wanawake hawafai. Anaoa kujifurahisha tamaa ya mwili na macho yake, na jamaa zake waone ameoa piai kali, siku ya harusi watu wamsifie bibi atakavyowaka, ujinga tu. Mwqnamke mrembo ni sehemu ndogo sana ya what defines maisha, mvuto kila mwanamke anao, ni vile utakavyomtunza na kumsupport na kumpa upendo.


In reality, oa mwanamke anayejitambua, atakayekuwa MSAIDIZI wako nawe ukiwa umeshikilia usukani. Biblia kwa mfano, imeweka hayo wazi, wanawake wanaofaa wako wengi sana, shida wqnaume wanakimbilia kwa matajiri au warembo halafu wanakuja kulia lia hapa. Kwa mfano, ukioa mwanamke anayetafuta nawe ukachangamka umewin big time, cha msingi heshima iwepo, strong women hawakubaliani na ujinga ujinga, utaachwa hapo ushangae. Uzuri wa mwanamke ni matunzo na upendo, hapo you can design her the way you want, unataka mwembamba au mnene you get one, na nuru usoni inakuja kutokana na amani moyoni. Vijana wengi wamefeli kabisa kulitatua hili fumbo, na wengine wanadiriki hata kutamani waliotengenezwa na wenzao. Young generation inapitia crisis kubwa sana kuliko wakati mwingine wowote. Ugumu wa maisha na kutamani yaliyo juu na kutokuwa tayari kuyakabili magumu kumewafanya hata wawe tayari kugeuzwa na wanaume wenzao kingono, mwanaume wa namna hii lini atakuja kutulia awe family guy alee mke na watoto, impossible. Hali ni mbaya sana.
 
Kama hutaki kuwa-controlled usioe..
Utaulizwa uko wapi,uko na nan?unarudi saa ngapi?mbona hupokei simu ama uko na malaya zako?mbona umechelewa kurudi?kwanini nimekupikia ujala,umekula wapi?
Mbona hayo ni mambo mhimu kuleta uwajibikaji na nidhamu? Kwenye maisha haya usipopata mtu ambae unakua accountable kwake huwezi kutoboa. Maisha ni nidhamu.
 
Tiririkeni sasa tuone mmejipangaje. Siyo kila siku mnawananga wanaume hivi mara wanaume vilee..

Lile chama la "Mwanaume kataa ndoa" njooni hapa mpewe sababu za kutokukataa ndoa..

Wanawake huu ndo uzi wenu ambao ndiyo turufu pekee ya kuligaragaza hili chama la "mwanaume kataa ndoa".

View attachment 2750567
Jipya hakuna ila nashangaa jinsi mnavyotuganda? Shida ni nyie mkuu.
Mngeachana na sisi mkafanya mengine ya maana😅
 
Nazani hii Ina apply Kwa ladies walio kwenye dating relationship na sio kwenye ndoa.
Wake zetu wana offer vitu tangible vingi sana kama:
Kupika
Usafi wa nyumba
Usafi wa mavazi
Malezi ya watoto
Msaidizi wa majukumu mengine ya ziada katika jamii ambako Mimi nakua kwenye majukumu yangu.

Sasa mambo yote hayo na nyongeza ya mbususu Tena ananipa Ile style pendwa . Jamani mnataka wafanye nini zaidi ya haya ?
 
Wanaume wanapitia crisis kubwa sana kwa sababu kuu 3.

1. Kuna wale wanataka mwanamke mwenye kipato ili amlee au kujitafutia ahueni ya maisha. Hapo ataoa binti kutoka familia yenye jina kubwa au yenye connections. Kuna wanaofanikiwa, lakini kuna wale wanakuja kugundua mambo siyo rahisi namna hiyo, anakuta na wale jamaa kule ukweni wanataka kuona una cha kuchangia siyo kubebwa bebwa tu. Ndo hao wanaishia kuwa na ndoa zimejaa ghadhabu maana ukweni wanakuona kama shamba boy tu.


2. Kuna wale wanataka mwanamke mwenye kipato yaani anayehustle, still kwa lengo la kujitafutia ahueni ya maisha, anamkuta binti ana nyumba, gari, mshahara mzuri anaona ok hapahapa. Most of the time mwanamke wa namna hiyo ataendana sana na mwanaume mtafutaji vilevile, hiyo combination ni unstoppable yaani wanafanikiwaga sana financial. Lakini wanaoenda pale kwa lengo la kutumia vya mwanamke ndiyo hao utakuta wanalalamika eti wanawake wenye hela wana kiburi, si kweli, ni vile wameshindwa kumeet standard za utafutaji za mwanamke, mwanamke huyu hana time ya kulea jitu vivu, kama ni ndoa hapo chali, wala si sababu ya mwanamke ni kwa sababu ya hili jamaa vivu lililotarajia easy ride.

3. Kuna wale wanaume hard working, amefanikiwa lakini anaamini anastahili mwanamke mzuri wa sura. Anasahau zile sifa nyingine kukamilisha maana halisi ya ndoa, humo ndani anakutana na bibie hajui kupika, hajui kufua, kila siku club , matunzo gharama juu, ndoa inazingua anaanza kulalamika wanawake hawafai. Anaoa kujifurahisha tamaa ya mwili na macho yake, na jamaa zake waone ameoa piai kali, siku ya harusi watu wamsifie bibi atakavyowaka, ujinga tu. Mwqnamke mrembo ni sehemu ndogo sana ya what defines maisha, mvuto kila mwanamke anao, ni vile utakavyomtunza na kumsupport na kumpa upendo.


In reality, oa mwanamke anayejitambua, atakayekuwa MSAIDIZI wako nawe ukiwa umeshikilia usukani. Biblia kwa mfano, imeweka hayo wazi, wanawake wanaofaa wako wengi sana, shida wqnaume wanakimbilia kwa matajiri au warembo halafu wanakuja kulia lia hapa. Kwa mfano, ukioa mwanamke anayetafuta nawe ukachangamka umewin big time, cha msingi heshima iwepo, strong women hawakubaliani na ujinga ujinga, utaachwa hapo ushangae. Uzuri wa mwanamke ni matunzo na upendo, hapo you can design her the way you want, unataka mwembamba au mnene you get one, na nuru usoni inakuja kutokana na amani moyoni. Vijana wengi wamefeli kabisa kulitatua hili fumbo, na wengine wanadiriki hata kutamani waliotengenezwa na wenzao. Young generation inapitia crisis kubwa sana kuliko wakati mwingine wowote. Ugumu wa maisha na kutamani yaliyo juu na kutokuwa tayari kuyakabili magumu kumewafanya hata wawe tayari kugeuzwa na wanaume wenzao kingono, mwanaume wa namna hii lini atakuja kutulia awe family guy alee mke na watoto, impossible. Hali ni mbaya sana.
UMEMALIZA uzi ufungwe!!!


Hongera sana Mkuu wangu
 
Back
Top Bottom