min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Sijakataa mkuuhata biblia imekataza nyama ya nguruwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakataa mkuuhata biblia imekataza nyama ya nguruwe
wee **** bongo ninchi yakiislamu? wewe nimuislamu?Ina maana qurani inazihusu nchi za kiisilamu tu, na sio waisilamu? Sasa mbona hawa wa bongo wanajipendekeza kuswali, kufunga, kwenda hija nk?
Wewe mbona biblia na Qur'an zimekukataza kuzini lakini mbona unazini[emoji41]
Aisee shule umeenda kusomea nn kijanaIndonesia
87% waislam
Megawati Sukarnoputri
Huyu bibie alikuwa Raisi wao
Hii inahusiana vipi na huu uzi ?
TunisiaAisee shule umeenda kusomea nn kijana
Unajua maana ya Nchi ya kiislamu?
Tax Tax Nation.Mtoa uzi vyema uweke mfano wa izo nchi
Mkuu! Jikite kwenye mada, huko unakokwenda usijeanza kutokwa povu.Kuna waislamu na waumini .Unaitwa Juma hussein lakin 24 hrs upo merridian bet , unacheki mipira ,unasikiliza nyimbo ,unazini ,una kunywa pombe basi uyo ni muislam .kuna Waumini (wenye Imani ) humuogopa mwenyezimungu na kufanya matendo mazuri na kumfurahisha muumba wa ardhi na mbingu sio yesu maana yesu akuumba Ardhi na mbingu
Povu gani kwanza ..sasa apo kuna mada gani ngumuMkuu! Jikite kwenye mada, huko unakokwenda usijeanza kutokwa povu.
Basi auweke uislamu pembeni akimaliza ndio aendelee na dini. Asifanye vyote kwa mara moja.Katiba ya nchi sio Quran, na nchi sio msikiti
Haviendani wala havihusiani
Andamaneni mbumbumbu nyie, mmekosa hoja sasa hivi mmekimbilia kwenye Uislamu, shenziBasi auweke uislamu pembeni akimaliza ndio aendelee na dini. Asifanye vyote kwa mara moja.
Hujanijibu swali langu kijana iyo sio pointTunisia
98+% Muslim
Najla Bouden
Prime minister