Kama ni kweli, basi comrade Kinana amepuuzwa!

lini ashawahi kupokewa? weka picha za nyuma kama hizo, halafu kanuni zao zinasamaje? ibara gani?

ukijibu haya unakuwa umeondoa dhana ya umbea
Ndio maana Mungu alituumba na akili ili tuzitumie katika mambo madogomadogo ya kila siku. Hivi unategemea kumjulia hali mgonjwa ielekezwe kwenye KATIBA? Kumpokea mgeni atuelekeze Mungu? Au huwa huwaoni watu wamejipanga kumpookea Magufuli hata kama ametoka Dodoma tu? Au hilo limeandikwa kwenye KATIBA?
 
Tangu utudanganye ile guest house ya 'Nzagamba ya Migato' iliyoko Bariadi ni yako na umeijenga wewe wakati mwenyewe namjua ni marehemu nilikudharau sana.
 
Mbona sioni tatizo lolote....

Mmeumbuka kwenye ndege na huyo mpiga picha wenu sasa mmeibuka na non issue kuhusu mzee Kinana....

Bado nacheka kuhusu mpiga picha Woody....😀
Mbona hayahusiani hayo? Umekuwa kiranja wa kupangia watu hisia za kuleta JF toka lini?
 

Hahaaaa nyie watu bana!

Kumbe mnawapenda CCM eeh?

Manake si kwa kujali huko...😀😀
 
We mtoa mada ungetoka hospital hujarecover completely ungetaka makamera kwako?. Msipende kudandiadandia mambo bhana. Au basi mtumeni Woody akapige picha kwa juu pale kwa comrade
mbona rais mstaafu JK aliporudi kutoka US kwenye matibabu aliongea na vyombo vya habari pale airport?
 
Reactions: SDG
Kwa hyo wanaolazwaga kule ujeruman kila baada ya miez mitatu akirud mnampokeaga?
 
Reactions: SDG
Alienda kibinafsi au alitumwa na rais kwenda kwenye matibabu? Au alitumwa arudi kabla hajapona kwamaana bajeti ilikwisha kwahiyo anaugulia nyumbani?
 
Reactions: SDG
Hata JK alipolazwa watanzania na wanaccm walionyesha kuguswa na walimfariji kwa uwazi, vipi mpambanaji wa chama hakuna ajuaye utadhani katibu wa tawi?
 
Jibu hoja ni kawaida kwa kiongozi wa ngazi ya juu kama KATIBU MKUU wa chama kurudi kimyakimya? Imeanza lini? Au nako ni kubana matumizi?
Kwwni alipoondoka kwenda huko alikokwenda kulikuwapo waandishi wa habari na shamra shamra airport? Aliondoka kimya kimya na atarudi kimya kimya. Tena inawezekana akwa alisharudi zamani. Maana huko India situliambitu atakaa siku 12 tu. Si kila kitu ni siasa. Yaani hata ugonjwa nao imekuwa siasa. Ugonjwa unahusu yeye na watu wake wa karibu.
 
Kuna Uzi uliorushwa kwamba alipotaka kuhutubia tu wanahabari alikamatwa na kutiwa vitasa vya kutosha coz ilionekana anataka kumuunga mkono nape
Dhambi ya uchaguzi inawatesa
 
Reactions: SDG
Mange kimambe anayomajibu,jamaa haumwi walichomfanyia ni kama alivyofanyiwa marehemu abdu jumbe baada ya sakata la nape
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…