DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Mutation ni sehemu ya evolution. Ni agent ya evolution.
Random mutations huwa zinatokea kila kizazi.
Sasa, ikitokea random mutation fulani inatokea na kuipa species fulani feature fulani inayoipa specie advantage fulani, hiyo feature itaendelea kuwa dominant, dominance hiyo itapelekea vizazi vijavyo visivyo na hiyo mutation/feature kuwa vichache na hata kutoweka, na vilivyo na hiyo mutation/feature kuwa vingi, hatimaye hiyo mutation/feature inakuja ku dominate, na ikiwa na traits fulani tofauti kubwa, hapo ndipo species ina evolve.
Tukirudi kwenye mfano wetu wa bacteria na resistance. Kwa mfano bacteria wengi wakiwa wanauawa na dawa A, inayoshambulia plasma membrane zao za kawaida, wakatokea bacteria wengine wana mutation fulani kwenye DNA inayofanya plasma membrane zao kuwa ni nene zaidi, dawa haiwaiingii, hawa wachache hawatakufa kwa dawa, wataendelea kuzaana na kutawala kizazi kijacho, kizazi kinachofuata kitakuwa na hawa wenye mutation ya membrane nene wengi, hivyo, mutation hii itafanya wanaobakia kwenye species hii ya bacteria kuendelea kuwa ni wale wenye plasma membrane nene.
Hapo mutation ya wachache kuwa na plasma membrane nene imewapa advantage iliyofanya specie nzima i evolve kuwa ya wenye plasma membrane nene.
Mutation ni agent kubwa inayosababisha evolution.
Hapa Umeongea Point kubwa Sana..
Na Ninaweza Kuthibitisha kwa Hilo wala sina Shaka..
Maana Cha kwanza Huanza Mutation baadae Inafuata Evolution then kutokna na mazingira Mutants Organism wanakuwa Dorminants na wale wasio mutants pia wanakuwa Pamoja..
Bhasi kama Mutation ni agents ya evolution still Evolution inafanyika sana..
The HIV traits ya mwaka 1980s ni tofauti na Traits ya Sasa hivi vivo hivyo bacteria na hata Binadamu wa Sasa Ni tifauti kabisa..
Mutation Imetake Plce sana kwa Ukubwa sana