Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Kafa rais kiutatanishi, wabongo walaa hawajigusiWeka tu haya mambo ndo Tunayoyapenda sisi Watanzania. Hatutaki vitu vigumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafa rais kiutatanishi, wabongo walaa hawajigusiWeka tu haya mambo ndo Tunayoyapenda sisi Watanzania. Hatutaki vitu vigumu
wewe weka wazi huyu namfahamu kasoma kitongo primary school kitongo kwa jina hilohilo,acha uongoPaul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.
Nawapa assignment Kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam wa Sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
Ni mmeru ukoo wa Mungure . Hayo mengine ni ya kisiasa tu.Unataka kusema ni mchagga
mukuma ndio nani?Hii wala kashifa kwa hapa Tanzania.
*Waziri wa fedha anatumia jina la mtu.
*Lukuvi amekaa serikalini mpk amezeeka lkn hana cheti.
*Mary Nagu anaitwa Dr...lkn hakuna kumbukumbu mahala popote aliposoma PhD
*Alikuwepo mganga wa kienyeji ambaye hajawahi kukanyaga shule lkn alijiita profesa.
Mukuma hana cheti hata cha shule ya msingi lkn anaitwa Dr.
Suala hili halijaanza leo na kwa Tanzania Wala siyo kashifa. Kuna mtanzania alikuwa anaitwa Msemakweli, aliandika mpk kitabu akiwatuhumu Lukuvi na Nagu. Baadaye akaja Ben Sa8 akahoji PhD ya Magufuli.
Mwigulu Nchemba! Pia ni majina ya wasukuma na sio WanyirambaIla Makalla ni jina la kinyeramba.
Iramba, singida upo ukoo wa makalla
Hata usukumani Makalla lipo! Makalla maana yake Mikaa!Ila Makalla ni jina la kinyeramba.
Iramba, singida upo ukoo wa makalla
Vyeti feki original tuanzie kwa Jiwe, yaani a fake PhD kakaa nayo hadi anaukwaa uraisi wa nchi? TZ imejaza mavyeti feki wengi, hao viongozi wa umma wakichimbwa kisawasawa itakuwa ni aibu yaani mawaziri, wakuu wa mikoa/wilaya na maeneo mengine mbalimbali. Huu mtindo wa kutumia vyeti na majina ya watu uko mpaka polisi na jeshini.Hii wala kashifa kwa hapa Tanzania.
*Waziri wa fedha anatumia jina la mtu.
*Lukuvi amekaa serikalini mpk amezeeka lkn hana cheti.
*Mary Nagu anaitwa Dr...lkn hakuna kumbukumbu mahala popote aliposoma PhD
*Alikuwepo mganga wa kienyeji ambaye hajawahi kukanyaga shule lkn alijiita profesa.
Mukuma hana cheti hata cha shule ya msingi lkn anaitwa Dr.
Suala hili halijaanza leo na kwa Tanzania Wala siyo kashifa. Kuna mtanzania alikuwa anaitwa Msemakweli, aliandika mpk kitabu akiwatuhumu Lukuvi na Nagu. Baadaye akaja Ben Sa8 akahoji PhD ya Magufuli.
Kisukuma "MAKALAA" ni MKAA tunaopatia moto.Yule msanii wa Arusha JCB, Jina lake halisi ni Jacob Makala. Lakin yeye ni msukuma. Huenda ni jina la kibantu. Ila kama vile Kuna Makala zenye Single l na Double l
VP kuhusu MadeluPaul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.
Nawapa assignment kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wa sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
Na mimi nilitaka kusema hili.Hizo doubles ni mbwembwe tu hamna hiyo style kwenye majina ya kibantu
CHADEMA nao wamechoka, wakiwapigania mnawachamba wakijiweka kando mnasema wamelamba asali. Bora kukaa kimya Bwashee kila mtu ajipiganie nafsi yake!Kumekucha
Enzi za Chadema Kabla hawajalamba asali hii issue ingekuwa 🔥 moto!
Kiomboi Kisiriri karibuni kwa Mtani Mnyiramba.Ila Makalla ni jina la kinyeramba.
Iramba, singida upo ukoo wa makalla
Makala=Mkaa.Yule msanii wa Arusha JCB, Jina lake halisi ni Jacob Makala. Lakin yeye ni msukuma. Huenda ni jina la kibantu. Ila kama vile Kuna Makala zenye Single l na Double l
Kiutatanishi vp sasa na wakati aliugua na kulazwa zaidi ya wiki 2?.Kafa rais kiutatanishi, wabongo walaa hawajigusi
Kumekucha noma sana ,weka jina lake original.Paul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.
Nawapa assignment kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wa sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
Tukichunguzana makabila (refer Mwl. Nyerere) tutajikuta wote si Watanzania.Lowasa si masai kumbe,ni kabila gani ?