Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,334
- 5,829
Subiri kidogo, sijaweka ndimuHeeeeh! Usitupangie maisha bwana, kisa hizo show off ndio utunange na wadada wetu wa kazi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri kidogo, sijaweka ndimuHeeeeh! Usitupangie maisha bwana, kisa hizo show off ndio utunange na wadada wetu wa kazi!!
Uvivu wenu wa akili ni laana. Pengine inawezekana ni ulimbukeni na lack of exposure ndiyo maana mnasifia mambo ya kijinga kabisa. Rais kupika chakula ni jambo la kushangaa sembuse kusifia?Relax
Acha ujingaUvivu wenu wa akili ni laana. Pengine inawezekana ni ulimbukeni na lack of exposure ndiyo maana mnasifia mambo ya kijinga kabisa. Rais kupika chakula ni jambo la kushangaa sembuse kusifia?
we ukijua kama Samia anapika inasaidia nini? Watanzania watafaidika na nini?Ni katika kuonesha kile ambacho wengi wanaona hakifanyi
You're rightWabongo bwana. Mnasifia hata visivyostahili. Mbona viongozi wengi tu duniani wanapika, tena wanaume? Labda ni Afrika tu ndiko wanaume hawapiki lakini majuu matajiri na viongozi wengi wanaume huwa wanapika ije kuwa Samia ambaye ndiyo kazi yake hasa? NB: wazungu hawapiki kila siku kama sisi.
Acha kucomplicate maisha as if your brain is full of something kumbe ni empty .we ukijua kama Samia anapika inasaidia nini? Watanzania watafaidika na nini?
Wale ambao tukiajiriwa au kupata hela kidogo tu tunatafuta wadada wa kazi.
Wale tusiojua kupika, kuna la kujifunza hapa.
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hongera kiongozi kuna maisha nje ya kazi na kuna majukumu nje ya kazi
Mama ukimaliza kula utusaidie tupate katiba mpya itupe chaguzi huru, Mahakama huru na Bunge huru
GeukaAcha kucomplicate maisha as if your brain is full of something kumbe ni empty .
Eheee Tel me brain contains what?Acha kucomplicate maisha as if your brain is full of something kumbe ni empty .
White and grey matterEheee Tel me brain contains what?
So brain inakuwaje Empty sasa😂😂White and grey matter
You are rightSo brain inakuwaje Empty sasa😂😂
Wale ambao tukiajiriwa au kupata hela kidogo tu tunatafuta wadada wa kazi.
Wale tusiojua kupika, kuna la kujifunza hapa.