Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
- #81
Tumia common sense, kupelekwa mahakamani ndio kupata haki?Unataka justice ya aina gani wewe kiazi mviringo cha Njombe! Kitendo cha huyo Sabaya tu kufikishwa mahakamani, ni kitendo cha haki!
Mahakama ndiyo itakayo amua iwapo ana hatia, au la! Kulialia humu haitasaidia chochote! Na kama wewe na wenzako hamkubaliani na jambo hilo, basi nendeni mkanyee naye ndoo huko jela aliko.