Dr Justice
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 797
- 855
Opportunity na siasa hufanya wengi kufoji mengi!Amefoji mpaka kabila??
Kiruuu.
Ila sio wa kwanza maana hata Lowasa nae kafoji kabila.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Opportunity na siasa hufanya wengi kufoji mengi!Amefoji mpaka kabila??
Kiruuu.
Ila sio wa kwanza maana hata Lowasa nae kafoji kabila.
Hata mimi nimeshangaa baba yake Lowasa hakuwahi kubadili kabila. Kwanza kabila haliwezi kubadilika asili ni asiliLowasa ni Mmeru, sijamuelewa hapo anapodai baba yake alibadili kabila ili aje agombee
Wewe nawe,kwani kujua kabila la mtu kuna ubaya?Tukichunguzana makabila (refer Mwl. Nyerere) tutajikuta wote si Watanzania.
Hapana Lowasa ni NdosiNi mmeru ukoo wa Mungure . Hayo mengine ni ya kisiasa tu.
Tusimsahau Dr. Kigwa'VP kuhusu Madelu
Ni Unyalukolo Bwaashee!Utanzamia ni kabila?
asali uliyowalambisha halafu wewe kama mlambishaji wa asali umeshindwa kufanya hio issue kuwa moto.Kumekucha
Enzi za Chadema Kabla hawajalamba asali hii issue ingekuwa 🔥 moto!
Sio kurudia bali hawa walikuwa wananunua nafasi za wanafunzi waliofaulu darasa la saba na wazazi wao hawana muamko na elimu au uwezo wa kuwasomesha.Hakufoji,Bali alitumia jina la mtu aliyeacha shule yeye akarudia msingi,maana kipindi chake kurudia haikuruhusiwa
Siyo lazima awe aliyefaulu,hata aliyeacha shule msingi,linatumika lile jina kurudia,mfano kigwangala japo Kuna case nyingi usukumani za kununua vyeti o levelSio kurudia bali hawa walikuwa wananunua nafasi za wanafunzi waliofaulu darasa la saba na wazazi wao hawana muamko na elimu au uwezo wa kuwasomesha.
Kumbuka enzi hizo shule ni chache mtu anafaulu anatakiwa aende bweni mkoa mwingine.
Makalla ni SIngida ni janja janja sn huyu mtuPaul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.
Nawapa assignment kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wa sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
Lowasa si masai kumbe,ni kabila gani ?
Unaweza kuwa Mtanzania bila kabila?Utanzamia ni kabila?
CCM bwana,sijui wakoje.Paul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.
Nawapa assignment kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wa sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
Hawa nadhani ni karibu wote tuHuu mtindo wa kutumia vyeti na majina ya watu uko mpaka polisi na jeshini.
Hapo umechemka ndugu yangu. Huyo Amos Makala ndio mwenyewe halisi labda kama kufoji awe amefoji shule ya msingi lakini sekondari ni yeye mwenyewe ndio alisoma sec fulani iliyopo willayani Kibaha kuna mpwangu walisoma wote nina ushahudi waliwahi kuja kunitembelea kwangu akiwa na huyo mpwangu wakati wanasoma. Sijui kama mwenyewe atakumbuka maana ni muda mrefu mno.Paul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.
Nawapa assignment kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wa sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
Politics za nchii hii huwa zinafurahisaha sana, pamoja na kelele zote kuhusu hii kashfa hakuna mtu aliyeenda mahamani kufungua kesi kuhusu hili, sijui iliishia wapi.Paul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.
Yeah! Makala ni jina la kutokea kwa Wanyiramba! Kina makala,kiula,kingu,mkumbo ni WanyirambaIla Makalla ni jina la kinyeramba.
Iramba, singida upo ukoo wa makalla
Kabisa🙌Makalla ni jina la kinyiramba,elimu yake ya msingi aliipata shule ya msingi kitongo wilayani nzega,nzega wanyiramba wengi tu