Kama nyama ni ilele, kwanini wanawake wengi hupenda wanaume wenye uume mkubwa?

Kama nyama ni ilele, kwanini wanawake wengi hupenda wanaume wenye uume mkubwa?

Ukubwa au udogo wa uume hutegemea unakutana na uke wa aina gani,utakutana na mwanamke ameumbwa uke unabana mnato ukishiriki nae utaonekana una kubwa inakamata kona zote.
Mwanaume huyo huyo akishiriki na mwanamke mwenye "fuko la rambo" ataonekana kibamia, hivyo mi muhimu size ya maumbile kuendana. Kwahiyo dudu kubwa linaweza kumtamanisha mwanamke huyu/ likamtisha mwanamke yule.
 
Ukubwa au udogo wa uume hutegemea unakutana na uke wa aina gani,utakutana na mwanamke ameumbwa uke unabana mnato ukishiriki nae utaonekana una kubwa inakamata kona zote.
Mwanaume huyo huyo akishiriki na mwanamke mwenye "fuko la rambo" ataonekana kibamia, hivyo mi muhimu size ya maumbile kuendana. Kwahiyo dudu kubwa linaweza kumtamanisha mwanamke huyu/ likamtisha mwanamke yule.
Mhh, sio kweli.

Kuna watu wana MIHOGO KweRi kweRi.

Ukiliangalià hogo unazimia kabla ya tendo.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema chama hicho kitaingia kwenye awamu nyingine ya Maandamano yatakayofanyika kwenye makao makuu yote ya mikoa nchini, maarufu kama wiki ya Maandamano yatakayofanyika kuanzia Aprili 22-30, 2024.
 
Kiukweli kutoka moyoni, napenda sana mwanaume mwenye maumbile makubwa, sio kwamba nina bwawa, la hasha!, ni vile tu ninavyolililia wakati wa mizagamuo.
Nimetumia tafsida maana mdomo wangu naujua mie.
Screenshot_20240306-211845.jpg
 
Back
Top Bottom