Pre GE2025 Kama Rais Samia anaingia jikoni kupika basi hapa kuna la kujifunza

Pre GE2025 Kama Rais Samia anaingia jikoni kupika basi hapa kuna la kujifunza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nasema Mamaa Mamaa nani kama Mamaa, machozi ya furaha yananibubuji kweli huyu ndiye Rais tunaemuhitaji, wale wavimba macho waendelee kubweka tu.
Wale ambao tukiajiriwa au kupata hela kidogo tu tunatafuta wadada wa kazi.

Wale tusiojua kupika, kuna la kujifunza hapa.

Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hongera kiongozi kuna maisha nje ya kazi na kuna majukumu nje ya kazi


Wale ambao tukiajiriwa au kupata hela kidogo tu tunatafuta wadada wa kazi.

Wale tusiojua kupika, kuna la kujifunza hapa.

Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hongera kiongozi kuna maisha nje ya kazi na kuna majukumu nje ya kazi

Nasema Mamaa Mamaa nani kama Mamaa, machozi ya furaha yananibubuji kweli huyu ndiye Rais tunaemuhitaji, wale wavimba macho waendelee kubweka tu.
 
😄 🤣 😂
Ready, Steady, cook
Ni kipindi kwenye TV
Hivi nyumbani unavaa kofia nyeupe?
Ila sioni ajabu akipika kwa mme wake
Hata Margaret Thatcher alikuwa anapika
Ingawa haya ni maigizo
 
Hapo aliigiza siku Moja na camera ili aonekane Huwa anapika lakini ukweli huyo hapiki.Tanzania ukiwa rais Kila kitu unapewa Bure kuanzia mpishi Hadi mke au mme kama ikitokea mojawapo hajaoa au kuolewa
 
Back
Top Bottom