abdulrahman Said
JF-Expert Member
- Sep 11, 2019
- 719
- 952
Assuming you're the only organism in your environment? 😂😂😂😂😂Huwezi kupata ukweli, ila kwa utafiti mdogo ukichukua mabaki ya vyakula, nyama n.k ukayatenga sehemu, baada ya siku kadhaa huo uchafu/mabaki ubadilika na kutoa viumbe tunaowaita wadudu.
Kwa mazingira hayo, kuna uwezekano mkubwa pia binadamu akawa ametokana na uozo wa malighafi fulani ambayo kwa sasa hayapatikani.
Hata ukitema mate apo saivi unazitema millions of bacterias, wadudu pia hutaga mayai yao kwemye maeneo kama hayo!? Uchafu haubadiliki kuwa wadudu shekhe