Kama Sabaya alikuwa na karakana ya kutesea watu, mbona Mbowe hakusema alipokuwa Bungeni?

Kama Sabaya alikuwa na karakana ya kutesea watu, mbona Mbowe hakusema alipokuwa Bungeni?

Hizi ni siasa za kinafiki tena zisizofaa kabisa. Maana mbunge kama muwakilishi wa wananchi alafu unakaa kimya ukishuhudia wananchi wako wakiteswa na kug'olewa meno...
Sema binafsi kuna wingu zito akilini mwangu.
 
Unafiki wa Mbowe ni kutosema wakati alijua ipo au kusema ipo wakati haipo?

Inaelekea unajua vizuri kila hatua za Sabaya kuliko Mbowe.
 
Naona unademka tu... Ngoja nikuwekee songi... [emoji443][emoji444][emoji445][emoji441]Baba yangu aliniambiaaaaaaaa[emoji444][emoji445][emoji445][emoji441]utavuna ulichooooopaaaandaaaaaa[emoji445][emoji445][emoji445][emoji444][emoji443][emoji443][emoji345][emoji345][emoji344][emoji344][emoji344][emoji350][emoji449][emoji450][emoji450][emoji446][emoji446] in Mwamri's voice
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hizi ni siasa za kinafiki tena zisizofaa kabisa. Maana mbunge kama muwakilishi wa wananchi alafu unakaa kimya ukishuhudia wananchi wako wakiteswa na kug'olewa meno...

Mwendazake alipokuwapo nani aliweza kumfunga paka kengele?

Au wewe umesahau?

Hizi ni zama mpya yakhe.
 
Hizi ni siasa za kinafiki tena zisizofaa kabisa. Maana mbunge kama muwakilishi wa wananchi alafu unakaa kimya ukishuhudia wananchi wako wakiteswa na kug'olewa meno...
Alisema , hukusikia tu, maana hata swala Mbowe kuwindwa na Sabaya kumdhuru kipindi Cha uchaguzi alisema.

But nani angeweza sikiliza , maana mateso ya Mbowe ndo ilikua furaha ya mwendazake chini ya wanae wazalendo mfano sabaya
 
Hizi ni siasa za kinafiki tena zisizofaa kabisa. Maana mbunge kama muwakilishi wa wananchi alafu unakaa kimya ukishuhudia wananchi wako wakiteswa na kug'olewa meno...
Ulicho kiandika hukijui. Ulitaka mbowe asemeje? Kipindi Cha udhalimu Kama awamu ya mwendazake Nani wa kunyanyua mdomo?. Kipindi Cha mwendazake kulikuwa na udhalimu ulio vuka mipaka.

Udhalimu huu ulifika to the maximum kila MTU aliogopa ukiwemo wewe. Mungu akawakumbuka watu wake akafanya alicho fanya.
 
Kama aliogopa kusema,mbona hakumuambia Lissu au Ansbert ngurumo walioko ughaibuni.
Huu ni mpango uliosukwa vizuri sana.
Imagine TAKUKURU bossi mzanzibari yule aliekuwa RPC wa Sabaya, halafu DPP ni somebody KWEKA!

Hapo lazima kuna uvundo utakuja kufanya wengi watumbuliwe!
Duh watu mnajua ku connect
 
Najibu kichwa cha habari chako:
Tuanzie hapa, huyo ambae alipaswa kusikiliza watu alikuwa akiwasikiliza?
 
Asingeaminika.
Sabaya na bashite ni watoto wa kambo wa nduli idi amin uoni wanavyofanana nae
 
Utawala dhalimu unakosaje karakana za kutesea watu,muulizeni Roma mkatoliki anaijua karakana ya bashite tusingepiga kelele angepotea kama ben.
 
Killing people is a temporary solution and not permanent solution to silence people
 
Hizi ni siasa za kinafiki tena zisizofaa kabisa. Maana mbunge kama muwakilishi wa wananchi alafu unakaa kimya ukishuhudia wananchi wako wakiteswa na kug'olewa...
The remnants of frustration after being left destitute by the father of persecution.
 
Back
Top Bottom