Mivyumba
JF-Expert Member
- Apr 20, 2017
- 275
- 533
Mmmmmmmm hapana Jamani!Wanyiramba na Wasukuma wanashea majina!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmmmmm hapana Jamani!Wanyiramba na Wasukuma wanashea majina!
Sasa Kama ulikuwa hujaukamilisha uchunguzi wako ya nini kutuletea habari ambayo hata wewe mwenyewe huna uhakika nayo?Paul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.
Nawapa assignment kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wa sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
Makala kwa kisukuma ina maana mbili,1,ni mkaa,2 kisiraniYule msanii wa Arusha JCB, Jina lake halisi ni Jacob Makala. Lakin yeye ni msukuma. Huenda ni jina la kibantu. Ila kama vile Kuna Makala zenye Single l na Double l
Usisahau pia kashfa kubwa sana katika mfumo wetu wa elimu ni ile ya watu waliotolewa makazini kwa kufoji vyetu. Lakini kashfa kubwa zaidi ni baada ya watu hawa kurudishwa kazini na wengine kulipwa mafao!!Usiku wa deni haukawii kucha, weka ushahidi mkuu