Bado unatetea ushenzi wa Magufuli basi na wewe utaangamia kama huyo boss wako.Hizi ni siasa za kinafiki tena zisizofaa kabisa. Maana mbunge kama muwakilishi wa wananchi alafu unakaa kimya ukishuhudia wananchi wako wakiteswa na kug'olewa meno...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado unatetea ushenzi wa Magufuli basi na wewe utaangamia kama huyo boss wako.Hizi ni siasa za kinafiki tena zisizofaa kabisa. Maana mbunge kama muwakilishi wa wananchi alafu unakaa kimya ukishuhudia wananchi wako wakiteswa na kug'olewa meno...
Well saidMtoa mada Unaweza kutupa majibu tuhuma za DC live kikao cha maafisa wa serikali na wafanyabiashara TRA??Clip za mazila ya Mbowe nk ? Tumshukuru Mungu kutufanyia wepesi kumpumzisha mapema ,mataifa mengine hulipa garama kubwa ya damu kwa miongo kadhaa.Mama atuwezeshe kwa katiba Bora asilani asiibuke mtawala wa kiimla tena.Never ever again a dictector in Tanzania.
Kwani mnawaza vipi wandugu! Kwani wakati huo alishakuwa mtuhumiwa au walau kufikiriwa kwamba atakuja mshitakiwa? Kwa nini anaeweza kusema sasa anaonekana ni mnafiki hali ya kwamba hata muda huo hakukamatwa?Hizi ni siasa za kinafiki tena zisizofaa kabisa. Maana mbunge kama muwakilishi wa wananchi alafu unakaa kimya ukishuhudia wananchi wako wakiteswa na kug'olewa meno...
🤣🤣[emoji16][emoji16][emoji16]
Tofautisha kuhoji na kutetea jambo.Bado unatetea ushenzi wa Magufuli basi na wewe utaangamia kama huyo boss wako.
mfalme herode alimpa kibuli sana yule bwana mdogoHizi ni siasa za kinafiki tena zisizofaa kabisa. Maana mbunge kama muwakilishi wa wananchi alafu unakaa kimya ukishuhudia wananchi wako wakiteswa na kug'olewa meno.
Baadae unaibuka kibafiki baada ya mtuhumiwa kukamatwa na kuleta tuhuma zako. Kuwa kuna karakana ya kutesea watu uliishuhudia jimboni kwako.
My take: kuna wingu zito juu ya kesi ya mtuhumiwa Sabaya.
Je ni kazi ya Mbowe kusema kila jambo au ni kazi ya vyombo vya dola kung'amua? by the way hilo jumba ama karakana kama unavyoita wewe yeye aliliita GOLGOTA kama ulikuwa hujui...Hizi ni siasa za kinafiki tena zisizofaa kabisa. Maana mbunge kama muwakilishi wa wananchi alafu unakaa kimya ukishuhudia wananchi wako wakiteswa na kug'olewa meno...
Sasa wewe malaya unataka kujilinganisha na mimi!Huna hadhi ya kujibishana na mimi.
Kama mligeuzwa na wanawake wakati huu na mkanyamaza si muendelee kunyamaza mileleAcha unaafiki baasi!kipindi hicho kulikua na mwanaume wa kuongea au ndo sifa tu...muda wa kulipa udhalimu huu
na atashinda kesi tu na wanaompakazia kesi za kubumba wataaibika pole kamandaHizi ni siasa za kinafiki tena zisizofaa kabisa. Maana mbunge kama muwakilishi wa wananchi alafu unakaa kimya ukishuhudia wananchi wako wakiteswa na kug'olewa meno.
Baadae unaibuka kibafiki baada ya mtuhumiwa kukamatwa na kuleta tuhuma zako. Kuwa kuna karakana ya kutesea watu uliishuhudia jimboni kwako.
My take: kuna wingu zito juu ya kesi ya mtuhumiwa Sabaya.
acha ujinga alisemea wapi?muoga kama demu alijuwa akisema atakamatwaUnafikili mbowe hakusema?
Sabaya alikuwa anasapotiwa na mkuu mwenyewe ,alikuwa untouchable
Untouchable or Beyond reachedUnafikili mbowe hakusema?
Sabaya alikuwa anasapotiwa na mkuu mwenyewe ,alikuwa untouchable
Unataka justice ya aina gani wewe kiazi mviringo cha Njombe! Kitendo cha huyo Sabaya tu kufikishwa mahakamani, ni kitendo cha haki!Justice must be seen
Amchekaye mlemavu amcheka muumba wake naye hatokosa adhabu.Hiyo karakana iko wapi?
Kuna mtu ana picha ya hiyo karakana?
Au blah blah tu za huyo mwenyekiti mwenye makengeza?
Kwani mbowe ndie alikuwa boardguard wa Sabaya?Hizi ni siasa za kinafiki tena zisizofaa kabisa. Maana mbunge kama muwakilishi wa wananchi alafu unakaa kimya ukishuhudia wananchi wako wakiteswa na kug'olewa meno.
Baadae unaibuka kinafiki baada ya mtuhumiwa kukamatwa na kuleta tuhuma zako. Kuwa kuna karakana ya kutesea watu uliishuhudia jimboni kwako.
My take: kuna wingu zito juu ya kesi ya mtuhumiwa Sabaya.
Nyie watu wa lumumba mna shida sana! Kwahiyo unataka kusema ni uongo? Mbona magufuli hajawahi sema kuna upigaji serikalini ulipokuwa waziri? Nyumba za umma ziliuzwa na yeye akamuuzia hawala yake kabula wa kebys ambaye hakuwa mtumishi wa umma mbona hajawahi kusema popote?Hizi ni siasa za kinafiki tena zisizofaa kabisa. Maana mbunge kama muwakilishi wa wananchi alafu unakaa kimya ukishuhudia wananchi wako wakiteswa na kug'olewa meno.
Baadae unaibuka kinafiki baada ya mtuhumiwa kukamatwa na kuleta tuhuma zako. Kuwa kuna karakana ya kutesea watu uliishuhudia jimboni kwako.
My take: kuna wingu zito juu ya kesi ya mtuhumiwa Sabaya.