Kama Paul Makonda alifoji jina na cheti basi mchunguzeni na Amos Makalla

Kama Paul Makonda alifoji jina na cheti basi mchunguzeni na Amos Makalla

Hii wala si kashifa kwa hapa Tanzania.
*Waziri wa fedha anatumia jina la mtu.
*Lukuvi amekaa serikalini mpk amezeeka lkn hana cheti.
*Mary Nagu anaitwa Dr...lkn hakuna kumbukumbu mahala popote aliposoma PhD
*Alikuwepo mganga wa kienyeji ambaye hajawahi kukanyaga shule lkn alijiita profesa.
Msukuma hana cheti hata cha shule ya msingi lkn anaitwa Dr.

Suala hili halijaanza leo na kwa Tanzania Wala siyo kashifa. Kuna mtanzania alikuwa anaitwa Msemakweli, aliandika mpk kitabu akiwatuhumu Lukuvi na Nagu. Baadaye akaja Ben Sa8 akahoji PhD ya Magufuli.
Unamkumbuka Dr Luta Nelson alikuwa na kashfa pia
 
Paul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.

Nawapa assignment Kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam wa Sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.

Acha kuchafua watu!
Amos G Makala anatumia jina hilo hilo toka shule ya Msingi hadi high school Songea boys hadi London Chuo.

Ina maana hilo jina alinunua toka darasa la kwanza?Makes nonsense

Wazazi wa Amos walikua wafugaji wanao hama hama,Makala kazaliwa Nzega kafika Mvomero akiwa kijana mdogo
 
Paul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.

Nawapa assignment Kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam wa Sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
Acha chuki za kipumbavu
 
Nawapa assignment Kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam wa Sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
Nilitaka kushangaa hiyo akili ni yake kweli au ameazima!!!
 
Paul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.

Nawapa assignment Kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam wa Sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
Ungefanya la maana sana kwa kuweka ukweli wote hapa kama Makonda alivyoanikwa humu tena kwa ushahidi usiotia shaka.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom