Pre GE2025 Kama Rais Samia anaingia jikoni kupika basi hapa kuna la kujifunza

Pre GE2025 Kama Rais Samia anaingia jikoni kupika basi hapa kuna la kujifunza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wabongo bwana. Mnasifia hata visivyostahili. Mbona viongozi wengi tu duniani wanapika, tena wanaume? Labda ni Afrika tu ndiko wanaume hawapiki lakini majuu matajiri na viongozi wengi wanaume huwa wanapika ije kuwa Samia ambaye ndiyo kazi yake hasa? NB: wazungu hawapiki kila siku kama sisi.
You're right
 
Back
Top Bottom