Kama nyani alibadilika akawa binadamu ni kwanini nyani na sokwe wa sasa hawabadiliki tena kuwa binadamu?

jibu la swali lako hili hapa
 

Attachments

  • Screenshot_20241126-181704.png
    143.2 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241126-181716.png
    161.1 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241126-181724.png
    176.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241126-181732.png
    151.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241126-181742.png
    143.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241126-181749.png
    150.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241126-181749.png
    150.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241126-181806.png
    148.4 KB · Views: 3
Wakati unajiuliza hilo sawali, ebu jiulize kwa nini leo mwanadamu haumbwi kwa udongo (refer creation theory).

All in all evolution and creation are just theories.
 
Ndugu zangu.

1: Tukiachana na maswala ya kidini, historia inatuambia binadamu wa kwanza alikua ni nyani / sokwe /chipanze,
binadamu hakua nyani ila alikua jamii ya nyani
sasa kama kweli binadamu tulikua ni manyani ni kwanini nyani / sokwe tunaowaona sasa hivi hawabadiliki kua binadamu na wala hawakatiki tena mikia na kua na mwili na utashi wa binadamu kama historia ilivyokua huko awali?
Evolution bado inaendelea na ipo enforced na mazingira vile vile inachukua muda mrefu sana kiasi kwamba hakuna kizazi kimoja kinaweza kuona mabadiliko kutoka hatua moja kwenda nyingine. Mfano kwa sasa hivi watu wanatumia muda mrefu sana kutumia smartphone sasa ile kukunja shingo wakati unatumia simu taratibu adaptation inaenda mpaka genes kwaiyo kuna uwezekano miaka milioni mbele binadamu akawa na shingo iliyojikunja nyuma hapo unaanzia mgongo.
 
Labda nikuulize,,,toka sokwe WA mwisho kubadilika na kuwa binadamu kuna mwengine ame undergone zile changes hata kukaribia stage ya homo habilis au hio process imepouse???
Process haijapause, process inabadilika jinsi dunia inavyobadilika. Hakuna mabadiliko yeyote makubwa yaliyotokea duniani kwa kipindi kirefu.
Pia, siyo sokwe hawa wa sasa hivi ndiyo walioevolve kuwa binadamu.
Kwani mbwa pitbulls walikuwepo msituni?
Je nyani wanaokula ndizi walikuwepo zamani?
Wamejuaje kufungua ndizi?
 
Samahani Kidogo Mkuu..
Hebu nipe Tofauti ya Mutation na Evolution..
Maana Katika maongezi yako ya Chini Paragraph ya Tano kutokea Chini Umeelzea Mutation badala ya Evolutiion
Mutation ni sehemu ya evolution. Ni agent ya evolution.

Random mutations huwa zinatokea kila kizazi.

Sasa, ikitokea random mutation fulani inatokea na kuipa species fulani feature fulani inayoipa specie advantage fulani, hiyo feature itaendelea kuwa dominant, dominance hiyo itapelekea vizazi vijavyo visivyo na hiyo mutation/feature kuwa vichache na hata kutoweka, na vilivyo na hiyo mutation/feature kuwa vingi, hatimaye hiyo mutation/feature inakuja ku dominate, na ikiwa na traits fulani tofauti kubwa, hapo ndipo species ina evolve.

Tukirudi kwenye mfano wetu wa bacteria na resistance. Kwa mfano bacteria wengi wakiwa wanauawa na dawa A, inayoshambulia plasma membrane zao za kawaida, wakatokea bacteria wengine wana mutation fulani kwenye DNA inayofanya plasma membrane zao kuwa ni nene zaidi, dawa haiwaiingii, hawa wachache hawatakufa kwa dawa, wataendelea kuzaana na kutawala kizazi kijacho, kizazi kinachofuata kitakuwa na hawa wenye mutation ya membrane nene wengi, hivyo, mutation hii itafanya wanaobakia kwenye species hii ya bacteria kuendelea kuwa ni wale wenye plasma membrane nene.

Hapo mutation ya wachache kuwa na plasma membrane nene imewapa advantage iliyofanya specie nzima i evolve kuwa ya wenye plasma membrane nene.

Mutation ni agent kubwa inayosababisha evolution.
 
Nyani na sokwe walibadilika na kuwa Binadamu kwa Muda Usiopungua Miaka Milioni ..
kwa sasa hawawezi Kwa sababu hakuna Nyani anayeishi Miaka zaidi ya Milioni kwa Sasa
1: Unajuaje kama hawafiki miaka milion kutokana na mabadiliko ya kalenda kurudisha miaka nyuma?

2: Kwa hiyo sisi binadamu ni manyani waliobadilika miaka mingi iliopita zamani ?
Wakati unajiuliza hilo sawali, ebu jiulize kwa nini leo mwanadamu haumbwi kwa udongo (refer creation theory).

All in all evolution and creation are just theories.
wewe una uhakika gani kama binadamu aliumbwa kwa udongo ?
 
Unaambiwa itachukua miaka mamilioni wao kubadilika wakati hawamalizi hata miaka 50
 
Labda nikuulize,,,toka sokwe WA mwisho kubadilika na kuwa binadamu kuna mwengine ame undergone zile changes hata kukaribia stage ya homo habilis au hio process imepouse???
Kutaka sokwe abadilike kuwa binadamu ni sawa na kutaka pundamilia abadilike kuwa farasi. Au ng'ombe abadilike kuwa nyati. Au Chui kuwa Simba.
 
Jiulize kwanza wewe unafahamu generations ngapi kwenda nyuma na kupata differences kubwa unahitaji generations ngapi... (in that token ni kama wewe na mababu zako wenye uwezo wa kuishi kwa dakika mtake kushuhudia mambo yanayotumia miaka miaka moja)

Kuweza kuelewa evolution inabidi ufanye utafiti kwa kupitia kitu kinachobadilika kwa muda mfupi sana kulinganisha na wewe unayefanya utafiti (mfano dakika au sekunde)...

Vilevile ukisema urudi nyuma uplan kila kilichotokea kitokee tena huenda kisitokee kama kilivyotokea (kuna a lot of happenstances)
 
We jamaa uko vizuri sana,hii ndio jf ya kipindi kile sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…