Kama mwanaume unaweza kukaa siku nzima bila kupokea meseji ya " mambo" basi jua kuna kitu kina miss kwenye maisha yako

Kama mwanaume unaweza kukaa siku nzima bila kupokea meseji ya " mambo" basi jua kuna kitu kina miss kwenye maisha yako

NDUGU wa Mleta mada tumeni namba ya simu ili tufanikishe safari ya mgonjwa wetu kwa michango maana Dodoma mbali na kama zitahitajika kamba natoa ahadi ya kagharamia haya wana jf tujiandae kwa michango Milembe moja hiyo.
Nitawapa chakula Cha mchana watakaomsindikiza huyu mgonjwa wetu nipo Dodoma,na kuna ness mtoa dozi ni jirani yangu
 
Wewe umesha changanyikiwa tayari naona,ni wapi nimeongelea kua na mawazo?
Nimesoma nyuma ya sentensi yako. Nyuma ya sentensi yako unamaanisha hicho. Kwamba kuwa na mawazo mengi au kuwaza mavitu complex ndio utu uzima.

Ulitaka niandike kuhusu rasimu ya katiba mpya ya Warioba au uchaguzi wa serikali za Mtaa ndio unione mtu mzima..
 
Mwanaume aliyekamilika lazima apokee meseji inayo sema " mamb" walau mara 4 kwa Siku kutoka kwa watoto wa kike.

Mimi kwa Siku napokea zaidi ya mara 7 kutoka kwa wasichana 7 tofauti. Na wewe sema " NAPOKEA" !!!
Haya pokea.

Nisipopokea msg kama hiyo naweza kuumwa walahi.
Ati mambo? Sio nakupenda au babe, I miss you?

Mnaishi maisha gani wenzetu?
 
Nimesoma nyuma ya sentensi yako. Nyuma ya sentensi yako unamaanisha hicho. Kwamba kuwa na mawazo mengi au kuwaza mavitu complex ndio utu uzima.

Ulitaka niandike kuhusu rasimu ya katiba mpya ya Warioba au uchaguzi wa serikali za Mtaa ndio unione mtu mzima..
Wahi Mirembe wewe,naona umejipa kazi ya kuwalisha watu maneno yako.
 
Nilichoandika mwanzo nimefuta ila acha kumuona mtu usiyemuona sio rijari bila kumsibitisha maana anayetakiwa kuleta ushahidi ni mtoto wa kike ndo ushibitisha urijari wa mwanaume kabla sijawa member ni Likud ni mtu namweshimu kifunze kuvumilia viutani utani Lengo tufurahi pamoja kama komenti yangu ilikukwaza nisamehe mkuu.
 
Back
Top Bottom