Kama mwanamke, taja vitu 3 vya kushikika ambavyo mwanaume atafaidika navyo aki-date na wewe

Kama mwanamke, taja vitu 3 vya kushikika ambavyo mwanaume atafaidika navyo aki-date na wewe

Je watoto hawapatikani kwa uzinzi?
Ukisema lengo la ndoa ni watoto, je ukifanya uzinzi hawapatikani? Kama wanapatikana sasa haina maana.
Na je nikioa nikapata watoto, ruksa kuacha mke nifanye uzinzi, si tayari ndoa ishanioa watoto?

Mie mungu kaniambia niepuke mauzinzi, kanipa fursa nioe mke m1 na kuna option ya kuongeza,mke hazai, sio nimuache,naweza kuoa mwingine.
Sidhani kama dhumuni la ndoa ki kupata watoto. Ndio maana kukosa watoto sio sababu ya kuachana kusheria.
 
Mpaka hapa sijaona jibu la swali lililoulizwa!
 
Kutuelewe nini tunataka ni kitu kisichowezekana maisha yenu yote

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Wala hatuna shida kujua mnachotaka, nyie wenyew hamjui mnachotaka.

There are two things, there are things women want and there are things that women respond to, I'm always interested in the things they respond to, a woman can say I want this but she responds to something else.

Ukitaka kuchanganyikiwa we endelea kijiuliza kitu gani wanawake wanataka, we tafuta vitu ambavyo wanawake wana respond positively to.

Mwanamke anasema anataka mwanaume independent atakaeweza kumhudumia vizur lakini hapohapo usikute ana mchepuko mwingine ambaye hana hata hela ulizokuwa nazo ww, Swali linakuja "anafata nn kwa yule asiyeweza kumhudumia"?
 
Tiririkeni sasa tuone mmejipangaje. Siyo kila siku mnawananga wanaume hivi mara wanaume vilee..

Lile chama la "Mwanaume kataa ndoa" njooni hapa mpewe sababu za kutokukataa ndoa..

Wanawake huu ndo uzi wenu ambao ndiyo turufu pekee ya kuligaragaza hili chama la "mwanaume kataa ndoa".

View attachment 2750567
Nina nina shamba tutalima wote
 
Mbona hayo ni mambo mhimu kuleta uwajibikaji na nidhamu? Kwenye maisha haya usipopata mtu ambae unakua accountable kwake huwezi kutoboa. Maisha ni nidhamu.
Baada ya kuondoka chini ya mikono ya familia,miaka yote najifanyie mwenyewe mpaka akanipata na kunipenda, iweje sasa aanze kunipanga namna ya kuishi?
 
Wanaume wa siku hizi wana upuuzi mwingi ooh sioi single maza.ooh sioi mwanamke yoyote
Ila ukimcheki sasa.nguo alonayo ni tishert ya simba au yanga.bank hakuna chochote.ajira yenyewe ya mchongo mshahara haufiki next month
Familia inamtegemea ya wazazi na ukoo wote
Yaani wanaume wenye hela zao wanawaza ujinga sasa.
Tafuteni hela msituletee stress zenu
 
Back
Top Bottom