Kama ni kweli kataa ndoa wana point tatu

Hii ndo inaweka kua imekuta, hizi sheria ni utapeli mtupu
 
Pole kwake
 
Ki ukweli mpaka sasa mimi binafsi sina sababu ya msingi ya kuoa, nikihudhuria harusi mbali mbali huwa nashindwa kuelewa imekuaje mpaka maharusi wakaamua kuoana
Huku unakula ndizi mchesho na mamboga mboga na kuku.... Huku unawachora
 
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/reel/555961030549742
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…