Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Hoja zako zinaonyesha ni jinsi gani ulivyo na upeo mdogoHata Mamaako asingegawa K, msingezaliwa umati wote huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja zako zinaonyesha ni jinsi gani ulivyo na upeo mdogoHata Mamaako asingegawa K, msingezaliwa umati wote huo
Sidhani kama dhumuni la ndoa ki kupata watoto. Ndio maana kukosa watoto sio sababu ya kuachana kusheria.Je watoto hawapatikani kwa uzinzi?
Ukisema lengo la ndoa ni watoto, je ukifanya uzinzi hawapatikani? Kama wanapatikana sasa haina maana.
Na je nikioa nikapata watoto, ruksa kuacha mke nifanye uzinzi, si tayari ndoa ishanioa watoto?
Mie mungu kaniambia niepuke mauzinzi, kanipa fursa nioe mke m1 na kuna option ya kuongeza,mke hazai, sio nimuache,naweza kuoa mwingine.
Wewe hoja zako ni zipi?Hoja zako zinaonyesha ni jinsi gani ulivyo na upeo mdogo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wee jamaa faller Sana aiseeTangu nmeijua nyeto kwa kutumia sumu ya panya sisumbuliwi na wanawake
Kwaiyo unachooffer Ni ushauri TU?[emoji848]Ushauri… mkifata ushauri wetu hasa wa maendeleo mtafika mbali sana
Tatizo lenu hamshaurikii
Wala hatuna shida kujua mnachotaka, nyie wenyew hamjui mnachotaka.Kutuelewe nini tunataka ni kitu kisichowezekana maisha yenu yote
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Pesa na kuhuakikisha unakula unashiba unalala pazuri wewe na rafiki zako uliowaleta duniani ili waje kukusaidia kula ela yanguKwani nyie mnatoa nini sio mnaropoka tu hapa ukute huna unachotoaa zaidi ya pesa
Wanaotaka wahongwe hao sio wanaume watakuwa wavulana labdaNyie pia mmeshindwa kuwahudumia wake zenu munatka muhongwee
Ndio namshangaa mwamba ananiambia eti ndoa kusudi lake ni kupata watoto.Sidhani kama dhumuni la ndoa ki kupata watoto. Ndio maana kukosa watoto sio sababu ya kuachana kusheria.
Nina nina shamba tutalima woteTiririkeni sasa tuone mmejipangaje. Siyo kila siku mnawananga wanaume hivi mara wanaume vilee..
Lile chama la "Mwanaume kataa ndoa" njooni hapa mpewe sababu za kutokukataa ndoa..
Wanawake huu ndo uzi wenu ambao ndiyo turufu pekee ya kuligaragaza hili chama la "mwanaume kataa ndoa".
View attachment 2750567
Bora wewe umesema ukweliSina Cha ziada zaidi yambususu😌😌😌
kuns pahali nataka nishikeKwani mwanaume akinifata huwa anataka nini??
Tufate ushauri wenu nyi mnamaendeleo gani?Ushauri… mkifata ushauri wetu hasa wa maendeleo mtafika mbali sana
Tatizo lenu hamshaurikii
Baada ya kuondoka chini ya mikono ya familia,miaka yote najifanyie mwenyewe mpaka akanipata na kunipenda, iweje sasa aanze kunipanga namna ya kuishi?Mbona hayo ni mambo mhimu kuleta uwajibikaji na nidhamu? Kwenye maisha haya usipopata mtu ambae unakua accountable kwake huwezi kutoboa. Maisha ni nidhamu.
Kabisa,sitaki kuishi kwenye moods za mtu,ukichelewa ananuna,napata kibarua cha kuanza kumbembelezaYaani ni very boring questions alafu upo kwenye maokoto yako huko anaanza kukuvuruga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ili iweje ?
Kama Ni Utelezi, Nakojoa na Nyeto
Muulize ana niniKwani mwanaume akinifata huwa anataka nini??